azithromycim
JF-Expert Member
- Apr 18, 2019
- 288
- 714
Wakibaliki ndoa za jinsia moja wabariki na ulevi,uzinzi,uchawi,wizi na nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatujakuelewa....! (has approved the priests)🤣🤣Fuateni dini acha kufuata watu...Umepewa akili ya kung'amua mambo....Hilo ni tamko lake yeye kama binadamu wala halikuhusu.
Acheni uzushi na kushabikia uongo. Kanisa katoliki liko imara sana na ndio maana limedumu kwa miaka zaidi ya 2000. Uzushi wa aina hiyo umekuwepo lakini daima umegonga mwamba
sasa mpaka BBC wameripoti taarifa hiyo ya kuwabariki wapenzi wa jinsia moja we uko dunia ya wapi usiyejua nini kinatokea dunia hii? Ushaambiwa dunia imekuwa kijiji ukatengenezewa mpaka na vyombo vya teknolojia ya kupata habari zinazotokea kijijini duniani ujue kwa haraka we hutumii vyombo hivyo, unataka ujulishwe vipi uamini?Kanisa Katoliki lina utaratibu wake.
Kama ni kweli tutayaona kanisani yakifanyika na si vinginevyo.
uongo gani huo urushwe mpaka kwenye chombo cha habari kikubwa duniani cha BBC?Acheni uzushi na kushabikia uongo. Kanisa katoliki liko imara sana na ndio maana limedumu kwa miaka zaidi ya 2000. Uzushi wa aina hiyo umekuwepo lakini daima umegonga mwamba
Hakuna haja ya walaka. Nimeisoma hiyo English nikabaini ni ya papa kweli. Soma kwa kina hicho kimombo utagundua kitu mkuuIngekua vizuri ungetuwekea na huo waraka tuusome wote tujionee wenyewe, naona Kama habari iko nusunusu[emoji848]
Usikute na yeye mwenyewe wanambokoa wenzakeAkili ya papa inachangiwa na uzee pia inapaswa awe controlled
SawasawaHakuna haja ya walaka. Nimeisoma hiyo English nikabaini ni ya papa kweli. Soma kwa kina hicho kimombo utagundua kitu mkuu
Ni kwa Neema tu.Acheni uzushi na kushabikia uongo. Kanisa katoliki liko imara sana na ndio maana limedumu kwa miaka zaidi ya 2000. Uzushi wa aina hiyo umekuwepo lakini daima umegonga mwamba
Acheni uzushi na kushabikia uongo. Kanisa katoliki liko imara sana na ndio maana limedumu kwa miaka zaidi ya 2000. Uzushi wa aina hiyo umekuwepo lakini daima umegonga mwamba
Hii si mara ya kwanza. Mmeshamsingizia mengi sana huyu kwamba kayasema..!! Endeleeni
Hii si mara ya kwanza. Mmeshamsingizia mengi sana huyu kwamba kayasema..!! Endeleeni
Tusihukumu kwa namna hii mkuu.Papa Shoga hatari sana,
Mbaya sana kua na Papa ShogaTusihukumu kwa namna hii mkuu.