Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Watu wanapiga safari za kwenda mwezini, kuishi Mars na kuchunguza galaxies nyingine wewe umejikita katika hadithi za dini na ushoga.
Mashoga lazima uwaone wakitetea hili

Sasa kuishi mars na ujinga/dhambi hii inayobarikiwa na kanisa vina uhusiano ganišŸ˜€šŸ˜€šŸ˜€
 
Siku mtakapo fuata maelekezo ya Papa sijui kubariki, sijui ujinga gani? Eti, couple ya mashoga mnawabariki kanisani. Ndipo hapo nitakapo acha kabisa kwenda kanisani. Na hii msituone waumini tumekaa kimya tumechukizwa sana na kauli hiyo, haiingii akilini na ina leta ukakasi katika utekelezaji wake. Kuwapokea mashoga na kuwabariki kanisani yaweza kuwa mwanzo wa kuidhinisha ndoa za mashoga ndani ya kanisa Katoliki.
 
Ni taarifa ilyotumwa hivi punde,waraka rasmi kutumwa kwa makadinali Dunia nzima,.......tushuhudie vidume wakivalishana mashela kanisani huku nyomi la wakatoliki mashabaab wakipiga vigelegele wanaume wenzao kwenda kupigana miti baada ya kanisa kutoa Sacramento takatifu!
---
ROME (AP) — Pope Francis has formally approved allowing priests to bless same-sex couples, with a new document explaining a radical change in Vatican policy by insisting that people seeking God’s love and mercy shouldn’t be subject to ā€œan exhaustive moral analysisā€ to receive it.

The document from the Vatican’s doctrine office, released Monday, elaborates on a letter Francis sent to two conservative cardinals that was published in October. In that preliminary response, Francis suggested such blessings could be offered under some circumstances if they didn’t confuse the ritual with the sacrament of marriage.

The new document repeats that rationale and elaborates on it, reaffirming that marriage is a lifelong sacrament between a man and a woman. And it stresses that blessings should not be conferred at the same time as a civil union, using set rituals or even with the clothing and gestures that belong in a wedding.

But it says requests for such blessings should not be denied full stop. It offers an extensive definition of the term ā€œblessingā€ in Scripture to insist that people seeking a transcendent relationship with God and looking for his love and mercy should not be subject to ā€œan exhaustive moral analysisā€ as a precondition for receiving it.

ā€œUltimately, a blessing offers people a means to increase their trust in God,ā€ the document said. ā€œThe request for a blessing, thus, expresses and nurtures openness to the transcendence, mercy, and closeness to God in a thousand concrete circumstances of life, which is no small thing in the world in which we live.ā€

He added: ā€œIt is a seed of the Holy Spirit that must be nurtured, not hindered.ā€

The Vatican holds that marriage is an indissoluble union between man and woman. As a result, it has long opposed same-sex marriage.

And in 2021, the Vatican’s Congregation for the Doctrine of the Faith said flat-out that the church couldn’t bless the unions of two men or two women because ā€œGod cannot bless sin.ā€

That document created an outcry, one it appeared even Francis was blindsided by even though he had technically approved its publication. Soon after it was published, he removed the official responsible for it and set about laying the groundwork for a reversal.

In the new document, the Vatican said the church must shy away from ā€œdoctrinal or disciplinary schemes, especially when they lead to a narcissistic and authoritarian elitism whereby instead of evangelizing, one analyzes and classifies others, and instead of opening the door to grace, one exhausts his or her energies in inspecting and verifying.ā€

It stressed that people in ā€œirregularā€ unions — gay or straight — are in a state of sin. But it said that shouldn’t deprive them of God’s love or mercy.

ā€œThus, when people ask for a blessing, an exhaustive moral analysis should not be placed as a precondition for conferring it,ā€ the document said.

AP News
Kanisa halimbariki mtu kwa status zake ila linambariki muumini.
Halimbariki mwizi, halimbariki mzinzi, halimbariki mchawi ila linambariki mwamini aliyejitambulisha kuwa ni tunda la matokeo ya maungamo kulingana na neno la Keisto.
Sasa leo iwe je kanisa specifically kubariki ndoa za kinyume na maumbile?
Hakuna namna ila utimilifu wa vifungu vya neno la Mungu vikitimia.

Warumi 1:26-28
[26]Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;
For this cause God gave them up unto vile affections: for even their women did change the natural use into that which is against nature:
[27]wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.
And likewise also the men, leaving the natural use of the woman, burned in their lust one toward another; men with men working that which is unseemly, and receiving in themselves that recompence of their error which was meet.
[28]Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.
And even as they did not like to retain God in their knowledge, God gave them over to a reprobate mind, to do those things which are not convenient;

Yuda 1:5-7
[5]Tena napenda kuwakumbusha, ijapokuwa mmekwisha kujua haya yote, ya kwamba Bwana, akiisha kuwaokoa watu katika nchi ya Misri, aliwaangamiza baadaye wale wasioamini.
I will therefore put you in remembrance, though ye once knew this, how that the Lord, having saved the people out of the land of Egypt, afterward destroyed them that believed not.
[6]Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu.
And the angels which kept not their first estate, but left their own habitation, he hath reserved in everlasting chains under darkness unto the judgment of the great day.
[7]Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyokuwa kando-kando, waliofuata uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa katika moto wa milele.
Even as Sodom and Gomorrha, and the cities about them in like manner, giving themselves over to fornication, and going after strange flesh, are set forth for an example, suffering the vengeance of eternal fire.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku mtakapo fuata maelekezo ya Papa sijui kubariki, sijui ujinga gani? Eti, couple ya mashoga mnawabariki kanisani. Ndipo hapo nitakapo acha kabisa kwenda kanisani. Na hii msituone waumini tumekaa kimya tumechukizwa sana na kauli hiyo, haiingii akilini na ina leta ukakasi katika utekelezaji wake. Kuwapokea mashoga na kuwabariki kanisani yaweza kuwa mwanzo wa kuidhinisha ndoa za mashoga ndani ya kanisa Katoliki.
Wathubutu kupinga waone kama hawajatimuliwa na wanavyotememea kula kwenye sadaka watafanya kazi gani? šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
 
Mods wa jf hivi mkoje nyie? Taarifa imenukuliwa na vyanzo rasmi kutoka Vatican na Wala sio mara ya kwanza Kwa Papa Francis kuleta mabadiliko yanayohusiana na Ushoga ikiwemo Kumtimua Askofu aliyekuwa anapinga.

Sasa nataka kufahamu mlifuta mada niliyoanzisha Jana Kwa kunukuu taarifa rasmi kama ilivyoripotiwa na The Citizen Kwa sababu zipi hasa?

View: https://www.instagram.com/p/C1AHCA1IvVs/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==

On top of that mlifuta mada niliyonukuu kutoka Millard Ayo kuhusu Serikali kutangaza nafasi za kazi Kwa wanaotaka kwenda Saudia nayo mkafuta Kwa nini?

View: https://www.instagram.com/p/C1APjjyCoIf/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==

Swali Kwa mods wa jf,Je hivyo vyomba vya habari sio credible source kwamba nyie hamvitambui ama?

Je mnaweza kuniambia nimevunja kanuni ipi ya jukwaa lenu?

Unakomalia hiyo habari wewe shoga?
 
Siku mtakapo fuata maelekezo ya Papa sijui kubariki, sijui ujinga gani? Eti, couple ya mashoga mnawabariki kanisani. Ndipo hapo nitakapo acha kabisa kwenda kanisani. Na hii msituone waumini tumekaa kimya tumechukizwa sana na kauli hiyo, haiingii akilini na ina leta ukakasi katika utekelezaji wake. Kuwapokea mashoga na kuwabariki kanisani yaweza kuwa mwanzo wa kuidhinisha ndoa za mashoga ndani ya kanisa Katoliki.

images.jpeg
 
Nadhani kuna swala ambalo mods wanabidi kulifanyia kazi,kumekuwa na malalamiko mengi ya watu kufutiwa nyuzi zao,nijuavyo mimi sababu kubwa ni kuwa,mada inaweza kuwa haina maadili,inaweza kuwa ni ya uongo,inaweza kuwa ya kupotosha,inaweza kuwa imehamishwa kupelekwa/kuunganishwa na mada kama hiyo ambayo inawezekana kuna mtu alishapost n.k.Sasa hayo yote sio shida,kinachotakiwa mtengeneze utaratibu mnapofanya hayo mabadiliko isiwe siri,iwekwe wazi ili yule aliyepost ajuwe nini kimetokea,na hata wachangiaji wachache pia ambao walianza kuchangia wapate hiyo taarifa,kuliko kutoa tu kimyakimya bila ya hata kujulikana sababu ni nini...
 
Sisi tumeshastuka,

Tunajitofautisha nao Kwa kurudisha IBADA Jumamosi kama Kanisa la kwanza.

Ninyi subirieni mtakapoletewa Padr shoga ndo mtajua.
Kwa hiyo hawa wanaosali Jumamosi ndiyo unadhani hakuna mashoga ndani yao? Hivi wangekuwa sawa kiakili wangeweza kufunga safari ya kwenda Ufaransa bila tiketi wala viza?
 
Haya ni moja ya mafundisho ya mtume wako ndo maana huko zanzibar watalii wanakanyagana kwenda kuwala mapunga waliojazana huko.
Wanatoka Ulaya kula kulana kwenye Hoteli za Zanzibar

Lazima mliwe baba Mtakatifu kasema😁😁
 
Back
Top Bottom