Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

Hiii imekaaje🤔😎 unajitekenya mwenyewe unacheka mwenyewe!
 
Oyooooo!
Imetulia hiyo. Huyu mropokaji abananishwe ili awataje mawaziri wanaomtukana rais. Asitafute umaarufu ubwete (cheap popularity)
unazan wanamuita ili awataje au ili wampe muongozo wa vitu vya kuongea hadharani na vya kupotezea kiufupi wanaenda kumpiga pini asiweke wazi mapungufu ya wana sisiemu mafisadi na manafiki ili kulinda heshima ya chama na si kutatua matatizo
 
Oyooooo!
Imetulia hiyo. Huyu mropokaji abananishwe ili awataje mawaziri wanaomtukana rais. Asitafute umaarufu ubwete (cheap popularity)
Kuitwa kwa Makonda kwa Kamati ya Maadili ya CCM ni "red flag". Itabidi asome alama za nyakati na atambue kwamba hizi si enzi za JPM ambapo alikuwa anaweza kufanya lolote( kama kuvamia kituo cha Clouds) au kutoa kaui tata (kama kuwataka wabunge wotw wa upinzani watoke mkoani kwake) bila hatua yoyote kuchukuliwa. Aache kuropoka kama vile alivyoropoka mara tu baada ya kuteuliwa kuwa Katibu Mwenezi ambapo alimpa waziri Mkuu agizo la kumaliza migogoro ya ardhi ndani ya miezi 6.

Asiposoma alama za nyakati tutaona hivi karibuni Zuhura Yunus anaandika: "Rais wa Jamhuri ya Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Paul Makonda kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha". Narudia tena asome alama za nyakati. Hizi si enzi za JPM.
 
Oyooooo!
Imetulia hiyo. Huyu mropokaji abananishwe ili awataje mawaziri wanaomtukana rais. Asitafute umaarufu ubwete (cheap popularity)
Mbona Lissu hajawai taja waliompiga liasasi na nyie mpo kimya mmetuliza matikiti?
 
Mbona mnaongea tu nyie watu wa chadema,angaikieni kurudi Bungeni walau mpate viti 20 tu...Ccm wanapiga ngona yao na nyie mnaruka nayo tu.
 
Mbona mnaongea tu nyie watu wa chadema,angaikieni kurudi Bungeni walau mpate viti 20 tu...Ccm wanapiga ngona yao na nyie mnaruka nayo tu.
Leo kuna maandamano kupinga sheria mbovu za uchaguzi; haijulikani kama watashiriki uchaguzi chini ya sheria hizo japo mwenye chama kishasema wataweka wagombea kila mtaa/kitongoji hadi jimbo.
 
Mkuu wa mkoa ni mtumishi wa umma huko ccm wanamwitia nini? Kwani ofisi ya rais utumishi iko wapi? Watu wanashauriwa kipuuzi nao wanafuata,
 
Nilitegemea angeitwa sekretarieti ya maadili ya umma
 
Mkuu wa mkoa ni mtumishi wa umma huko ccm wanamwitia nini? Kwani ofisi ya rais utumishi iko wapi? Watu wanashauriwa kipuuzi nao wanafuata,
Mtumie ujumbe apuuze huo wito kwa vigezo vyako hivyo.
 
Mkuu wa mkoa ni mtumishi wa umma huko ccm wanamwitia nini? Kwani ofisi ya rais utumishi iko wapi? Watu wanashauriwa kipuuzi nao wanafuata,
Huyu hafai kote!
Sio utumishi wa umma wala CCM
Ni mchonganishi, mpayukaji na asie na maadili.
 
Jamaa Ni mpumbafu sana
 
Huyu hafai kote!
Sio utumishi wa umma wala CCM
Ni mchonganishi, mpayukaji na asie na maadili.
CCM wamemuita mwanachama wao kumuonya kwahiyo hawajakosea. Upande wa serikali nao wakiona inafaa watamuita kwenye secretariat ya maadili ya viongozi wa umma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…