Safari ya Maalim Sefu na wenzake, Hamad Rashid, Hamis Shaaban Mloo, Soud Yusuf Mgeni na mwingine mmoja, mwaka 1988, ilikuwa ngumu kuliko safari za wanachama wengine wote walioitwa kwenye vikao vya aina hiyo (Ukiondoa kikao kilichomfuta uanachama marehemu mzee Aboud Jumbe mwaka 1984)Safari ya Maarim kupanga njama unazani ilikuwa ni ndogo? Kuliko ya kolimba? Ndio sababu ya jumbe kukaa kizuizini!
Wenye elimu kubwa nao ni kama hawana elimu tu. Unamkumbuka yule propesa wa jalalani? Osorowu? Ndalicheka, etc.Duh atakoma huyooo kwanza kwa Nini yule bi mkubwa alimpa cheo mtu kilaza ama kweli nchi za kusini mwa janga la Sahara viongozi ni watu wenye elimu ndogo sana
Jangwa........ haha ilapole mjumbe na bora hata haupo kwenye hiyo kamati ya maadili maana umeumizwa sana yaonekana.Duh atakoma huyooo kwanza kwa Nini yule bi mkubwa alimpa cheo mtu kilaza ama kweli nchi za kusini mwa janga la Sahara viongozi ni watu wenye elimu ndogo sana
Saa saba..Hatari Sana.
Wenye chama Chao wameona
THIS IS TOO MUCH. hatuwezi kuvumilia, wakati tunaanzisha chama Makonda alikua havai kaptura, leo anaendesha Range kwa pesa zetu anatuletea ujinga. Hata ukuu wa mkoa haumfai.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha , Ndugu Paulo Makonda ameitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi .
Ameelekezwa kufika kwenye Kamati hiyo , tarehe 22/04/2024
=====
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemuita Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kwenye Kamati ya Maadili.
Makonda anatarajiwa kufika mbele ya Kamati hiyo Jumatatu, Aprili 22, 2024 asubuhi na kukutana na wajumbe wa kamati hiyo.
Hata hivyo, Mwananchi inafahamu kuwa Makonda alitakiwa kufika mbele ya kamati hiyo Aprili 20, 2024 majira ya asubuhi, lakini haikuelezwa sababu za kusogezwa mbele.
Barua ya wito wa CCM kwa Makonda haikueleza sababu za kumuita huku ikieleza kwamba, kuna masuala mbalimbali kati yake na wajumbe wanakwenda kujadili.
Lakini, wito huo huenda unahusishwa na kauli ya Makonda aliyoitoa wakati wa kumbukumbu ya miaka 40 ya kifo cha Waziri mkuu wa zamani, Edward Sokoine iliyofanyika Monduli, Arusha ambako Makonda alidai kuwa viongozi wakiwemo mawaziri wamekuwa wakilipa watu kumtukana Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mitandao ya kijamii.
Makonda alitoa onyo kwa viongozi hao akisema kama wakiendelea atawataja hadharani na kwamba, hayuko tayari kuona Rais Samia akitukanwa.
Chanzo: Mwananchi online
Pia soma:
- Wito kwa Serikali yetu, Huu ni Udhalilishaji wa Bullying & Intimidation!. Mbona Rais Samia Hadhalilishi?. Tusiruhusu Udhalilishaji Huu Uendelee!.
- Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi?
- Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Naona ata hapo Arusha hatodumu.Self destructive machine = Makonda. ( Huwa anajiharibiaga mwenyewe bila sababu)
Popote alipo Makondaa hakuna kenge wa kuropokaNaona Kuna kundi kubwa sana la kumshambilia makonda binafsi na sio utendaji yaani Bado watu wanatamani mafisadi yabembelezwe? Na kibaya zaidi naona upepo wa Arusha unabadilika lema amepotea gafla hii inaonyesha makonda maadui wake wameongezeka lakini tukumbuke mti wenye matunda ndio hupigwa mawe
Naona ata hapo Arusha hatodumu.
AahaaaaHivi kuna mtanzania wa kusikiliza Nchimbi , Makala au Jokate ? kwanza hawa wangekuwa silaha ya ccm unadhani Mngekataa katiba mpya na Tume Huru ?
Silaha pekee ya ccm ni Polisi na vyombo vya dola
Hakika ni Mwendazake peke yake aliendana na huo ubabe wakeHawezi dumu, huyu waliwezana na Magu maana vichwa vyao ubovu wake unaendana.
Huo ubovu wa kichwa Cha magu Leo shehe wako angepanda treni ya umeme huku anakenua meno?Hawezi dumu, huyu waliwezana na Magu maana vichwa vyao ubovu wake unaendana.
Huo ubovu wa kichwa Cha magu Leo shehe wako angepanda treni ya umeme huku anakenua meno?
Hapo ndio vichwa panzi kama hao wanaojaza mameseji humu wanashindwa kuhoji hao waadilifu wa hiyo kamati ni malaika kutoka mbinguni? Au ni hawahawa mafisadi na wapiga Dili ndio wanajigeuza kamati ya maadili pale maslahi yao yanapoguswa?Kamati ya maadili wenyewe ni mafisadi
Hawana credits za kumhoji mzalendo makonda
Endelea kuotaHiyo project ya Train ni White Elephant, Hakuna kitu hapo.