Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

Aisee, kuna watu wanateseka sana. Propaganda juu!

Hivi Ben Saanane amekufa? Haijalishi

Yote haya yana lengo ya kufunika na kufifisha hoja ya Luhaga Mpina.
==========
Nje ya mada. Naona JF jana waliamua kuupiga chemba uzi wangu- baada ya kupata za ndani za Teua Tengua/oops, Kamati ya maadili..Arghh
 
Huyu siyo wa kumpa uhuru wa kufanya anayoyataka, hakawii kurudi kwenye mambo yake ya kuua watu, kuteka na kupora mali za watu. Huyu ni shetani ambaye hakustahili kupewa nafasi hata ya ubalozi wa nyumba 10. Wenye akili wote na wenye hekima wanamshangaa aliyemteua na kumpa nafasi ya uongozi mtu aliyetakiwa kufikishwa kwenye vyombo vya sheria kujibu tuhuma mbalimbali.

Akiendelea kumkumbatia, anaweza kuondoka naye siku umma ukiamka.

Kisasi cha damu alizozimwaga, tunaomba zikawe juu yake na kizazi chake muovu huyu.

RIP Sanane, RIP Azory. Mungu muweza wa yote uwapunguzie majonzi wanafamilia wa hawa ndugu zetu ambao shetani aliwapoteza.
Wewe nawe ushakuwa chizi! Hizi ngonjera za mauaji mnazo ongea kila siku miaka nenda rudi hazina ushahidi tu mpaka leo? Huku mnajidai mna mawakili wazuri basi waambie waende wakamshitaki!
 
Aliwaita wale watu wazima kumwombea kumbe bado.

Ajue Mungu siyo wa gizani.
Hamna kitu hapa ni ushirikina tuu
IMG-20240419-WA0007.jpg


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Ndugu Paulo Makonda ameitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi.

Ameelekezwa kufika kwenye Kamati hiyo tarehe 22/04/2024.

=====

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemuita Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kwenye Kamati ya Maadili.

Makonda anatarajiwa kufika mbele ya Kamati hiyo Jumatatu, Aprili 22, 2024 asubuhi na kukutana na wajumbe wa kamati hiyo.

Hata hivyo, Mwananchi inafahamu kuwa Makonda alitakiwa kufika mbele ya kamati hiyo Aprili 20, 2024 majira ya asubuhi, lakini haikuelezwa sababu za kusogezwa mbele.

Barua ya wito wa CCM kwa Makonda haikueleza sababu za kumuita huku ikieleza kwamba, kuna masuala mbalimbali kati yake na wajumbe wanakwenda kujadili.

Lakini, wito huo huenda unahusishwa na kauli ya Makonda aliyoitoa wakati wa kumbukumbu ya miaka 40 ya kifo cha Waziri mkuu wa zamani, Edward Sokoine iliyofanyika Monduli, Arusha ambako Makonda alidai kuwa viongozi wakiwemo mawaziri wamekuwa wakilipa watu kumtukana Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mitandao ya kijamii.

Makonda alitoa onyo kwa viongozi hao akisema kama wakiendelea atawataja hadharani na kwamba, hayuko tayari kuona Rais Samia akitukanwa.


Chanzo: Mwananchi online

Pia soma:
Makonda hafai kwa uongozi kabisa, mlopokaji na hana heshima kwa wakubwa zake hata kidogo,

Nashauri ccm imfukuze uanachama na imshauri rais atengue uteuzi wake.
 
Kwana kabisa nilishangaa siku ile anaingia Arusha na mapokezi makubwa alafu inaandaliwa gari ya Mkuu wa Mkoa, na Bensera ikiwapo inapepea, unaiacha gari na kumpakuza mwanao na yeye kupanda gari nyingine, imekaaje ile ki protoko? Gar ye nye benderabya mwakilishi wa Rais wa mkoa na bendera inapepea anakaa mtoto na muhusika anapanda gari nyingine? Huyu mtu kweli achunguzwe akili!!
Mimi sijaelewa hapa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Ndugu Paulo Makonda ameitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi.

Ameelekezwa kufika kwenye Kamati hiyo tarehe 22/04/2024.

=====

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemuita Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kwenye Kamati ya Maadili.

Makonda anatarajiwa kufika mbele ya Kamati hiyo Jumatatu, Aprili 22, 2024 asubuhi na kukutana na wajumbe wa kamati hiyo.

Hata hivyo, Mwananchi inafahamu kuwa Makonda alitakiwa kufika mbele ya kamati hiyo Aprili 20, 2024 majira ya asubuhi, lakini haikuelezwa sababu za kusogezwa mbele.

Barua ya wito wa CCM kwa Makonda haikueleza sababu za kumuita huku ikieleza kwamba, kuna masuala mbalimbali kati yake na wajumbe wanakwenda kujadili.

Lakini, wito huo huenda unahusishwa na kauli ya Makonda aliyoitoa wakati wa kumbukumbu ya miaka 40 ya kifo cha Waziri mkuu wa zamani, Edward Sokoine iliyofanyika Monduli, Arusha ambako Makonda alidai kuwa viongozi wakiwemo mawaziri wamekuwa wakilipa watu kumtukana Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mitandao ya kijamii.

Makonda alitoa onyo kwa viongozi hao akisema kama wakiendelea atawataja hadharani na kwamba, hayuko tayari kuona Rais Samia akitukanwa.


Chanzo: Mwananchi online

Pia soma:
Huyu shida yake anajisahau sana
 
Wajumlishe na udhalilishaji alioufanya kwa yule muhandisi wa TARURA kwenye clip inayotembea mtandaoni kwa sasa

Kule sio kumuwajibisha mtumishi, ule ni udhalilishaji wa wazi ningekuwa mimi ningetoka ukumbini halafua aagize askari wanikamate wanipeleke ndani kesi ianzie hapo

Kuna lugha za uongozi wenye mamlaka zisizohusisha dhihaka, CCM wanatakiwa wawafundishe vijana wao.
Kuna sehemu nilifanya kazi jamaa alikuwa na lugha za dhihaka mpaka sio poa
 
Huyu mama naye sijui ni takataka ya wapi, hili jitu halifai hata kuongoza mtaa analing'ang'ania la nini? Halina maadili ya utumishi hata kidogo! Na linaonesha limetoka familia hohehahe sana!
Samia hapa kakosea sana kumteua bashite, bashite dishi limeyumba hafai kupewa uongozi, bashite awamu inayokuja baada ya samia ataenda kufia jela nna hakika
 
Labda kama unaishi kwenye ufalme wa shetani, ndiyo unaweza kumsifia mtu muuaji, mtekaji, mpotezaji watu na mporaji mali za watu, kuwa ni kiongozi bora. Atakuwa kiongozi bora kwenye huo ushetani wenu.

Muuaji na jambazi kupewa nafasi ya kuwaongoza watu wema, ni kufuru kubwa dhidi ya Mungu wetu wa haki na dhihaka kwa wanadamu wote wema. Laana ya kufuru na dhihaka hizi, zikatembee na jambazi hili na wale wenye kulikumbatia.

RIP Ben, RIP Azory, Neema ya Mungu iendelee kumlinda Lisu na wengine wote ambao jambazi hili liliwafikia.
Unaushaidi wowote kwamba alihusika kwenye kupotea kwa hao watu..au na wewe unabebwa na nguvu ya mitandao..kuchufua na kudidimiza viongozi wetu
 
Naona Kuna kundi kubwa sana la kumshambilia makonda binafsi na sio utendaji yaani Bado watu wanatamani mafisadi yabembelezwe? Na kibaya zaidi naona upepo wa Arusha unabadilika lema amepotea gafla hii inaonyesha makonda maadui wake wameongezeka lakini tukumbuke mti wenye matunda ndio hupigwa mawe
Kweli ni ndoto ya kimweri.
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Ndugu Paulo Makonda ameitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi.

Ameelekezwa kufika kwenye Kamati hiyo tarehe 22/04/2024.

=====

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemuita Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kwenye Kamati ya Maadili.

Makonda anatarajiwa kufika mbele ya Kamati hiyo Jumatatu, Aprili 22, 2024 asubuhi na kukutana na wajumbe wa kamati hiyo.

Hata hivyo, Mwananchi inafahamu kuwa Makonda alitakiwa kufika mbele ya kamati hiyo Aprili 20, 2024 majira ya asubuhi, lakini haikuelezwa sababu za kusogezwa mbele.

Barua ya wito wa CCM kwa Makonda haikueleza sababu za kumuita huku ikieleza kwamba, kuna masuala mbalimbali kati yake na wajumbe wanakwenda kujadili.

Lakini, wito huo huenda unahusishwa na kauli ya Makonda aliyoitoa wakati wa kumbukumbu ya miaka 40 ya kifo cha Waziri mkuu wa zamani, Edward Sokoine iliyofanyika Monduli, Arusha ambako Makonda alidai kuwa viongozi wakiwemo mawaziri wamekuwa wakilipa watu kumtukana Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mitandao ya kijamii.

Makonda alitoa onyo kwa viongozi hao akisema kama wakiendelea atawataja hadharani na kwamba, hayuko tayari kuona Rais Samia akitukanwa.


Chanzo: Mwananchi online

Pia soma:
Naona wanahabari nguri wote wa CHADEMA macho, masikio na mioyo yenu ipo kwa Comrade Makonda!!

Mipango, mikakati na harakati zote ndani ya Chama kikuu cha upinzani zimesimama kupisha kitakachojiri dhidi ya Makonda!!

Ama kweli Makonda ni Siasa ya nchi
 
huyu kijana hafai kuwa kiongozi, alishawahi kuota mapembe Mungu akamshusha, hakujifunza, sasaivi amerudi na kiburi kilekile na kuaibisha watu wazima mbele za watu ili yeye apate credit. aonywaye mara nyingi na kushupaza shingo atavunjika na hata pata data. kwa kifupi, wakimuita kama watamrudisha au watamwondoa, ipo wazi, huyu ni kiongozi muonevu, kiongozi asiye na maadili na hafai kuongoza watu wazima. hata asipowajibishwa na ccm kuna siku Mungu atamwajibisha. aombe Mungu awajibishwe na ccm, manake akiwajibishwa na Mungu hawezi kustahimili kabisa.
CHADEMA wote mmehamia huku. Mmemsahau hata mwenye Chama chenu ndugu Mbowe
 
Nimeamka asubuhi nikasema nitafute habari za SGR kutoka Dar hadi Dodoma na nijue safari ilianza saa ngapi na imechukua muda gani kufika Dodoma lakini nimekutana na habari za Makonda na Simba na Yanga tu huku JF. Kweli kuyaona na kuyafikia maendeleo kwa hii shit hole country itachukua karne nyingine moja!!!
 
Back
Top Bottom