Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

Makonda munamchukia tu, lakini jamaa kaumbwa kuja kuongoza.

Makonda ni aina ya viongozi wanaohitajika kwenye serkalizetu za Africa, baahati mbaya anachukiwa na wengi.
 
Usiogope, hatakutaja!
 
Sina mashaka nae
Kwanza huenda kashafika mjini toka juziiiii
Navyomjua mm yule mwamba haogopi atawataja watu humo mpka waoneane aibu
 
Makonda munamchukia tu, lakini jamaa kaumbwa kuja kuongoza.

Makonda ni aina ya viongozi wanaohitajika kwenye serkalizetu za Africa, baahati mbaya anachukiwa na wengi.
Labda kukuongoza wewe na wengine jamii yako! Ila viongozi bora kwa nchi za watu wenye akili hawana uongozi kama wa Makonda.
 
Makonda fanya kama kina ngwajina boy hakuna kukalia kiti hakuna kugusa mlango au miimo yake isitumie kipaza sauti na mengine riho wa Mungu atayokufunulia
 
Kwa hii nchi ilipofikia,na kwa watu wapumbavu kama wewe na mimi,tunahitaji kiongozi katili zaidi ya makonda.
 
Inakuaje ccm waanze kumsumbua kijana wao? Kama wanaona ni mtovu wa nidhamu na maadili waachane nae wasimteue kwenye nyadhifa zao
 
kwanza konda kaitika wito au kasema yuko busy wasogeze mbele kama awali
 
Kamati ya Maadili ya CCM ikikuita inabidi usali sana, sio mchezo, utatiwa adabu kweli kweli, Kamati ya Maadili ya CCM ina watu wenye akili sana na lazima uwe na majibu ya uhakika ukiitwa na chai utapewa ukiitwa..!!
 
Hakuna kipindi umma utaamka,acha kuota mzee!!!
 
Wameshampa onyo Kali kabla hawajamsikiliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…