Paul Makonda: Rais Samia anarogwa sana na watumishi wake

Paul Makonda: Rais Samia anarogwa sana na watumishi wake

Ww ulianza kuloga kipind klgani? Ulipopatw ukuu wa wilaya uliloga? Na ukuu wa mkoa wa Dar pia uliloga? Ulipotolewa ukuu wa mkoa ulikosea kuloga? Ulipoteuliwa kua katibu mwenez wa ccm uliloga?

Huyu tangu ampige yule mzee on stage akili yake haiko sawa
 
Watu mnamsambulia kwa alichokiongea Makonda, mtadhani kwa waganga Huwa hamuendi wanafiki ninyi

Angemfuata Rais private kumwambia. Amekuja kuongea on stage ili iweje kama sio uchonganishi?

Kwamba huyu hana namba ya Rais?

Na kwanini hajawataja hao watu wanaomroga Rais kama kweli ana nia njema?
 
That’s a no brainer, kulogwa lazima

Solution ni moja kupunguza ndumba zinazorushwa kwake ajipunguzie nafasi za uteuzi.

Vinginevyo waganga lazima wahusike jina langu liende katika kichwa cha Samia kwenye teuzi.

Hakuna namna
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Nchi ina degenerate kuwa na viongozi 3rd rate, un intelligent na wanaokosa muelekeo unaotumia akili.
 
Wakuu,

Mambo yameendelea kukorogeka huko Arusha.

Hayo ni maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akizungumza na wananchi wa mkoa wa Arusha mapema siku ya Jumatatu Desemba 9, 2024 wakati wa maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika.

"Mimi ninawaambia katika nchi hii ya Tanzania kama kuna mtu anarogwa hii nchi, amerogwa wa kwanza ni Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwasababu watumishi wa serikali tuliopo wote tunatafuta upendeleo wake.

"Yaani hapa tulipo katika mkoa wa Arusha kuna mtu ananyemelea Ukuu wa Mkoa, kama ana mganga anamfuata"


===========================================

Kwanini Makonda ana roho ya uchonganishi namna hii? Hivi huku si kumchonganisha Rais na watumishi wake?

Kuna kipindi alisema kitu in the lines of, kuna watu ambao wanamhujumu Rais na akasema atawataja ila baadae akaingia mitini.

Leo tena amerudia maneno yake haya.

View attachment 3173017
"
Angeanza kutaja mwenyewe alimlogea wapi
 
Nenda katafute gazeti la Rai la Mei 2003 makala ya Johnson Mbwambo,Kwamba nchi inajiensdesha yenyewe kama vile marubani wakitaka ndege iendelee kuruka huku wao wanaendelea na shughuli nyingine mfano kulala

Sidhani kama aliandika 2003. Ila ni kweli aliandika. Kipindi cha 2003, Mkapa alikuwa Rais. Yeye na walio wake wakipambana kumalizia muda na JK na timu yake wakipambana kupokea kijiti.
Mkapa alikuwa sio lelemama.
Mzee Mwambo sijui yuko wapi?
 
Back
Top Bottom