Ukiweka kipaumbele cha kujipenda wewe kwanza nakujitanguliza wewe kwanza kwenye kila kitu ,mapenzi hayawezi kukuyumbisha hata kidogo.Ni kweli mwamba. Mimi zamani nilikuwa napenda kwa kishindo. Ila jinsi navyokua na use common sense. Dawa moja ya hawa viumbe ukiona tu ameanza na umemuhis potezea yani usijali kabisa wanajisikiaga vibaya sana ukiwaignore.
Aaaah we mtoto wa kusini umeanza kutupiga kamba.Kweli ulipenda!๐คธ๐
min -me nikipenda kama alivyopenda maghayo nipige makofi
Kitanda hakizai haramu mzee.Siku utakayogundua watoto hao si wako ndipo utakapokumbuka kujipenda mwenyewe.
Kwahiyo ulifanya Study ( Research ) na ukagundua kuwa Watu wote walio katika Mahusiano ndiyo Werevu duniani? Aibu kweli kweli....!!Mahusiano sio kwa watu wenye Akili ndogo.Maana yana udhi sana kama wewe ni mtu wa kuumizwa na vitu vidogo vidogo dont invest in your relationship na your patner.Utakuja kuua buree Au kufa kwa kujiua.
Sijawahi kupenda hadi nikiachwa nitake kujinyongaAaaah we mtoto wa kusini umeanza kutupiga kamba.
Basi Bidada turudi kwenye maada.Sijawahi kupenda hadi nikiachwa nitake kujinyonga
Kagera ipo kusini?
Sawa tu as long as anarudi nyumbani ananipa na mie shida wapi ndugu? Huwezi kuzuia matumizi ya kidude chake binafsi yeye ndo kwenye mamlaka nacho na anatembea nacho kila aendako, same as you maana hata cha kwako hujawahi kiacha.Wahuni wanafumua kwa huyohuyo mke wako unayemuhonga
Maelezo marefu kama Mwanaume angekuwa na akili timamu asingekubali kula tunda huko eden,yaani ndio maana Mungu alimuumba Mwanaume akaona huyu kichwa Maji huko Duniani bila Mwanamke hatoshi ngoja nimletee mkamilifu zaidi yake ๐๐1.Mwanaume ana akili timamu,Mwanamke hana akili timamu!
2.Mwanaume ni mchakarikaji,Mwanamke hawezi kuchakarika!
3.Mwanaume Uume hautumi kujipatia kipato,Mwanamke uke wake ni sehemu ya mapato!
4.Mwanaume anaheshimika na jamii zote,Mwanamke haeshimiki kwasababu ya tabia zake
5.Mwanamke hawezi kufanya jambo lolote la maana bila Mwanaume,Mwanaume anaweza kufanya jambo la maana bila mwanamke!
6.Mwanamke yeye mwenyewe huwa haelewi anataka nini katika maisha yake binafsi,Wanaume ni watu wa mipango!
7.Mwanaume anakojoa amesimama,Mwanamke kukojoa lazima achutame
Aliyewaumba alitoa tahadhari "ISHINI NAO KWA AKILI",Aliyewaumba mwenyewe anawaogopa,sembuse mlala hoi wa Bunju?
Kuna mdogo wangu aliteswa na mapenzi mpka akafikia hatua yakunishirikisha , nikamwambia ahakikishe kwanza ni upwiru ulikua unamsumbua au yalikua ni mapenzi ya kweli ,finally alinitafuta akaniambia ilikua ni upwiru bro.Sijawahi kupenda hadi nikiachwa nitake kujinyonga
Kagera ipo kusini?
Dunia bila ya Mwanamke ilikuwa kamilifu,ila baada ya Mwanamke mambo yaliharibika!Maelezo marefu kama Mwanaume angekuwa na akili timamu asingekubali kula tunda huko eden,yaani ndio maana Mungu alimuumba Mwanaume akaona huyu kichwa Maji huko Duniani bila Mwanamke hatoshi ngoja nimletee mkamilifu zaidi yake ๐๐
Labda huyu aliyeua itakua alikua hana hela njaa inamuuma na pisi imemzinguaKuna mdogo wangu aliteswa na mapenzi mpka akafikia hatua yakunishirikisha , nikamwambia ahakikishe kwanza ni upwiru ulikua unamsumbua au yalikua ni mapenzi ya kweli ,finally alinitafuta akaniambia ilikua ni upwiru bro.
Ndo ujue akili kubwa tunaweza kuituliza Dunia na kuichafua Dunia so ukiandika kitu kuhusu Wanawake uwe na adabu zote umesikia kijana ๐Dunia bila ya Mwanamke ilikuwa kamilifu,ila baada ya Mwanamke mambo yaliharibika!
Hapo ndo utajua hii Dunia inaharibiwa na Mwanamke na Uke wake!
Na hiki wengi wa kizazi cha sasa hawakijui wala hawataki kuwekea mkazo nacho. Mtoto akizaliwa kwenye boma lako ni wako, nashangaa wanaenda kupima DNA mwisho wa siku wanajiua wenyewe.Kitanda hakizai haramu mzee.
mkuu nimecheka sana ila utakuta malaya alikua anachukua vya mwamba alafu analika kwingine mwamba kajua kaamua bora asepe dunia tunapita๐๐๐๐ au drama za kijinga tu za mademWatu wamechoka drama ni mwendo wa kusolve by elimination method hawataki substitution & graphical method