Penina wa Goba Centre auawa na aliyekuwa mpenzi wake kwa kukatwa mapanga
Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake.

Nitaleta update zaidi.

Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!

UPDATES:
Ngosha baada ya kumuua alienda polisi mdogomdogo maana ni kama 2minutes walking....
Pia muda ni saa kumi na mbili asubuhi badala ya saa tisa... cc nifah
Huyo mwanamke inawezekana yeye mwenyewe ndiye ameharibu. Wanawake wanakera wewe acha tu mkuu.
 
Mfumo mzuri wa mapenzi ni ule ukihitaji penzi unatafuta dada unamlipa anakupa penzi mnamalizana. Siku nyingine ukihitaji penzi unatafuta mwingine au unamuita huyo huyo unamlipa anakupa penzi mnamalizana.
Haya mambo eti mtu ana mpenzi anahudumia wakati haina tofauti yeyote n kwa sababu wanawake karibia wote wanauza na hawana mteja mmoja. Wanaume wanapaswa kuondoka katika mfu.o wa kuwa na mpenzi wa kudumu.
Buyer seller relationship ndio mfumo bora kwa-mazingira ya sasa.
Kabisa huu ndiyo mpango mzima. Unang'ang'ania papuchi ya malaya hadi unamuonea wivu huu ni upumbavu kabisa
 
Wala watu hawana shida ya akili.Vitu vingine ni hali yakimaumbile tu.vitu kama wivu,hasira kali ni hali ambayo viumbe wote wanavyo.Tunatofautiana kati ya mtu na mtu katika kuvumilia kwasababu ya uwingi wa vichocheo mwilini.kuvumilia halihusiani na uimara wa akili bali vichocheo vya mwili.Kila binadamu ana udhaifu mahali fulani.Kama udhaifu wako haujakutana na changamoto ni rahisi kuona waliopata changamoto zikawapelekea kufanya maamuzi mabaya ni vichaa.
Hivyo vichocheo vinapofanya ubongo utoe maamuzi ya kuua ,ndipo tunasema huyo mtu ana changamoto ya afya ya akili .
 
Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake.

Nitaleta update zaidi.

Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!

UPDATES:
Ngosha baada ya kumuua alienda polisi mdogomdogo maana ni kama 2minutes walking....
Pia muda ni saa kumi na mbili asubuhi badala ya saa tisa... cc nifah
Aisee. Kama amekula pesa za watu nakuanza kuleta dharau lzm auwawe
 
Dah watu wanateseka sana na mapenzi ndio mana mm nimeamua kutokuchukulia serious mambo ya mapenzi
Si mapenzi tu, karne ya 21 hutakiwi kuwa serious kwa kila jambo ila uwe na kiasi na tahadhari la sivyo tutakugongea Mkeo angali mbichiiii ilihali unaliwa na funza ardhini [emoji847]

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Demu umemsomesha, unamuhudumia baba na mama mkwe na ukoo mzima
Halafu akuletee mambo siyo, agongwe na wahuni...! Kifuatacho ITV
Acha uboya dogo....Sasa ukishamuua unakuwa umemkomoa nani? manake yeye atakuwa hayupo wala hajui kinachoendelea, ila wewe utateseka na damu yake milele!!! Huwezi kushindana nao hao viumbe...mimi sijawahi kutumia moyo wangu kupenda mwanamke hata mara moja...ndiyo maana huwa naona nafuu mwanamke akinitenda hivyo ili nipate sababu ya kumuacha fasta kwa haraka!!!!!
 
Shida ya afya ya akili ni kubwa mno , inabidi kabla ya kujihusisha na mtu utafiti wa kina ufanyike.
Maisha yenyewe tu ni utafiti tosha kuyawini, huo muda na fedha za kutafiti tabia ya Mtu ilihali haiko constant "unpredictable" uko wapi[emoji848][emoji851]

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work
 
Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake.

Nitaleta update zaidi.

Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!

UPDATES:
Ngosha baada ya kumuua alienda polisi mdogomdogo maana ni kama 2minutes walking....
Pia muda ni saa kumi na mbili asubuhi badala ya saa tisa... cc nifah
Wanaume acheni kuhonga sana mnajifanya wajanja wakiwatema mnaanza kuwaua.

Mtatumalizia wanwake wazuri mpaka lini?
Unapohonga ni mapenzi yako hujalazimishwa
 
Dunia bila ya Mwanamke ilikuwa kamilifu,ila baada ya Mwanamke mambo yaliharibika!

Hapo ndo utajua hii Dunia inaharibiwa na Mwanamke na Uke wake!

[/QUOTE

Ghaka ukowapi
Dunia bila ya Mwanamke ilikuwa kamilifu,ila baada ya Mwanamke mambo yaliharibika!

Hapo ndo utajua hii Dunia inaharibiwa na Mwanamke na Uke wake!
Ghaka uliendaga wapi mtaalamu au ulikuwa unampa .moto Maya wako 😂🤣😂
 
Back
Top Bottom