Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #61
Labda jopo la madaktari wa magonjwa ya akili kwa ajili ya kukutibu.Mimi nina jopo la pisikali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda jopo la madaktari wa magonjwa ya akili kwa ajili ya kukutibu.Mimi nina jopo la pisikali
Ameshaishiwa hoja sasa anamuona kila mwanachadema ni adui yake.Personal attacks ni siasa za kishamba sana. Halafu kijitu kizima kinajifanya kichungaji huku kinaendesha siasa Za maji taka. Msigwa keshakuwa mtumwa wa fikra
Unafikri mimi mluga luga kama wewe kujipendekeza pendekeza utaolewa shauri yakoLabda jopo la madaktari wa magonjwa ya akili kwa ajili ya kukutibu.
Kumuota na kumtajataja X 24/7 so daNdugu zangu Watanzania,
Hayo ni Maneno ya Mchungaji Peter Msigwa,Mbunge wa Zamani wa Iringa Mjini. sina cha kuongeza wala siweki neno langu lolote lile zaidi ya kukuwekea Alichokiandika Mwenyewe.View attachment 3065994
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ana mahaba bado na CHADEMAPersonal attacks ni siasa za kishamba sana. Halafu kijitu kizima kinajifanya kichungaji huku kinaendesha siasa Za maji taka. Msigwa keshakuwa mtumwa wa fikra
Tamaa tu ya dolari za Dulla lakini akili yake iko Chadema ni kama Haji Manara tuKumuota na kumtajataja X 24/7 so da
Ana mahaba bado na CHADEMA
Wewe ni jinga jinga tu 😃😃Unafikri mimi mluga luga kama wewe kujipendekeza pendekeza utaolewa shauri yako
Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kuendelea kusalia CHADEMA.ndio maana wale wenye akili Timamu na wanaojitambua wanaondoka kwa kasi sana kuja CCM chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzaniaTamaa tu ya dolari za Dulla lakini akili yake iko Chadema ni kama Haji Manara tu
Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kuendelea kusalia CHADEMA.ndio maana wale wenye akili Timamu na wanaojitambua wanaondoka kwa kasi sana kuja CCM chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzaniaTamaa tu ya dolari za Dulla lakini akili yake iko Chadema ni kama Haji Manara tu
Mama Abduli mwenyewe anaiwaza Chadema kwa vile wewe ni kilaza ndiyo hujajua Chadema ni nani katika nchi hii.Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kuendelea kusalia CHADEMA.ndio maana wale wenye akili Timamu na wanaojitambua wanaondoka kwa kasi sana kuja CCM chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania
Kwa hiyo Halima Mdee ana akili timamu?Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kuendelea kusalia CHADEMA.ndio maana wale wenye akili Timamu na wanaojitambua wanaondoka kwa kasi sana kuja CCM chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania
Ni kichaa na mwendawazimu pekee atapuuza hoja za mchungaji peter Msigwa juu ya uozo uliopo ndani ya CHADEMA.jibuni hoja zake na siyo kupiga porojo zenu hapa. Lissu Mwenyewe analalamika kila siku juu ya hilo lichama lenu kuwa limepoteza Dira na muelekeoMsigwa ameamua kuwa punguani.
Wenye akili timamu huhangaika kuyatafuta maarifa, Msigwa anahangaika kuutafuta upunguani. Amemaliza kejeli kwa Mbowe, baada ya kupuuzwa ameenda kwa Lema. Akimaliza kwa Lema ataenda kwa Lisu, kwa Mnyika, na kwa kila anayedhani ana akili na uwezo kumzidi yeye.
Msigwa apuuzwe kwa uhayawani wake. Mwenye akili hata akihama chama huwa hapwayuki kama huyu punguani. Mfano mzuri na Hayati Lowasa RIP.
Hana huo muda mchafu. Anachowaza na kukifanya kila siku ni kuwapelekea maendeleo watanzaniaMama Abduli mwenyewe anaiwaza Chadema kwa vile wewe ni kilaza ndiyo hujajua Chadema ni nani katika nchi hii.
Wewe kwa level yako huwezi kuelewa, endelea kumwaga sifa labda mwakani utaambulia ubunge wa viti maalum.Hana huo muda mchafu. Anachowaza na kukifanya kila siku ni kuwapelekea maendeleo watanzania
Unaandika uchwara tu huna akiliHuwezi ukaelewa nachoandika maana akili yako ni ndogo sana kuliko akili ya kuku.
Wewe ndiye huna akili.Unaandika uchwara tu huna akili
Hii nchi hakuna vyama pinzani tunachezewa akili zetuNdugu zangu Watanzania,
Hayo ni Maneno ya Mchungaji Peter Msigwa,Mbunge wa Zamani wa Iringa Mjini. sina cha kuongeza wala siweki neno langu lolote lile zaidi ya kukuwekea Alichokiandika Mwenyewe.View attachment 3065994
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Upinzani ni wasaka Tonge tu na wachumia tumbo.Hii nchi hakuna vyama pinzani tunachezewa akili zetu