Macho kurembua atakuwa anasomewa visomo kusafisha nyota kwa Watanzania, hakika awamu hii tumepata kiongozi Furushi kwelikweli…
 
Sasa ikifika kule Ngara siitauzwa 4000
 
Huu mlipuko wa bei ya mafuta unaenda kupandisha kila kitu, halafu mishahara ya watumishi imebaki ileile kiduchu.....nchi hii imeharibiwa sana na hawa wanasiasa wachumia tumbo wasiokuwa na vision wala ubunifu wowote, empty set!​
 
Walifungia stock ndio maana hapa katikati mafuta yalikuwa hadimu
 
Huu mlipuko wa bei ya mafuta unaenda kupandisha kila kitu, halafu mishahara ya watumishi imebaki ileile kiduchu.....nchi hii imeharibiwa sana na hawa wanasiasa wachumia tumbo wasiokuwa na vision wala ubunifu wowote, empty set!​
Wao wabunge wanazidi kuongezewa marupurupu ,si wasindikizaji tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…