ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Ney wa mitego amesema kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ni mara ya kwanza bei kupanda?Kwa bei hizi mpya za mafuta ni wazi kutatokea ugumu mkali sana wa maisha tujiandae wananchi kuendelea kuchangia kodi kwa serikaliView attachment 2705733
Ni parallel mkuuHuu sio mfumuko bali ni mlipuko wa bei.
Mafuta yakipanda bei, tutarajie vitu vingi ikiwemo nauli nazo zitapanda perpendicular.
Kuwa control Wafanyabiashara wa Mafuta inabidi Rais uwe mbabe Kama Magufuli, ukiwachekea imekula kwako, maana watakupa Kodi yako vizuri tu,sema na wwe usiwapangie bei ya kuuza Mafuta waacha wauuze wanavyotaka!!Huyu mama hana control tena na hii nchi maana ishamshinda watu wanafanya wanavyotaka.
Lakini na Mishahara Samia si kapandisha!? Waacha na Wafanyabiashara nao wapaendeshe bidhaa zao!!aposto kuna muujiza………[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Muujiza gani?: bei ya petrol na disel zimelipuka badala ya kupanda
Aiseee huu ni mlipuko sio mfumuko….
Sema mlipukooooooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Samia uchumi umemshinda kabisa
Wafanye 5000 kamili ili kuondoa usumbufu wa chengi ndogo ndogo za buku buku!!Bei ya kawaida, ilitakiwa iwe 4000
Wafanye 5000 kamili ili kuondoa usumbufu wa chengi ndogo ndogo za buku buku!!
Tuliandika sana kuhusu uhaba wa dola, wewe ChoiceVariable na maroboti mengine yakapinga.Hali inazidi kuwa Tete,tunarudi Kwa mwaka Jana
======
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei mpya za mafuta ambazo zinaonesha Petroli imepanda kwa sh. 443 huku Dizeli ikipanda kwa 391 kwa Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa bei mpya zilizotangazwa leo na EWURA, Petroli iliyokuwa inauzwa sh. 2,736 imepanda hadi 3,199 huku Dezeli iliyokuwa inauzwa sh. 2,544 imepanda hadi 2,935, kwa Dar es Salaam bei ambazo zitaanza kutumika kesho Jumatano, Agosti 02,2023 saa 6:01 usiku.
Aidha EWURA imesema sababu za mabadiliko ya bei hizo kwa mwezi Agosti 2023 ni changamoto za upatikanaji wa Dola za Marekani, mabadiliko ya sera za kikodi, kushuka kwa thamani ya Shilingi dhidi ya Dola ya Marekani, ongezeko la gharama za mafuta katika soko la dunia na gharama za uagizaji wa mafuta.
Imesema kwa mwezi Agosti 2023, bei za rejareja za mafuta katika Mikoa ya Tanga yatauzwa sh. 3,245 na Mtwara ni sh. 3,271.
"Lile Jambo letu liko pale pale Watumishi msijali"Huu mlipuko wa bei ya mafuta unaenda kupandisha kila kitu, halafu mishahara ya watumishi imebaki ileile kiduchu.....nchi hii imeharibiwa sana na hawa wanasiasa wachumia tumbo wasiokuwa na vision wala ubunifu wowote, empty set!
Kwamba hujui kodi na shilingi zimepanda?The oil cartel wins again. EWURA ni toothless dog. Kazi yao ni kukusanya % kwenye miamala ya mafuta, umeme, gesi na maji baaasi.
Lita 500,000 nikizitoa, mwezi ujao nafungua vituo viwili vya mafuta huko kuelekea Kusini.Hapo kuna watu wanapata mabilioni ndani ya siku 1 maana kama mtu alikuwa na lita milioni 2 tayari faida kapata na hii ilitegemewa maana mafuta yalifichwa mapema mno, maana bei ilishajulikana itapanda
Mwezi unaokuja itapanda tena maana dollar itakuwa imefika 2700 hivyo lita itafika 3500 hadi mwaka uishe mafuta yatakuwa 4000 huko
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Tuendelee kubetKwa bei hizi mpya za mafuta ni wazi kutatokea ugumu mkali sana wa maisha tujiandae wananchi kuendelea kuchangia kodi kwa serikaliView attachment 2705733
Maana kwa bei ilivyopanda hapo maana yake unapata zaidi ya milioni 300 faida ya haraka.Lita 500,000 nikizitoa, mwezi ujao nafungua vituo viwili vya mafuta huko kuelekea Kusini.
Siku hizi hakuna Soko huria tena, ni mwendo wa Soko holela, Wafanyabiashara hawashindani bali hukaa na kukubaliana bei ya kuuza na kiasi Cha Mzigo kitakacholetwa kwenye soko kwa ajili ya mauuzo!!Bei ya mafuta iachwe ipangwe na soko, serikali iingilie pale inapoona imezidi sana.
Soko huria laweza kushusha bei kwa zaidi ya 20% kwa kuondoa ukiritimba na rushwa inayoweza kujitokeza.