Petroli na Diesel bei Juu. Dola yaelezwa kuwa sababu ya bei kupaa
Macho kurembua atakuwa anasomewa visomo kusafisha nyota kwa Watanzania, hakika awamu hii tumepata kiongozi Furushi kwelikweli…

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mchezewe akili mpaka lini ?
Series kuzima Series.. Ni kushift attention tu pale mtu akikabwa kwelikweli.
 
WTI.mH4.png


yanashuka kuwa mpolee ndugu
 
Bei ya mafuta iachwe ipangwe na soko, serikali iingilie pale inapoona imezidi sana.
Soko huria laweza kushusha bei kwa zaidi ya 20% kwa kuondoa ukiritimba na rushwa inayoweza kujitokeza.
 
Kwa bei hizi mpya za mafuta ni wazi kutatokea ugumu mkali sana wa maisha tujiandae wananchi kuendelea kuchangia kodi kwa serikali
IMG-20230802-WA0001.jpg
 
Back
Top Bottom