Watu wanataka wajaze maana kesho bei inaongezeka zaidiHapa Moshi Mjini Nimeona Usiku Huu Kituo Cha Mafuta Cha Total Foleni Ndefu
Puma Iliyopo Stendi Nako Foleni Ndefu Sana
Macho kurembua atakuwa anasomewa visomo kusafisha nyota kwa Watanzania, hakika awamu hii tumepata kiongozi Furushi kwelikweli…
Ndio maana walificha mafuta ili wapandishe beiHaya
Ni Ongezeko la kihistoria like 16% au mimi ndio nimejichanganya!
kweliiii...kivipitaifa linaongozwa na watu waliofeli
Huyu makamba anatupeleka kubayaHaya
Ni Ongezeko la kihistoria like 16% au mimi ndio nimejichanganya!