Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Kuanguka Na Anaweza Kuzama/KuvunjikaHatari ni nin pale wakuu kuanguka kwenye matope?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanguka Na Anaweza Kuzama/KuvunjikaHatari ni nin pale wakuu kuanguka kwenye matope?
Pole sana mafuriko yapo Ununio yapo Tegeta yapo Mbweni sasa sijui huko ni Uswazi?Dar kwenye mafuriko ni huko uswazi
hujapita kariakooMafuriko yanakuwepo kigogo na jangwani.
Heri yetu watu tunaoshi huku mikoa mingine salama, hili ni balaa zaidi ya goli la KIBU DEE MTOMBANGILE
Hapa ni Mbezi Beach Afrikana Je hapo ni Uswazi?Dar kwenye mafuriko ni huko uswazi
Acha upuuzi sasa CCM itazuia Mvua ? Mafuriko yapi USA huko pamoja na miundombinu boraNa CCM wapo tu wanaimba Nani kama Mama!
Unaona kawaida vile hatujaleta taarifa mbaya siyo?asa apo hatari ya nini mbna kawaida tu
Pole Unaijua Mbezi beach Aftikana? Unaijua sinza? Unaijua ununio? unaijua Mbweni? Unaijua Bunju?Mafuriko yanakuwepo kigogo na jangwani.
Yaani Mtu aache maghorofa?Nyie mliambiwa mhame huko hamtaki, subirini mafuriko yaongezeke mara dufu huenda akili ikawakaa sawa
Zanzibar ndiko kwenye uchumi wa blue????🤣Amani kwako.
Jiji la Dar Es Salaam na Zanzibar ni kati ya mikoa iliyotajwa kuwa na mvua kubwa zitakazopelekea mafuriko na hali ya sintofaham.
Mvua ya toka jana jioni hadi leo imepelekea baadhi ya sehemu kadhaa kukubwa na mafuriko katika mini hii iliyotajwa hapo juu Dar Es Salaam na Zanzibar.
Picha hii hapa ni kutoka darajani Zanzibar.
View attachment 2804943
Na hii hapa chini ni jijini Dar Es Salaam.
View attachment 2804945
Mliambiwa wauzieni DPW maana wao wana undugu na maji ili nyie mhame kabisa mkoa huo lakini hamkusikia, haya kazi ndo imeanza.Yaani Mtu aache maghorofa?
Mbweni kuna baadhi ya maeneo, africana na pale goigi palisharekebishwa. Sinza na ununio ni makazi yangu na hakuna mafuriko. Bunju ipi yenye mafuriko?Pole Unaijua Mbezi beach Aftikana? Unaijua sinza? Unaijua ununio? unaijua Mbweni? Unaijua Bunju?
Ujenzi uliopo uko mikoani siyo sawa na miji niliyotaja wa kusababisha mafuriko sababu kila mtu anataka kuja Dar na akipata pesa kidogo ananunua popote pale hata eneo la njia ya maji.Heri yetu watu tunaoshi huku mikoa mingine salama, hili ni balaa zaidi ya goli la KIBU DEE MTOMBANGILE
Nami nilikuwa najiuliza hili swali piaHawa wanafunzi wanaenda shule gani leo Jumapili.