TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Ndiyo mkuu na atakaye na aje!Zanzibar ndiko kwenye uchumi wa blue??🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo mkuu na atakaye na aje!Zanzibar ndiko kwenye uchumi wa blue??🤣
Wewe utakuwa unaishi Ghaza tu maana kila Mji hii tz mvua zinanyesha ni swala la wakati tu nanyi hamtaamini macho yenuKamvua ka siku moja kanawasumbua hivyo? Hameni mje mikoani lasivyo tutakuja kuwaokota baharini.
Safi sana
Hey, hamia US acha ujingaAcha upuuzi sasa CCM itazuia Mvua ? Mafuriko yapi USA huko pamoja na miundombinu bora
UONGO hii picha si ya leo maana Jangwani hakuna Trafic lights
Kiongozi ukiona kitu hakipo sawa rekebisha fasta kuepusha udanganyifu.UONGO hii picha si ya leo maana Jangwani hakuna Trafic lights
Kuna watu mngebarikiwa dunia hii kama kina Mengi (r.i.p), Bakhressa n.k sijui kama ingekalika. Ahsante Mungu u-kapuku mmoja mjjnga mjinga tu!!Dar kwenye mafuriko ni huko uswazi
Kumbe upo KisijuUONGO hii picha si ya leo maana Jangwani hakuna Trafic lightsU
Tope linanasa, huwezi kujitoa. Mara mia utumbukie kwenye maji kuliko tope.Hatari ni nin pale wakuu kuanguka kwenye matope?
Yanga wameshinda leo. Hiyo ndo habari ya maana. Dah! Hii nchi bhana😄🤦🏾♂️
Hapo ni jijini?😃
Watu wa Dar si ndio mnajisifia mna Maisha mazuri na miundombinu kuliko mikoaniNa CCM wapo tu wanaimba Nani kama Mama!
Wametuibia sana bora wazameZanzibar wapelekewe misaada na helikopta mapema sana
Pale CBE ni kigogo, mkunguni posta ni Vingunguti nadhani...!Dar kwenye mafuriko ni huko uswazi
Haya ni mafuriko ya kujitakia. Yanaonyesha jinsi CCM ilivyo na akili ndogo. Haya mafuruko ni matokeo ya uzembe wa muda mrefu wa kuachia ujenzi holela na kupuuza kuweka mifereji ya maji.Muhimu kuchukua tahadhari na kuzingatia maelekezo ya wataalamu wa hali ya hewa
Wenye akili finyu wanaona kuwa kinachotokea hakizuiliki. Na mbaya zaidi wanatumia mifano kutoka USA bila kujua hata mafuriko ya huko yanasababishwa na mvua ya aina gani! Mvua iliyonyesha ni ndogo sana na ilipaswa kusiwe na mafuriko kama ujenzi ungekuwa wa mpangilio na pia mifereji iwepo ya kutosha.Acha upuuzi sasa CCM itazuia Mvua ? Mafuriko yapi USA huko pamoja na miundombinu bora