Nyie mliambiwa mhame huko hamtaki, subirini mafuriko yaongezeke mara dufu huenda akili ikawakaa sawa
 
Zanzibar ndiko kwenye uchumi wa blue????🤣
 
Heri yetu watu tunaoshi huku mikoa mingine salama, hili ni balaa zaidi ya goli la KIBU DEE MTOMBANGILE
Ujenzi uliopo uko mikoani siyo sawa na miji niliyotaja wa kusababisha mafuriko sababu kila mtu anataka kuja Dar na akipata pesa kidogo ananunua popote pale hata eneo la njia ya maji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…