Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Na upanga Kwa sehemu πPale CBE ni kigogo, mkunguni posta ni Vingunguti nadhani...!
Shaolin masters
Mama kaleta Hadi swimming pool barabarani, nyie wa Mkoani hamna hiziWatu wa Dar si ndio mnajisifia mna Maisha mazuri na miundombinu kuliko mikoani
Nini tena mnailalamikia CCM?kwani mama kafanyaje tena?ππ
Wewe ndo usipotoshe hiyo picha si ya leo wala mwaka juziKiongozi ukiona kitu hakipo sawa rekebisha fasta kuepusha udanganyifu.
Weka picha yenye uhalisia.
ππππ Nani alituroga??Na CCM wapo tu wanaimba Nani kama Mama!
Unabishana na mamlaka ya hali ya Hewa iliyosema mvua zitakuwa nyingi ? Mvua inanyesha siku mbili mfululizo inapumzika nusu saa kisha inaanza tena unasema mvua ndogo? Tena ukumbuke Dar ipo karibu zaidi na usawa wa bahari Mvua za Kisarawe zote uelekeo Jangwani Mvua kibaha maji yote uelekeo Dar . Mji wa Dar es salaam upo Chini wote hivyo Mvua ikinyesha kutwa moja tu mafuriko . Eti unalaamu CCM sasa unataka Wazuie Mvua au wajaze kifusi Dar yote ? Halafu anayelalamikia Chama huna hata hojaWenye akili finyu wanaona kuwa kinachotokea hakizuiliki. Na mbaya zaidi wanatumia mifano kutoka USA bila kujua hata mafuriko ya huko yanasababishwa na mvua ya aina gani! Mvua iliyonyesha ni ndogo sana na ilipaswa kusiwe na mafuriko kama ujenzi ungekuwa wa mpangilio na pia mifereji iwepo ya kutosha.
Serikali inakusanya City Levy na haijulikani inafanyiwa nn
Mama amewafikia watanzania.
Narudia. Mvua siyo nyingi za kusababisha mafuriko. Ni ujenzi mbovu na ukosefu wa miundombinu. Ila mtu kama wewe unaweza kuona ni ''kudra ya Mungu'' na hakuna la kufanya. Unajua maana ya ''land reclamation''? Nenda Holland uone ndiyo utajua ninachomaanisha.Unabishana na mamlaka ya hali ya Hewa iliyosema mvua zitakuwa nyingi ? Mvua inanyesha siku mbili mfululizo inapumzika nusu saa kisha inaanza tena unasema mvua ndogo? Tena ukumbuke Dar ipo karibu zaidi na usawa wa bahari Mvua za Kisarawe zote uelekeo Jangwani Mvua kibaha maji yote uelekeo Dar . Mji wa Dar es salaam upo Chini wote hivyo Mvua ikinyesha kutwa moja tu mafuriko . Eti unalaamu CCM sasa unataka Wazuie Mvua au wajaze kifusi Dar yote ? Halafu anayelalamikia Chama huna hata hoja
CCM na Mwenge waoππππ Nani alituroga??
Sasa si mlisema toka juzi kuwa tayari Yanga italala kisa mvua inapiga ya kuua mtu, Imekuwaje tena huko?.Yanga wameshinda leo. Hiyo ndo habari ya maana. Dah! Hii nchi bhanaππ€¦πΎββοΈ
Sasa kijana kibamba ipo mkoa wa Rukwa?.Hapo ni jijini?π
Kaazi kweli kweli.
Camarada hadi leo hujui City Levy inaenda wapi ?.Serikali inakusanya City Levy na haijulikani inafanyiwa nn
Huyo kijana anaisikia Darslamu kwa kusoma JF, ndiyo maana kakomenti ujinga.Pole sana mafuriko yapo Ununio yapo Tegeta yapo Mbweni sasa sijui huko ni Uswazi?
Walah ningejua nisingewaka hapaCamarada hadi leo hujui City Levy inaenda wapi ?.
Sio wote wapo mabondeni mkuu mafuriko hayo hata sehemu tambarareNyie mliambiwa mhame huko hamtaki, subirini mafuriko yaongezeke mara dufu huenda akili ikawakaa sawa
Umemuelewesha vizuri sana.Unabishana na mamlaka ya hali ya Hewa iliyosema mvua zitakuwa nyingi ? Mvua inanyesha siku mbili mfululizo inapumzika nusu saa kisha inaanza tena unasema mvua ndogo? Tena ukumbuke Dar ipo karibu zaidi na usawa wa bahari Mvua za Kisarawe zote uelekeo Jangwani Mvua kibaha maji yote uelekeo Dar . Mji wa Dar es salaam upo Chini wote hivyo Mvua ikinyesha kutwa moja tu mafuriko . Eti unalaamu CCM sasa unataka Wazuie Mvua au wajaze kifusi Dar yote ? Halafu anayelalamikia Chama huna hata hoja
Mvua imenyesha mfululizo Leo sku ya 4, na hata sasa wingu ni zito na manyunyu , unaweza laumu serikali , Ila sio ya kulaumu completely, mvua ni tatizo almost duniani kote , miji yote iliyo Kando ya bahari huwa ipo hatarini Kwa sababu bahari ndo chanzo kikuu cha mabadriko ya Hali mbaya ya hewa , Kwa mwez wa kumi pekee mwaka huu ripoti za mafuriko duniani kote zinatisha , na Hali inaweza kuwa mbaya zaid mana miiji mingi kando ya bahari ipo chini bondeni , na mvua Hz zimeripotiwa karbia maeneo mengi ya dunia , hapa Tu DSM watu wengi hawatoki ndani..., Serikali Una pa kulaumiwwa Ila tukubali pia nguvu ya natureNarudia. Mvua siyo nyingi za kusababisha mafuriko. Ni ujenzi mbovu na ukosefu wa miundombinu. Ila mtu kama wewe unaweza kuona ni ''kudra ya Mungu'' na hakuna la kufanya. Unajua maana ya ''land reclamation''? Nenda Holland uone ndiyo utajua ninachomaanisha.