Picha: Tupatie update ya eneo lako husika- El nino 2023/2024
Wenye akili finyu wanaona kuwa kinachotokea hakizuiliki. Na mbaya zaidi wanatumia mifano kutoka USA bila kujua hata mafuriko ya huko yanasababishwa na mvua ya aina gani! Mvua iliyonyesha ni ndogo sana na ilipaswa kusiwe na mafuriko kama ujenzi ungekuwa wa mpangilio na pia mifereji iwepo ya kutosha.
Unabishana na mamlaka ya hali ya Hewa iliyosema mvua zitakuwa nyingi ? Mvua inanyesha siku mbili mfululizo inapumzika nusu saa kisha inaanza tena unasema mvua ndogo? Tena ukumbuke Dar ipo karibu zaidi na usawa wa bahari Mvua za Kisarawe zote uelekeo Jangwani Mvua kibaha maji yote uelekeo Dar . Mji wa Dar es salaam upo Chini wote hivyo Mvua ikinyesha kutwa moja tu mafuriko . Eti unalaamu CCM sasa unataka Wazuie Mvua au wajaze kifusi Dar yote ? Halafu anayelalamikia Chama huna hata hoja
 
Unabishana na mamlaka ya hali ya Hewa iliyosema mvua zitakuwa nyingi ? Mvua inanyesha siku mbili mfululizo inapumzika nusu saa kisha inaanza tena unasema mvua ndogo? Tena ukumbuke Dar ipo karibu zaidi na usawa wa bahari Mvua za Kisarawe zote uelekeo Jangwani Mvua kibaha maji yote uelekeo Dar . Mji wa Dar es salaam upo Chini wote hivyo Mvua ikinyesha kutwa moja tu mafuriko . Eti unalaamu CCM sasa unataka Wazuie Mvua au wajaze kifusi Dar yote ? Halafu anayelalamikia Chama huna hata hoja
Narudia. Mvua siyo nyingi za kusababisha mafuriko. Ni ujenzi mbovu na ukosefu wa miundombinu. Ila mtu kama wewe unaweza kuona ni ''kudra ya Mungu'' na hakuna la kufanya. Unajua maana ya ''land reclamation''? Nenda Holland uone ndiyo utajua ninachomaanisha.
 
Yanga wameshinda leo. Hiyo ndo habari ya maana. Dah! Hii nchi bhana😄🤦🏾‍♂️
Sasa si mlisema toka juzi kuwa tayari Yanga italala kisa mvua inapiga ya kuua mtu, Imekuwaje tena huko?.
 
Unabishana na mamlaka ya hali ya Hewa iliyosema mvua zitakuwa nyingi ? Mvua inanyesha siku mbili mfululizo inapumzika nusu saa kisha inaanza tena unasema mvua ndogo? Tena ukumbuke Dar ipo karibu zaidi na usawa wa bahari Mvua za Kisarawe zote uelekeo Jangwani Mvua kibaha maji yote uelekeo Dar . Mji wa Dar es salaam upo Chini wote hivyo Mvua ikinyesha kutwa moja tu mafuriko . Eti unalaamu CCM sasa unataka Wazuie Mvua au wajaze kifusi Dar yote ? Halafu anayelalamikia Chama huna hata hoja
Umemuelewesha vizuri sana.
Wengine wanaandika tu ili mradi maneno iyasomwe .
 
Narudia. Mvua siyo nyingi za kusababisha mafuriko. Ni ujenzi mbovu na ukosefu wa miundombinu. Ila mtu kama wewe unaweza kuona ni ''kudra ya Mungu'' na hakuna la kufanya. Unajua maana ya ''land reclamation''? Nenda Holland uone ndiyo utajua ninachomaanisha.
Mvua imenyesha mfululizo Leo sku ya 4, na hata sasa wingu ni zito na manyunyu , unaweza laumu serikali , Ila sio ya kulaumu completely, mvua ni tatizo almost duniani kote , miji yote iliyo Kando ya bahari huwa ipo hatarini Kwa sababu bahari ndo chanzo kikuu cha mabadriko ya Hali mbaya ya hewa , Kwa mwez wa kumi pekee mwaka huu ripoti za mafuriko duniani kote zinatisha , na Hali inaweza kuwa mbaya zaid mana miiji mingi kando ya bahari ipo chini bondeni , na mvua Hz zimeripotiwa karbia maeneo mengi ya dunia , hapa Tu DSM watu wengi hawatoki ndani..., Serikali Una pa kulaumiwwa Ila tukubali pia nguvu ya nature
 
Back
Top Bottom