mimi kwakweli sio injinia ila naona kama wanakosea wangeenda kwa kipande kimoja hadi kiishe ndio wahamie kingine.

kuliko kufukua fukua kilasehem toka vingunguti hadi gongo ramboto
utakuwa mgeni na sinohydro ( ni yule yule wa BRT ya Mbagala ambayo kabla kuanza kazi, kishabomoka )
na icho kipande cha Gomes-Vingunguti kitaisha miaka 3 mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…