[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi huniambii kitu kuhusu buguruni, sijisikii kama niko dar ikiwa sitolala buguruni. Nikikwama basi buku 2 tu inatosha kuondoa 'uchichi'.
Kasie wewe [emoji23][emoji173][emoji173]Nimestuka...!!!!!!
Akili ilijua imeona naniliu.....[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Heshima yako washee [emoji4].
Aiseeh ndio umetupiga picha ndugu yangu🤣
Masaki hii ya town au masaki ya homboza? 😁Huku Masaki hali ni tete pia 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Kule wanavuna Samaki na wanawauza pale RozanaHasa kule kwenye mabwawa ya majitaka
Nyuma ya muhimbili upanga hiyo
Masaki Homboza pakishua sana. Achana na Masaki ya bonde la mchichaMasaki hii ya town au masaki ya homboza? 😁
Kama mvua kwenu ni neema bakini huko hukoDuh!... Huko Daslaam mvua ni maafa na sio baraka kama huku mikoani ?...🙄🙄🙄
Ndio maana mnatuacha stendi hamtaki kutupokea tukija huko.
Saint Anne Chizi Maarifa To yeye
Kwa DSM mvua ni maafa.Duh!... Huko Daslaam mvua ni maafa na sio baraka kama huku mikoani ?...[emoji849][emoji849][emoji849]
Ndio maana mnatuacha stendi hamtaki kutupokea tukija huko.
Saint Anne Chizi Maarifa To yeye
Maisha ni kupambana 😆Kuna wale jamaa wabishi sijui bado wanabishana na TMA?
Angalieni hapo nyuma[emoji1787][emoji1544][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Aiseeh ndio umetupiga picha ndugu yangu[emoji1787]
Wewe Ni mpumbavu Sana mtu kuomba update za mvua kwa eneo uliliko una mtukanaaTukupe update wewe kama nani? Stupid kabisa kwahiyo tukikupa update ndiyo utatulimia mahindi?
Nipe codesNyuma ya muhimbili upanga hiyo
Hii sasa kinondoni,mzururaji nmerudi mjini
Ova
View attachment 2801151
Tukupe update wewe kama nani? Stupid kabisa kwahiyo tukikupa update ndiyo utatulimia mahindi?
Aisee likitokea tetemeko watachekechwa hadi washangae, hivi unapataje usingizi umelala kwenye nyumba jiwe limekuinamia?