Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok, karibu Kiwengwa!Nikisema ni shwari namaanisha sio sana
Wakati wa jua huwa inatamanika ukilinganisha na wakati wa mvua.Ni wakati gani huwa inatamanika mkuu?
Wakati wa jua huwa inatamanika ukilinganisha na wakati wa mvua.
Jana usiku nimepita kwa "dada zetu" hapa sokoni maji yamejaa mpaka milangoni.
[emoji23][emoji23]Aisee likitokea tetemeko watachekechwa hadi washangae, hivi unapataje usingizi umelala kwenye nyumba jiwe limekuinamia?
Mara mia joto lingeendelea kuwepo kuliko mvua ya kiasi hiki [emoji119]Mvua kwa Dar ni kuivua nguo hapafai ni kero tu ila afadhali joto limepungua
😟😟Kigogo Msimbazi
View attachment 2801815
Hii nyumba ndani ni swimming pool