Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pabaya sana hapo. Maji ya kutoka Kinzudi ba Salasala hiyo ndio njia yake ya kwendea bahariniLafia mpk magogo yamekuja barabarani Hali sio poa mvua ya usiku. Tu
Mbeya maji yote hukusanyika Kyela ambako ndio bonding na kwenye ziwa Nyasa.Haiingii akilini Jiji lililopo Pembezoni mwa Bahari kujaa Maji Wakati palikua na uwezekano Wa kuelekea mitato yote baharini na Maji yakatembea Kwa Kasi.
Maji kujaa Pembezoni mwa Bahari Ina Maana Bahari imejaa hakuna pa kuelekeza Maji yanarudi nchi kavu.
Ni rahisi sana kujenge mitaro mikubwa ya Maji na kuelekeza Maji yote baharini kuliko kuacha Maji yapenye penye yenyewe kwenye mikondo iliyojaa michanga na takataka.
Waafrika ni Bure Kabisa.
Jiji Kama Dodoma ,Arusha ,Mbeya na miji ya Morogoro, Tabora ,Singida n.k ni rahisi kukumbwa na mafuriko mana hakuna Sehemu rahisi ya kuelekeza mifereji ya Maji Wakati Wa mvua kubwa.
Au mpaka waje wageni kutusaidia.
Hahaha apa kwenyew imenichapaPabaya sana hapo. Maji ya kutoka Kinzudi ba Salasala hiyo ndio njia yake ya kwendea baharini
Bahari ina kupwa na kujaa. Bahari ikijaa unahisi maji yataenda wapi?Haiingii akilini Jiji lililopo Pembezoni mwa Bahari kujaa Maji Wakati palikua na uwezekano Wa kuelekea mitato yote baharini na Maji yakatembea Kwa Kasi
Ivi nani alikwambia bahari Huwa inajaaBahari ina kupwa na kujaa. Bahari ikijaa unahisi maji yataenda wapi?
Kwanza Bamvua limekaribia, walijua weye?
Kuna bahari kadhaa duniani zinatoa maji kuyatiririsha kuelekea katika mitoHaiingii akilini Jiji lililopo Pembezoni mwa Bahari kujaa Maji Wakati palikua na uwezekano Wa kuelekea mitato yote baharini na Maji yakatembea Kwa Kasi...
Nyumba ya Mwenezi wa CCM huyu ambaye Kila siku anashangilia uovu
Wakati tunanunua ardhi sehemu salama mlikuwa mnatuona wapuuziKwa wazee wenzangu wa makamo, mnakumbuka ile el nino ya mwaka 1998, jiji nusura lizame, barabara na madaraja yaunganishayo nchi yalibomoka na kuondoka kabisa. Zama hizo kupeana taarifa ilikuwa kwa barua, fax, telex, radio call (simu ya upepo), telegram, nk.
Tusirudie makosa yale, tulipoteza ndugu zetu wengi kwa kuwa hawakuwa na tahadhari ya usalama wa huko waendako.
Leo mambo yamebadilika, taarifa, tahadhari na habari vyaweza kusambaa kwa kasi ya mwanga. Karibuni tuutumie uzi huu kulashana taarifa kwa lugha ya picha na video, eleza eneo na kinachojiri, utamsaidia ndugu, jamaa, na hata rafiki yako pia
😄😄vitabu gani ulisoma kujaa na kupwaaIvi nani alikwambia bahari Huwa inajaa
Wapi apaHatari
Mvua ya kawaida tu hiyo sema miundombinu ya Jiji lenu mibovu. Watu wamejenga kiholela na kuziba njia za maji, matokeo yake ndo hayo.Kwa wazee wenzangu wa makamo, mnakumbuka ile el nino ya mwaka 1998, jiji nusura lizame, barabara na madaraja yaunganishayo nchi yalibomoka na kuondoka kabisa. Zama hizo kupeana taarifa ilikuwa kwa barua, fax, telex, radio call (simu ya upepo), telegram, nk.
Tusirudie makosa yale, tulipoteza ndugu zetu wengi kwa kuwa hawakuwa na tahadhari ya usalama wa huko waendako.
Leo mambo yamebadilika, taarifa, tahadhari na habari vyaweza kusambaa kwa kasi ya mwanga. Karibuni tuutumie uzi huu kulashana taarifa kwa lugha ya picha na video, eleza eneo na kinachojiri, utamsaidia ndugu, jamaa, na hata rafiki yako pia
Umeongea kitu kizuri lakini ambacho huna uelewa nacho., unajua maana ya Sea Level!?,Sasa kuna maeneo kama jangwani ni at Sea Level, na baadhi ya sehemu Jangwani ni below Sea Level maji yakifika Jangwani ndo mwisho ndo maana huwa wanasubiri yakauke tu bahati nzuri kuna udongo wa kichanga huwa yanakauka haraka. Siku wakitoboa kuunganisha Jangwani na baharini siku hiyo bahari ikiwa inakupwa na kujaa hadi Jangwani na utakuwa mwanzo wa disaster nyingine. Umewahi kujiuliza kwanini maji ya Jiji zima la Dar es salaam mwisho wake ni Jangwani!??Haiingii akilini Jiji lililopo Pembezoni mwa Bahari kujaa Maji Wakati palikua na uwezekano Wa kuelekea mitato yote baharini na Maji yakatembea Kwa Kasi.
Maji kujaa Pembezoni mwa Bahari Ina Maana Bahari imejaa hakuna pa kuelekeza Maji yanarudi nchi kavu.
Ni rahisi sana kujenge mitaro mikubwa ya Maji na kuelekeza Maji yote baharini kuliko kuacha Maji yapenye penye yenyewe kwenye mikondo iliyojaa michanga na takataka.
Waafrika ni Bure Kabisa.
Jiji Kama Dodoma ,Arusha ,Mbeya na miji ya Morogoro, Tabora ,Singida n.k ni rahisi kukumbwa na mafuriko mana hakuna Sehemu rahisi ya kuelekeza mifereji ya Maji Wakati Wa mvua kubwa.
Au mpaka waje wageni kutusaidia.