Picha: Tupatie update ya eneo lako husika- El nino 2023/2024
Leo naona ule uzi wa watu wa Dar kutupondea watu wa mikoani hakuna mchangiaji.Dar ni magorofa na mabarabara tu ila sehemu nyingi ni majanga sana,miundo mbinu ya Dar sehemu nyingi sana ni mibovu ukilinganisha na huku kwetu mikoani....
 
Wakuu, tujuzane huko ulipo hali ikoje kwa picha na video, na kama kuna sehemu ina changamoto toa taarifa haraka kwa mamlaka husika kuepusha athari kubwa.

Bila kusahau, tuchukue tahadhari kipindi hiki chote cha mvua.

Mzazi, kama mtoto wako anasoma mbali na miundombinu ni mibovu ni bora ukaacha leo apumzike, asije kukutana na majanga ukaishia kujuta.

Wengine wamekutana na majanga asubuhi asubuhi, jamaa kanasa kwenye mtaro maeneo ya Tegeta

Nimegawa likes kama njugu

Zanzibar Hali ni shwari

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Poleni sana mlioko DSM

Kuna haja Serikali ivunje Kibubu kutekeleza ile Proposal ya wataalamu kuhusu kuboresha kwa kujenga miundombinu mipya ya Ku-drain maji kuelekea Baharini.

Najua Serikali ina vipaumbele vingi lakini kwa hili la Kuboresha miundombinu lifanyike kama dharura.
 
Fungua pm yako dogo
Yaani subiri nimalizie huu msala
FB_IMG_1698913388738.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom