Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka 2078,Hahahahaha View attachment 2800996
Nimegawa likes kama njuguWakuu, tujuzane huko ulipo hali ikoje kwa picha na video, na kama kuna sehemu ina changamoto toa taarifa haraka kwa mamlaka husika kuepusha athari kubwa.
Bila kusahau, tuchukue tahadhari kipindi hiki chote cha mvua.
Mzazi, kama mtoto wako anasoma mbali na miundombinu ni mibovu ni bora ukaacha leo apumzike, asije kukutana na majanga ukaishia kujuta.
Wengine wamekutana na majanga asubuhi asubuhi, jamaa kanasa kwenye mtaro maeneo ya Tegeta
Bilionea mahindi..[emoji1787][emoji1787]Bilionea gani huyu ana hasira kama maskini na anawaza mahindi?[emoji23][emoji23]
Watu mnavunja mbavu sana humu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lipo kawe hapo linatafuta umbea wa wale jamaa , linatafuta makosa yao lilete humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanza ombeni sana Mungu tetemeko la kutisha liwapuke vinginevyo miamba itawamaliza na ujenzi wenu mbovu kwenye milima ya maweWa Dar njoni Mwanza maana joto na jua lenu limehania huku.
Hakifanyi kazi tena .hakitakiwi kipate maji
Fungua pm yako dogo
Aisee likitokea tetemeko watachekechwa hadi washangae, hivi unapataje usingizi umelala kwenye nyumba jiwe limekuinamia?Mwanza ombeni sana Mungu tetemeko la kutisha liwapuke vinginevyo miamba itawamaliza na ujenzi wenu mbovu kwenye milima ya mawe
Sio Buguruni tu maeneo mengi Dar kipindi cha mvua ni kinyaaSijawahi kuitamani Buguruni. Sijui wenzangu
Mimi huniambii kitu kuhusu buguruni, sijisikii kama niko dar ikiwa sitolala buguruni. Nikikwama basi buku 2 tu inatosha kuondoa 'uchichi'.Hata katika hali gan pale sipapendi
Unakaa Zanzibar ipi? Kuanzia mjini hadi shamba mvua kuanzia saa kumi na moja mpaka sasa haijakata zaidi ya kupumzika kidogo tu. Namaanisha Unguja.Zanzibar Hali ni shwari
Duuuh hatariii tupu.