Sikulazimishi kitu wewe mbwiga, nimekuuliza swali lijibu badala ya kuweweseka.Kwa mtazamo wako, acha porojo na wewe! Usinilazimishe nifikirie kama wwii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikulazimishi kitu wewe mbwiga, nimekuuliza swali lijibu badala ya kuweweseka.Kwa mtazamo wako, acha porojo na wewe! Usinilazimishe nifikirie kama wwii
Kaongea ukweliHuyu ni mtaalamu wa finance mambo ya sheria amwachie Prof Issa Shivji.
Kabisa yaani tumeshakubali kwa kuwa yuko credible na pia hana historia ya kuyasemea mambo yakawa tofauti kama wengine na ni role model.Mnamkubali nyie vipofu msie mjua!
Kwani yeye ni naniAsante baba, huwa sikukubali, ila kwa hilii ubarikiwe saana. Tuwapuuze wapotoshajiii
Wewe huna ujualo zaidi ya kuwashikia akili wale wote unawaongopea humu kuhusu mambo yakufikirika ya uchawi na ushirikina,haya mambo waachie wenye akili zao,nenda kwenye thd zako zakichawi watakufuata huko watu wako wanaokuabudu kwa huo ujinga ujinga.Ni kweli kabisa hakuna palipoandikwa inauzwa lakini pia hakuna palipoandikwa inakodishwa wala kupangishwa hivyo basi.
Kama haiuzwi
Kama haikodishwi
Kama haipangishwi
Maana yake ni moja tu inatolewa bure...
Zaidi Assad naye anataka kugeuka mchumia tumbo.
Maana yeye anazungumzia bandari moja tu wakati IGA inasema bandari zote Tanzania na miundombinu yake.
Mwambie kachelewa kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona unasema hayo nyuma ya keyboard? Kama unaelewa mtu kahongwa, mahakama huzijuwi? Wanasheria wenzako huwajuwi?Inaelekea huelewi msingi wa wananchi kusema Bandari inauzwa!!
Ccm na Samia wamehongwa fedha nyingi na DpWorld ili kutekeleza huo mkataba wa kifisadi na huko ndio kuuza bandari zetu. Najua utabisha kwa hulka yako!
Unaweza kumnukuu Shivji kasema nini.Kaongea pumba kabisa, njaa jamani mbaya sana! Mambo ya sheria awaachie akina Prof Shivji, yeye ajikite kwenye uhasibu wake!
Una hojaHuyo Assad anajua chochote kuhusu Sheria?
Mambo ya sheria tuwaachie wanasheria , Asivamie fani
Shivji havamii fani ya uhasibu, siyo sahihi kwa mhasibu kuvamia fani ya sheria
Mkataba wowote baina ya consenting parties lazima uwe very clear leaving no room for doubt!Wewe unaandika kijuha, kama kawaida ya ujinga wako. Ulitaka mkataba wa maendeleo uandike mambo ya upangishaji?
Kondoo hata ukiwa kwenye kundi la mbuzi unajulikana tu.
Sikubaliani na maoni ya Prof. Asad, lakini siyo Mzanzibari. Ni mtu wa Tanga.,(1)Unategemea Asad awe kinyume na mkataba wa DP WORLD kivipi, Wakati yeye ni Mzanzibari.
Kwenye huu mkataba hakuna bandari ya Zanzibar hata moja inayobinafsishwa.Ina maana Zanzibar wao hawataki jambo hili kama lina faida?
Lingekuwa na faida lazima wangeshalalamika kwamba kwa nini tuwatenge kwenye huu ubinafsishaji Wakati ZNZIBAR ni sehemu ya Tanzania.
(2) Wananchi wanapolalama kwamba Bandari IMEUZWA,hawana maana kwamba tumewauzia DP WORLD kama vile tunavyouza shamba.HAPANA ! maana yake ni kwamba kwenye huu mkataba kuna vipengele ambavyo Tanzania inakuwa imelaliwa sana na hivyo vipengele hivyo vinatubana mno wakati sisi ndio wenye Mali hivyo virekebishwe.
UKIFUATILIA HAYA MALUMBANO, HAKUNA MWANANCHI HATA MMOJA ANAYEPINGA UBINAFSISHAJI ila wanataka ubinafsishaji WENYE FAIDA, na hata hawa viongozi wetu wanotoa ufafanuzi kwa wananchi wanalijua hili,ila kwa makusudi, either na wao wanatoa ufafanuzi wa kuuzwa au kutokuuzwa kwa Bandari na kuukwepa unwell unaoulizwa wa kurekebisha vipengele vibovu vya kwenye mkataba.
Wafafanuzi wanatoa elimu kwa uoga na unafiki kuelezea kitu ambacho hata nafsi na roho zao binafsi kwa ndani zinawakatalia, Ili kuwaridhisha baadhi ya viongozi wa juu wenye nia OVU waliowatuma na wana maslahi machafu katika vipengele vya kwenye mkataba vilivyokosewa kwa makusudi.
Ushauri wangu ni kwamba, vipengele vibovu virekebishwe,kuwe na uwazi,na Ubinafsishaji uendelee na tuachane kabisa na UBINAFSI WA BAADHI YA HAO WAKUBWA..wanaoendeleza mabishano badala ya kurekebisha hivyo vipengele vibovu,na mkataba uwe bora kwa pande zone mbili ,ili tuendelee na maisha mengine,Badala ya kuendelea kupoteza fedha, muda nk kwa kuandaa mikutano na makongamano yasiyoisha kwa ajili ya ufafanuzi unaozidisha malumbano.
Unaweza kumnukuu Shivji kasema nini.
Kaongea vizuri na credibility yake ni nzuri huyo Shivji alisema nini kuhusu ubinafsishaji wa mabenki na muda ukamuumbua kama sio mtaalamu wa uchumi na uwekezaji akae pembeni.
Huyu faza ni mdini kishenziAisee mpaka Assad??? Ama kweli usiamini the so called wasomi wa watanzania, muda wowote wanahama frequency.
Prof udini unamtesa snWith due respect Prof atulie!...Angle hii sio yake!
Shivji kashaongea..
Sasa mbona Shivji katoa maelezo yake hatujayaafiki na hatukumsema kama mdini hatumsemi na uislamu wake wa dhehebu la khoja ila kwa Assad ndio udini kwa kuwa kasema tofauti na mawazo yako kama ingekuwa ajenda ya udini basi Shivji naye si angeunga mkono maana wote dini moja ila ni utofauti wa fikra ambao unakubalika tu ndio maana mchele mmoja unakuwa na mapishi mengi hembu tulizeni hadaa.Huyu naye ni mdini balaa
Shivji ni mwanasheria, Assad ni mhasibu, yupi ambaye anaweza kusoma na akaelewa mkataba?Sasa mbona Shivji katoa maelezo yake hatujayaafiki na hatukumsema kama mdini hatumsemi na uislamu wake wa dhehebu lq khoja ila kwa Assad ndio udini kwa kuwa kasema tofauti na mawazo yako kama ingekuwa ajenda ya udini basi Shivji naye si angeunga mkono maana wote dini moja ila ni utofauti wa fikra ambao unakubalika tu ndio maana mchele mmoja unakuwa na mapishi mengi hembu tulizeni hadaa.
Ni mdini kiasi kwamba anapoteza hadi focus!! Mkataba unaipa DpWorld monopoly lakini yeye anazungumzia uwepo wa competing operators!Huyu faza ni mdini kishenzi
Kwanza yeye ni mhasibu hata siyo mwanasheria wala mchumiNi mdini kiasi kwamba anapoteza hadi focus!! Mkataba unaipa DpWorld monopoly lakini yeye anazungumzia uwepo wa competing operators!