Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

Mambo ya afya tuwaachie madaktari, mambo ya uchumi tuwaachie wachumi, mambo ya fedha tuwaachie wanamahesabu, mambo ya sheria waachie wanasheria.

Renowned lawyers like Professor shivji walishaongea, wewe ni nani katika sheria?
Hao ni chawa tu wanajiweka karibu na mamlaka
 
mapesa, wewe ni takataka tupu. Shivji ni mchumia tumbo? Wewe ni mavi uharo kabisa. Shivji is a great figure on earth! anaweza fundisha University yoyote duniani akalipwa a very dear salary, hata havard
 
Uelewa wake ni mpana sana kwenye masuala mengi anayoyakagua, ni mkaguzi mkuu wa serikali.

Watanzania tujifunze kuheshimu taaluma za watu.
Assad ndo kashindwa kuheshimu Taaluma za watu,kwenye jambo la Sheria yeye ana-authority Gani ya kusema Shivji ana uelewa mdogo.Kwenye masuala ya Sheria yeye ni mbumbumbu tu u- Zanzibar wake na njaa vinamsumbua,Shame on him
 
Huyu naye ni mdini balaa
Kumbe nalo ni lipuuzi likubwa na takataka tupu. Yaani Shivji hana uelewa? Lisu hana uelewa? Tibaijuka hana uelewa? Lugemeleza hana uelewa? mwabukusi hana uelewa?
exactly udini unamsumbua sana nan ndiyo maana alipotimuliwa alikwenda morogoro muslim univ kwa wadini wenzake
 
Tatizo lako mwandishi wa hii makala hujasoma, ungesoma usingeandika hayo yote.

Sisi tuliofanya kazi na huyo Assad, tunamheshimu sana lakini pia tunamjua mno. Hakuna mtu mdini na anayependa kufanya upendeleo unaoshahibiana na mambo ya kidini kama Prof Assad.

Any academician wa udsm atakwambia hayo. Having knowing that, Biasness yake kwenye huu mjadala haiwezi kumpa clearance yeyote ya kuchangia hoja ya maana na akasikilizwa.

Tatizo lenu hamjasoma, hamuwajui watu, hamtaki kujua context ya maoni yao ila mnapenda sana ku-draw conclusion na kufanya reference zisizo na ulazima wala maana.
Acha kupotosha watu hapa au unadhani wewe peke yako ndio umefanya kazi na assad udsm?
 
Profesa Assad husimama kwenye ukweli sio mtu wa kuyumbishwa. Shivji na wenzake hawajawahi kuiunga mkono serikali yoyote ya CCM. Kinachonisikitisha ni nyumbu kuanza kumrushia maneno ya hovyo Profesa Assad.
Kwa hiyo unataka kusema shivji &Co ltd ni pingapinga

Ova
 
Assad ndo kashindwa kuheshimu Taaluma za watu,kwenye jambo la Sheria yeye ana-authority Gani ya kusema Shivji ana uelewa mdogo.Kwenye masuala ya Sheria yeye ni mbumbumbu tu u- Zanzibar wake na njaa vinamsumbua,Shame on him
Prof Shivji alishindwa kuiona tofauti ya BIT na IGA, aliuingia mtego ule ule uliowanasa watanzania wengi wa kudhani kuwa mkataba uliokwenda bungeni ndio huo huo utakaotumika kibiashara wakati ukweli ni kwamba kibiashara itabidi iandikwe mikataba mingine kutokana na mawanda ya uwekezaji mzima wa DP World.

Profesa Assad hajaongea kama mjamaa, wakati Profesa Shivji aliongea kama mwanafunzi wa zamani wa Mwalimu Nyerere aliyeamini na kuzama kwenye fikra za kijamaa.
 
Kwanza prof kaamua kutoa mawazo yake. Sasa asiseme tuna uelewa mdogo. Amesema hivyo vitu vitatu, mtaji, watu na mfumo.

Inashindikana nini kuleta watu wenye huo mfumo tukaumiliki wakatrain watu wetu wakafanya?

Mtaji sio shida maana biashara ya bandari inalipa kwa nini tusikopesheke? Mbona zipo kampuni za ndani zikipewa zinamudu? Kwani share zikiuzwa hatutanunua?

Kukataa jambo haimaanishi uelewa ni mdogo.
Sasa ukiambiwa una uelewa mdogo kwani ni kosa?
 
..Tundu Lissu amesema mkataba haukuandaliwa msikitini, hivyo tuachane na ushabiki wa Kidini.

..kwa upande wangu nawaamini hoja za Prof.Shivji, na Prof.Lipumba kuhusu Dp World zina mashiko kuliko za Prof.Assad.
Waambie wanaompinga professor kwa hoja za udini kuwa wameishiwa hoja
 
,(1)Unategemea Asad awe kinyume na mkataba wa DP WORLD kivipi, Wakati yeye ni Mzanzibari.

Kwenye huu mkataba hakuna bandari ya Zanzibar hata moja inayobinafsishwa.Ina maana Zanzibar wao hawataki jambo hili kama lina faida?

Lingekuwa na faida lazima wangeshalalamika kwamba kwa nini tuwatenge kwenye huu ubinafsishaji Wakati ZNZIBAR ni sehemu ya Tanzania.

(2) Wananchi wanapolalama kwamba Bandari IMEUZWA,hawana maana kwamba tumewauzia DP WORLD kama vile tunavyouza shamba.HAPANA ! maana yake ni kwamba kwenye huu mkataba kuna vipengele ambavyo Tanzania inakuwa imelaliwa sana na hivyo vipengele hivyo vinatubana mno wakati sisi ndio wenye Mali hivyo virekebishwe.

UKIFUATILIA HAYA MALUMBANO, HAKUNA MWANANCHI HATA MMOJA ANAYEPINGA UBINAFSISHAJI ila wanataka ubinafsishaji WENYE FAIDA, na hata hawa viongozi wetu wanotoa ufafanuzi kwa wananchi wanalijua hili,ila kwa makusudi, either na wao wanatoa ufafanuzi wa kuuzwa au kutokuuzwa kwa Bandari na kuukwepa unwell unaoulizwa wa kurekebisha vipengele vibovu vya kwenye mkataba.

Wafafanuzi wanatoa elimu kwa uoga na unafiki kuelezea kitu ambacho hata nafsi na roho zao binafsi kwa ndani zinawakatalia, Ili kuwaridhisha baadhi ya viongozi wa juu wenye nia OVU waliowatuma na wana maslahi machafu katika vipengele vya kwenye mkataba vilivyokosewa kwa makusudi.

Ushauri wangu ni kwamba, vipengele vibovu virekebishwe,kuwe na uwazi,na Ubinafsishaji uendelee na tuachane kabisa na UBINAFSI WA BAADHI YA HAO WAKUBWA..wanaoendeleza mabishano badala ya kurekebisha hivyo vipengele vibovu,na mkataba uwe bora kwa pande zone mbili ,ili tuendelee na maisha mengine,Badala ya kuendelea kupoteza fedha, muda nk kwa kuandaa mikutano na makongamano yasiyoisha kwa ajili ya ufafanuzi unaozidisha malumbano.
Professor Mussa siyo mzanzibari hivi mnazusha kwa faida ya nani?
 
Ndio mnavyodanganywa huko hivyo sio? heshimuni na maoni ya watu wengine,msijione kua ni nyinyi pekee yenu tu ndio mna uhuru wa maoni.
Uhuru wa maoni usio na mipaka ni vurugu..assad analeta vurugu..
 
Mnamuamini Sana Shivji kuwa siyo mchumia tumbo ila kumbukeni amesavaivu tawala zote akiwa mtumishi wa umma kuanzia nyerere hadi jiwe(from entrance to retirement), kuanzia maujamaa ya nyerere, mavita ya Uganda hadi nchi kufilisika, ubinafsishaji wa mkapa, nk! Waliokosoa serikali kweli kweli waliondolewa pale yuudii kwa zengwe au directly
Unajua kwanini shivji hajawahi kupewa nafasi yeyote serikalini ya uongozi tangu baba wa taifa mpaka anastaafu utawala wa kikwete alikua mwalimu tu?
 
Tunafahamu Waislama madhaifu pekee ambayo huwa wanaona ni ya wakristo,madhaifu ya mtawala amabye ni Muslim mwenzio huwa hawaoni.
Muslims ni ndugu zetu but niwabaguzi sana,Assad ni mtaalamu wa fedha mambo ya sheria na uchumi awachie wabobezi katika maswala hayo.
 
Kumbe nalo ni lipuuzi likubwa na takataka tupu. Yaani Shivji hana uelewa? Lisu hana uelewa? Tibaijuka hana uelewa? Lugemeleza hana uelewa? mwabukusi hana uelewa?
exactly udini unamsumbua sana nan ndiyo maana alipotimuliwa alikwenda morogoro muslim univ kwa wadini wenzake
Hatari sn
 
Back
Top Bottom