Huu ni uwekezaji sio sheria tu kwani land act ya 1997 inasemaje .Akishasema Shivji, Mh. Warioba na kidogo Butiku hiyo itakuwa imekwisha. Yaani kwenye issue za Sheria nimsikilize Prof. Assard badala ya Prof. Shivji? Huo utakuwa uzuzu usio kiwango.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni uwekezaji sio sheria tu kwani land act ya 1997 inasemaje .Akishasema Shivji, Mh. Warioba na kidogo Butiku hiyo itakuwa imekwisha. Yaani kwenye issue za Sheria nimsikilize Prof. Assard badala ya Prof. Shivji? Huo utakuwa uzuzu usio kiwango.
Kwa kuwa kasema usichotaka kusikia...Tundu Lissu amesema mkataba haukuandaliwa msikitini, hivyo tuachane na ushabiki wa Kidini.
..kwa upande wangu nawaamini hoja za Prof.Shivji, na Prof.Lipumba kuhusu Dp World zina mashiko kuliko za Prof.Assad.
Assad ndio hajui maana ya kuuza bandari ; na hii inatokana na ushabiki. Kuuza ni kupokea fedha in exchange for something that the buyer wants.Basi wewe ndio unajua kila kitu yeye hajui
Wapi Shivji alisema "bandari inauzwa"?Mambo ya afya tuwaachie madaktari, mambo ya uchumi tuwaachie wachumi, mambo ya fedha tuwaachie wanamahesabu, mambo ya sheria waachie wanasheria.
Renowned lawyers like Professor shivji walishaongea, wewe ni nani katika sheria?
Ulitaka wabakishwe?WAwekezaji waliotangulia wametusaidia nini mpaka sasa zaidi ya kutuambia changamotochangamoto kila kukicha?
Swala limewasilishwa mahakamani. Tusubiri uamuzi wa mahakama.
Tunataka Mahakama iamue bila shinikizo la nje.
La sivyo tutamwamini Azizi Ki. Na kuzidharau Mahakama zetu.
Prof kaongea vizuri sana na credibility yake inambeba vilivyo hana historia mbovu na kwa hili yuko very right.Assad ndio hajui maana ya kuuza bandari ; na hii inatokana na ushabiki. Kuuza ni kupokea fedha in exchange for something that the buyer wants.
Sio siri tena kuwa SAMIA NA GENGE LAKE wamepokea fedha nyingi kutoka DpWorld in exchange kwa huo mkataba mbovu! Sasa huko kama sio kuuza Bandari zetu ni nini?
Inaelekea huelewi msingi wa wananchi kusema Bandari inauzwa!!Wapi Shivji alisema "bandari inauzwa"?
Unauliza Assad ni nani? Hauelewi au ndiyo upo kwenye loki ya ukondoo?
Hivi unaweza kuwa mchumi wa kiwango cha Assad usielewe sheria za uchumi?Huyo Assad anajua chochote kuhusu Sheria?
Mambo ya sheria tuwaachie wanasheria , Asivamie fani
Shivji havamii fani ya uhasibu, siyo sahihi kwa mhasibu kuvamia fani ya sheria
Basi wewe ndio unajua kila kitu yeye hajui
Uraia wa Asad ni upi? Wauza Bandari ni kina nani?
Nadhani humfahamu Assad na historia yake akiwa mjumbe wa bodi na mwenyekiti wa Audit committee ya Nssf!Prof kaongea vizuri sana na credibility yake inambeba vilivyo hana historia mbovu na kwa hili yuko very right.
Assad kasema wazi, ni wezi.Kwahiyo tulipata uhuru tukiwa hatuwezi kujiendesha wenyewe sasa tumewapata watu wenye akili watulee!
Huu ni ujinga, miaka yote tumeshindwa kusomesha watu wetu leo tuwe vibarua wa wageni na tunalichekelea jambo hilo!
Tutakuja ingia mkataba na waarabu watuendeshee bunge letu maana nalo limetushinda tunaliendesha kama wafugaji wako mnadani.
Wamemtumia huyukwenye tv Yao maana wanajua anakubalika.Kama Assad,anaunga mkono ubinafsishaji wa bandari...
Kaongea vizuri na credibility yake ni nzuri huyo Shivji alisema nini kuhusu ubinafsishaji wa mabenki na muda ukamuumbua kama sio mtaalamu wa uchumi na uwekezaji akae pembeni.Kaongea pumba kabisa, njaa jamani mbaya sana! Mambo ya sheria awaachie akina Prof Shivji, yeye ajikite kwenye uhasibu wake!
Ndio mnavyodanganywa huko hivyo sio? heshimuni na maoni ya watu wengine,msijione kua ni nyinyi pekee yenu tu ndio mna uhuru wa maoni.Wale waliwakilisha mawazo ya wengi bila kuangalia udini..kuna mwingine anaongozwa na falsafa ya upumbavu...maana kwenye ujinga alishatoka.
Prof tunamkubali sanaNadhani humfahamu Assad na historia yake akiwa mjumbe wa bodi na mwenyekiti wa Audit committee ya Nssf!
He has no credibility.
Kwa mtazamo wako, acha porojo na wewe! Usinilazimishe nifikirie kama wwAcha porojo zako onyesha wapi Shivji alipokosea kuhusu hoja ya bandari na pia hoja ya Muungano . He has always been consistent.
Mnamkubali nyie vipofu msie mjua!Prof tunamkubali sana
Wewe unaandika kijuha, kama kawaida ya ujinga wako. Ulitaka mkataba wa maendeleo uandike mambo ya upangishaji?Ni kweli kabisa hakuna palipoandikwa inauzwa lakini pia hakuna palipoandikwa inakodishwa wala kupangishwa hivyo basi.
Kama haiuzwi
Kama haikodishwi
Kama haipangishwi
Maana yake ni moja tu inatolewa bure...
Zaidi Assad naye anataka kugeuka mchumia tumbo.
Maana yeye anazungumzia bandari moja tu wakati IGA inasema bandari zote Tanzania na miundombinu yake.
Mwambie kachelewa kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app