Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

Wewe huna ujualo zaidi ya kuwashikia akili wale wote unawaongopea humu kuhusu mambo yakufikirika ya uchawi na ushirikina,haya mambo waachie wenye akili zao,nenda kwenye thd zako zakichawi watakufuata huko watu wako wanaokuabudu kwa huo ujinga ujinga.
 
Inaelekea huelewi msingi wa wananchi kusema Bandari inauzwa!!
Ccm na Samia wamehongwa fedha nyingi na DpWorld ili kutekeleza huo mkataba wa kifisadi na huko ndio kuuza bandari zetu. Najua utabisha kwa hulka yako!
Sasa mbona unasema hayo nyuma ya keyboard? Kama unaelewa mtu kahongwa, mahakama huzijuwi? Wanasheria wenzako huwajuwi?
 
Wewe unaandika kijuha, kama kawaida ya ujinga wako. Ulitaka mkataba wa maendeleo uandike mambo ya upangishaji?

Kondoo hata ukiwa kwenye kundi la mbuzi unajulikana tu.
Mkataba wowote baina ya consenting parties lazima uwe very clear leaving no room for doubt!
Lazima utamke wazi kama ni mkataba wa mauziano, kukodishana au kupangishana!
 
Sikubaliani na maoni ya Prof. Asad, lakini siyo Mzanzibari. Ni mtu wa Tanga.
 
Kaongea vizuri na credibility yake ni nzuri huyo Shivji alisema nini kuhusu ubinafsishaji wa mabenki na muda ukamuumbua kama sio mtaalamu wa uchumi na uwekezaji akae pembeni.

Unachoongea hapa ni pumba kama za Musa Assad
 
Huyu naye ni mdini balaa
Sasa mbona Shivji katoa maelezo yake hatujayaafiki na hatukumsema kama mdini hatumsemi na uislamu wake wa dhehebu la khoja ila kwa Assad ndio udini kwa kuwa kasema tofauti na mawazo yako kama ingekuwa ajenda ya udini basi Shivji naye si angeunga mkono maana wote dini moja ila ni utofauti wa fikra ambao unakubalika tu ndio maana mchele mmoja unakuwa na mapishi mengi hembu tulizeni hadaa.
 
Shivji ni mwanasheria, Assad ni mhasibu, yupi ambaye anaweza kusoma na akaelewa mkataba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…