Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

Wanasheria wabobezi wa mikataba wanajua siyo wengine wanadakia tu wakati tangu ahitimu hajahusika kwenye mkataba wa kimataifa hata mmoja
 
Sheria siyo maji ya kunywa.., hata asiyekuwa na meno anakunywa. Assad kwenye Uchumi sawa ila kwenye sheria tuwaachie kina Prof Shivji.
 
Hakuna mwanaCCM anaepinga uwwkezaji wa bandariii. Ukiona anapinga wewe tambua huyo atakuwa nyumbuu. Uwekezaji huu wa bandariii ni tunu kubwa kwa taifa, halafu unasema kuna mwanaCCM eti kaona fedhehaaa??
Kuna tofauti kati ya mkataba na uwekekezaji
 
Waislamu Ni watu wa ajabu sna ingekuta Ni mgalatia anafanya haya wangemkozoaa sna ,,ovyo kbsa Hawa watu tuwapuuze
 
Ni njaa inamsumbua huyu, kwanza alikuwa anahojiwa channel ten, tv ya maccm
 
Waislamu Ni watu wa ajabu sna ingekuta Ni mgalatia anafanya haya wangemkozoaa sna ,,ovyo kbsa Hawa watu tuwapuuze
Acha uchochezi wa kidini udini hautakufikisha popote
 
Ndio mjue hawa ni moja ya watu waliokuwa wanapambana binafsi na JPM si uzalendo. Hii nchi ufisadi una mizizi mirefu sana!
 
Mimi swali langu ni kama mkataba ni mzuri hivyo mbona bandari za Zanzibar hazimo. Charity should begins at home.
 
Hivi hiyo Chanel teni nitelevisheni ya chama gani vile?!
 
Mambo ya afya tuwaachie madaktari, mambo ya uchumi tuwaachie wachumi, mambo ya fedha tuwaachie wanamahesabu, mambo ya sheria waachie wanasheria.

Renowned lawyers like Professor shivji walishaongea, wewe ni nani katika sheria?
YEYE NI CPAT PROF ASSAD
 
Asad ana njaa sana. Tangu jiwe amtumbue kwa uonevu Asad hajawahi kuachwa salama na mahitaji ya tumbo.
Asad ni wa kuuunga mkono upumbavu huu? Kama siyo njaa nini??
Jua kwamba kila alietumbuliwa na jiwe ni takataka
 
Huyu naye udini unamsumbua, ndiyo maana alitumbuliwa na magufuli.
hajaongelea sifa za mkataba, mkataba mama (IGA) kuwa ile midogo itakuwa ina abide by theso terms stipulated in the IGA.
 
Erythrocyte tafadhali muone Lisu amjibu huyu mtu kisheria as rlates to mikataba. Kumbe na hili ni lipuuzi takataka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…