Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

Well said, Assad hana tofauti na Zitto ni wadini sn
 
Kuna watu wanawapenda waarabu akah!! Wako tayari kutoa chochote yaan chochte kisa mwarabu ahhhahh. issue ya bandari wanaopinga wakristo wanaosupport waislam 😛😛😛
 
Waislam wanaamin akiwekeza dp basi watapendelewa sana, Nchi itakuwa fully islamized na pia wanaona hii ndio fursa ya wao kujenga ukaribu na watu wa pepo yaan waarabu😛😛
 
Ujinga huu wa kuwaona wale jamaa watu wa peponi mmoja kule arabuni alikula mav ya mwarabu na clip zipo 😛😛
 
Zanzibar hao kila siku wanalia na nchi yao na sio kwamba wanataka wamwage jasho kuiendeleza la hasha! Wanataka wamkabidhi mwarab alafu wao wawe manamba 😛😛😛😛
 
Siyo kweli, majority ya waislamu hawaungi mkono hili suala la bandari. Mnakosea sana kuingiza dini kwenye masuala ya kitaifa.
Mkuu wasomi wakubwa wa kiislam wanawasapoti akina mwabukusi?
 
Kazi ipo huu mkataba umesainiwa 2022 baada ya kuvuja wakajifanya wanauleta bungeni ili kuwaziba masikio watuu watu wakaupinga bac wakaamua kuufanyia kampeni tanzania nzima halafu mtu kabisa haoni kabisa kitu hakipo sawa hapo !!! Licha ya kuwa huo mkataba haujaeleza ni jinsi gan tanzania itanufaika pamoja na mapungufu mengne kibao bado watu hawaelewi
 
Dini ni cancer mbaya sana kuwahi kuikumba Africa. Mtakuwa watumwa mpaka lini?? Kwann mkiona ngoz nyeupe au brown akili zinatutoka? Nyie mnaowasapot waarabu siku wakishika nyanja zote ndio mtajua rangi za hawa jamaa. Mtakuwa vibarua wao mpak mkufe
 
Mtu kapewa v8 wengne maprado na mkwanja wa kutosha anashindwaje kujitoa akili?
 
with money. anything is possible
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…