Mambo ya afya tuwaachie madaktari, mambo ya uchumi tuwaachie wachumi, mambo ya fedha tuwaachie wanamahesabu, mambo ya sheria waachie wanasheria.
Renowned lawyers like Professor shivji walishaongea, wewe ni nani katika sheria?
Shvji ni mtaalamu wa Sheria za ndoa sio Sheria za mikataba ya kimataifa.Huyu ni mtaalamu wa finance mambo ya sheria amwachie Prof Issa Shivji.
Nilikuwa namsubili kwa hamu iliathibitisheana hasira za kutenguliwa hana lolote, hasira haijaisha bado
Inaweza kabda ujazaliwa mwenzio anafundisha sheriaNani kakwambia Shivji ni mwanasheria? Yule ni mjamaa uchwara
makuwadi ya warabu mliohongwa mwisho wenu 2025 huku kanda ya ziwa tumeshawamaliza.Sasa makamanda uchwara wataanza kumchukia huyu jamaa🤣
Mkuu Mshana Jr kwamba bandari inatolewa bure umepigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la kuzika juhudi zote za watetezi wa mkataba wa IGA, wenye vifungu batili.Ni kweli kabisa hakuna palipoandikwa inauzwa lakini pia hakuna palipoandikwa inakodishwa wala kupangishwa hivyo basi..
makuwadi ya dpworld 2025 lazima mnyooshwe madalali ya warabu koko wa dubai kwa mgongo wa serikali.Makanda uchwaraa hadi mbeya jiji wamewaapuuuza.
Na wafuasi wa mwendazake pia....Sasa makamanda uchwara wataanza kumchukia huyu jamaa🤣
Upuuzi mtupu.makuwadi ya warabu mliohongwa mwisho wenu 2025 huku kanda ya ziwa tumeshawamaliza.
Kwa hiyo akina Mbowe pia wakae kimya?Mambo ya afya tuwaachie madaktari, mambo ya uchumi tuwaachie wachumi, mambo ya fedha tuwaachie wanamahesabu, mambo ya sheria waachie wanasheria.
Renowned lawyers like Professor shivji walishaongea, wewe ni nani katika sheria?
Hata unavyo comment hapa JF, ni kwa sababu ya wawekezaji...mitandao inayotoa intaneti ni ya wawekezaji wa njeWAwekezaji waliotangulia wametusaidia nini mpaka sasa zaidi ya kutuambia changamotochangamoto kila kukicha?
Mkaguzi Mkuu lazima awe amesoma accounting, finance nq Businesses LawHuyo Assad anajua chochote kuhusu Sheria?
Mambo ya sheria tuwaachie wanasheria , Asivamie fani
Shivji havamii fani ya uhasibu, siyo sahihi kwa mhasibu kuvamia fani ya sheria
Samia akiona hivi lazima Alambe uteuziPoints Muhimu kwenye mahojiano ya Profesa Assad pale Channel Ten kwenye kipindi cha Dira ya Uchumi
[emoji1485] Hakuna Bandari Inayouzwa, ni uelewa mbaya tu wa watu. (Sikiliza zaidi...
Kumbe kuna wengi Sana hamjui kitu aisee yaani IGA iwe Siri tena? na HGA itakuwaje?Hizo IGA ni siri
Kwenye moja ya clip zake, Lissu kasema(nilivyomuelewa)kuwa kulingana na mkataba, ukomo wa mkataba ni pale shughuli za bandari zitapoisha(maji yakauke, n.k) au muda wa ukomo watachokubaliana kwenye IGA uishe, mikataba ambayo kasema (yaani hizo IGA) itakuwa ni mikataba midogo ya siri.
Waafrika hawana akili, pia wana culture mbovu, hata wasome kwa namna gani, hilo linafahamika na kila mtu, hata South Afrika wameendelea sababu ya wale wazungu, Kenya, Zimbabwe, Zambia kote huko hali ni mojaKwahiyo tulipata uhuru tukiwa hatuwezi kujiendesha wenyewe sasa tumewapata watu wenye akili watulee!
Huu ni ujinga, miaka yote tumeshindwa kusomesha watu wetu leo tuwe vibarua wa wageni na tunalichekelea jambo hilo!
Tutakuja ingia mkataba na waarabu watuendeshee bunge letu maana nalo limetushinda tunaliendesha kama wafugaji wako mnadani.
Kwa mara ya kwanza Mimi na Prof. Assad tumeelewana!Points Muhimu kwenye mahojiano ya Profesa Assad pale Channel Ten kwenye kipindi cha Dira ya Uchumi
👉🏾 Hakuna Bandari Inayouzwa, ni uelewa mbaya tu wa watu. (Sikiliza zaidi)
👉🏾 Ukomo hauwekwi kwenye IGA, bali kwenye mikataba ya chini (Projects Agreements). (Sikiliza Zaidi)
Profesa Assad ametoa majibu mazuri kabisa, na huyu ndio Profesa wa kweli sasa, sio wale wengine akina Tibaijuka na Shivji, wachumia tumbo tu, Sikilizeni nondo kutoka kwa Prof.
View attachment 2712096
View attachment 2712097
View attachment 2712098
View attachment 2712099