Akishasema Shivji, Mh. Warioba na kidogo Butiku hiyo itakuwa imekwisha. Yaani kwenye issue za Sheria nimsikilize Prof. Assard badala ya Prof. Shivji? Huo utakuwa uzuzu usio kiwango.Ona sasa unabishana na aliyekuwa mdhibiti na mkaguzi wa mahesabu ya serikali yaani mashirika yote anajua kwa undani hali ya fedha ya serikali kuliko hata wewe ila sasa unambishia 😂
Naomba kujua qualifications zako za elimu, coz unaonekana umemzid hata huyo professor [emoji23]Ni kweli kabisa hakuna palipoandikwa inauzwa lakini pia hakuna palipoandikwa inakodishwa wala kupangishwa hivyo basi.
Kama haiuzwi
Kama haikodishwi
Kama haipangishwi
Maana yake ni moja tu inatolewa bure...
Zaidi Assad naye anataka kugeuka mchumia tumbo.
Maana yeye anazungumzia bandari moja tu wakati IGA inasema bandari zote Tanzania na miundombinu yake.
Mwambie kachelewa kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani makamanda wanapinga uwekezaji...
Tatizo mkataba na haraka haraka hizi..
Hapa ndugu yangu Profesa Asad ametoka kapa.shida ya profesa wako, bado anawaza kuteuliwa kuwa C.A.G, ndio maana kasoma upepo wa mama na makada mmejaa, hamna kitu humo.
awaachie wakina professa shivji, watueleze kuhusu sheria, yeye ni nani kwenye sheria, ana uelewa wa nini,? na mbaya zaidi maoni ni conclusive ya kutukana waliotoa uchambuzi wa kisheria
Asad mzanzibar ashukuru tu Mungu Tanganyika ilimwajiri na amepata ugali tokea Tanganyika, la sivyo angekuwa mvuvi kule nungwi.,(1)Unategemea Asad awe kinyume na mkataba wa DP WORLD kivipi,Wakati yeye ni Mzanzibari.Kwenye huu mkataba isha mengine,Badala ya kuendelea kupoteza fedha,muda nk kwa kuandaa mikutano na makongamano yasiyoisha kwa ajili ya ufafanuzi unaozidisha malumbano.
..sikubaliani na madai yake kwamba Tz haina uwezo au fedha za kuwekezs ktk bandari.
..kama tuliweza kukusanya fedha na kujenga mji mkuu mpya tusiouhitaji, na kununua midege inayotutia hasara, basi hatushindwi kukata shauri kuwekeza bandari.
..Dp / Dubai hawatengenezi cranes au mitambo mikubwa inayotumika bandarini. Mitambo hiyo inaundwa na nchi mbalimbali ambako Tanzania inaweza kwenda kununua.
..Hii habari kwamba hatuna uwezo na ni lazima tusalimishe kila kilichoko ktk bandari zetu kwa Dp World ni udanganyifu.
Usishangae akisema kwa sasa Bunge sio dhaifu.Kwanza prof kaamua kutoa mawazo yake. Sasa asiseme tuna uelewa mdogo. Amesema hivyo vitu vitatu, mtaji, watu na mfumo.
Inashindikana nini kuleta watu wenye huo mfumo tukaumiliki wakatrain watu wetu wakafanya?
Mtaji sio shida maana biashara ya bandari inalipa kwa nini tusikopesheke? Mbona zipo kampuni za ndani zikipewa zinamudu? Kwani share zikiuzwa hatutanunua?
Kukataa jambo haimaanishi uelewa ni mdogo.
Bora umesema wewe. Ningesema mimi nimgeambiwa chawaProfesa Tibaijuka ambae si Mwanasheria alipoongea kwa kupinga vipengele vya sheria tulimuunga mkono kwa kuwa aliongea tuliyoyapenda kuyasikia
Prof Assad kaongea kwa uzoefu na elimu yake tunapinga asiongelee ya Sheria kwa kuwa si Mwanasheria kwa kuwa tu kaongea tusiyopenda kusikia
Watetezi wengi wa Demokrasia na uhuru wa maoni huwa practically hawaamini hizi falsafa wanazopigania
Tujadili pia kama Butiku na Prof Tibaijuka ni wanasheria?Samahani huyo Asad ni mwanasheria? Tuanzie hapo kwanza.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa makamanda uchwara akina Erythrocyte wataanza kumchukia huyu jamaa🤣
Ndio kwaheri ya mama?!Ni kweli kabisa hakuna palipoandikwa inauzwa lakini pia hakuna palipoandikwa inakodishwa wala kupangishwa hivyo basi.
Kama haiuzwi
Kama haikodishwi
Kama haipangishwi
Maana yake ni moja tu inatolewa bure...
Zaidi Assad naye anataka kugeuka mchumia tumbo.
Maana yeye anazungumzia bandari moja tu wakati IGA inasema bandari zote Tanzania na miundombinu yake.
Mwambie kachelewa kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app