igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,597
- 3,373
Wala siyo lazima 6 lanes mkuu just 3 au 4 lanes tosha kabisaMoro - Dar hyo road inatakiwa ipanuliwe , 6 lanes , mtashikana Sana uchawi , single lane hamna kila kitu , kuna wakati msururu wa magari unafika km6 ,