Putin, ameanza kuona gharama za ya Vita. Mara ya kwanza alikuwa anasoma sana Threads za JF akapotoshwa?

Putin, ameanza kuona gharama za ya Vita. Mara ya kwanza alikuwa anasoma sana Threads za JF akapotoshwa?

Akina Ritz Webabu ChoiceVariable FaizaFoxy walikuwa wanampotosha sana Putin. Akajikuta yeye ni Mwaaaaaaamba. Akasema ana operation ya siku chache kumwondoa Rais wa Ukraine.

Mwaka wa pili sasa.... Nashindwa kuelewa. Putin ni Jasusi mbobevu alidanganywa vipi? Alichemka wapi? Anyway kuanza upya si Ujinga. Akae wayamalize na Ukraine. Vita si lelemama. Watu walitaka kupima nguvu yake. Ameji expose sana. Bora angebaki vile vile ambavyo tulikuwa tunamwogopea. Akina Yericko Nyerere siku hizi wamekata na tamaa kabisa. Nyie msidhani hata mataifa makubwa yanataka vita. Mwenye kujielewa anaepusha mapema.

View attachment 3087753
Eti nyani kaona kha sasa anataka kutema bungo. Ni vizuri yaishe na Amani itamalaki.
 
Walau uwe na leverage,kea taifa kubwa kama urusi,eneo lolote kutekwa ni ndoano kinywani
Kiufupi operation ya Ukraine huko Kursk imeferi na haina faida yeyote kimkakati zaidi zaidi imeifaidisha Urusi kuteka maeneo zaidi ndani ya Ukraine baada ya ngome za ulinzi za Ukraine kudhohofika kutokana na kuondoa wanajeshi na silaha kuzipeleka kwenye uvamizi wa Kursk,hata baadhi ya makamanda wa ngazi za juu ndani ya jeshi la Ukraine wameikosoa.
 
Kiufupi operation ya Ukraine huko Kursk imeferi na haina faida yeyote kimkakati zaidi zaidi imeifaidisha Urusi kuteka maeneo zaidi ndani ya Ukraine baada ya ngome za ulinzi za Ukraine kudhohofika kutokana na kuondoa wanajeshi na silaha kuzipeleka kwenye uvamizi wa Kursk,hata baadhi ya makamanda wa ngazi za juu ndani ya jeshi la Ukraine wameikosoa.
Na mbaya zaidi wameanza kudundwa
 
Akina Ritz Webabu ChoiceVariable FaizaFoxy walikuwa wanampotosha sana Putin. Akajikuta yeye ni Mwaaaaaaamba. Akasema ana operation ya siku chache kumwondoa Rais wa Ukraine.

Mwaka wa pili sasa.... Nashindwa kuelewa. Putin ni Jasusi mbobevu alidanganywa vipi? Alichemka wapi? Anyway kuanza upya si Ujinga. Akae wayamalize na Ukraine. Vita si lelemama. Watu walitaka kupima nguvu yake. Ameji expose sana. Bora angebaki vile vile ambavyo tulikuwa tunamwogopea. Akina Yericko Nyerere siku hizi wamekata na tamaa kabisa. Nyie msidhani hata mataifa makubwa yanataka vita. Mwenye kujielewa anaepusha mapema.

View attachment 3087753
Kuna kauli ameiongea juzi, anadai pamoja na Ukraine kuivamia na kuikalia Kursk, hiyo haijapunguza uwezo wao wa kupambana kule Donbas.
Nikawakumbuka Warusi wa JF ambao kila siku wanadai maelfu ya askari wa Ukraine wameuawa na Russia imeikimboa Kursk wakati rais wa nchi anakiri jamaa wameikalia.
 
Kwahiyo kwa akili yako unaona Putin anapigana na Nchi moja??? Kwa kifupi Putin anapambana na Nchi zote za Ulaya ndio maana imekuwa hivyo, ingekuwa Ukraine pekee sitaki kusema angetumia muda gani.
Akili ni nywele...
Kwani hilo hakulijua toka mwanzo?!!hahaaaa,Warusi wa Buza hali tete!!
 
Umeunena ukweli. Kwanza Urusi inaficha hasara inayoipata. Kuna wakati vyombo vya ndani ya Urusi vilikanusha juu ya idadi ya askari wa Urusi wanaokufa vitani, vikisema kuwa Serikali wanataja idadi ndogo wakati waliokufa ni wengi zaidi. Vyombo vya habari viliongea na kukusanya taarifa kutoka kwa ndugu walioletewa miili ya wapendwa wao, ikawa idadi hiyo ni kubwa kupindukia ile inayotangazwa na Serikali. Wakati wapo pia waliofia vitani ambao hata miili yao haikurejeshwa kwa familia. Kilichofuatia ni wale wanahabari kukamatwa, kufunguliwa mashtaka bandia, na kufungwa jela.

Ukraine ndiyo ipo mstari wa mbele katika kuripoti vifo vya watu wake ili ionewe huruma, na Dunia iuone uovu wa Urusi, lakini Urusi inaficha.

Ukitaka kuujua ukweli, angalia wakati wa ubadilishanaji mateka. Unakuta Ukraine inarudishiwa askari wake 150, na Urusi inarudishiwa asjari wake 150. Shambulio la juzi tu la Kursk, askari zaidi ya 500 wanechukuliwa mateka na Ukraine. Na Ukraine inawahifadhi hao matrka kwenye maeneo yaliyo karibu na maghala ya silaha, ili kama Urusi itaamua kuyashambulia maeneo hayo, iwamalize askari wake yenyewe.

Sasa hivi Ukraine imefikia kutengeneza mpaka fake drones, ambazo moja igharimu chini ya dola 20,000; lakini Urusi inaitungua hiyo drone kwa kombora lenye gharama ya dola milioni 1, yaani mara 50 ya gharama ya drone inayotunguliwa. Na Urusi haiwezi kuacha kuzitungua hizo fake drones kwa sababu Ukraine inachanganya hizo fake drones na attacking drones, na Urusi haina uwezo wa kujua ipo ni halisia na ipi ni fake. Na Ukraine inafanya hivyo ili kuzidi kuigharamisha Urusi, na ikiwezekana ipungukiwe na stock ya makombora. Fikiria sasa Urusi imefikia kuomba msaada wa makombora toka North Korea na Iran. Wakati huo Ukraine ambayo hapo awali ilikuwa haitengenezi makombora, sasa imeanza kuyatengeneza ndani ya nchi yake, huku ikipewa pesa za kugharamia mirasi di kama hiyo na mataifa mbalimbali.
Urusi hana gharma za hivyo ..hizo gharama machie us na madollar yake kwenye private company
 
Kwahiyo kwa akili yako unaona Putin anapigana na Nchi moja??? Kwa kifupi Putin anapambana na Nchi zote za Ulaya ndio maana imekuwa hivyo, ingekuwa Ukraine pekee sitaki kusema angetumia muda gani.
Akili ni nywele...
Jipe moyo angalau upoze machungu
 
Ww jamaa kilaza kweli yaani Ukraine imeteka km za mraba 1000 ambazo ni sawa na ukumbwa wa kata 2 hapa tz ndo uje kuzitumia kama turufu ya kukomboa mikoa minne?
Aliekwambia wamemaliza kuchukua eneo la Urusi na vita imeisha nani? Unaona basi, unaniita kilaza wakati wewe una kiherehere kutoka na kujibu kama round ya kwanza halafu unajikuta umeingia kinyume cha maumbile na huwezi kurudi!
 
Akina Ritz Webabu ChoiceVariable FaizaFoxy walikuwa wanampotosha sana Putin. Akajikuta yeye ni Mwaaaaaaamba. Akasema ana operation ya siku chache kumwondoa Rais wa Ukraine.

Mwaka wa pili sasa.... Nashindwa kuelewa. Putin ni Jasusi mbobevu alidanganywa vipi? Alichemka wapi? Anyway kuanza upya si Ujinga. Akae wayamalize na Ukraine. Vita si lelemama. Watu walitaka kupima nguvu yake. Ameji expose sana. Bora angebaki vile vile ambavyo tulikuwa tunamwogopea. Akina Yericko Nyerere siku hizi wamekata na tamaa kabisa. Nyie msidhani hata mataifa makubwa yanataka vita. Mwenye kujielewa anaepusha mapema.

View attachment 3087753
Ni jambo jema ,Kwa hilo tutamsifu Putin, Putin kuendelea kumtwanga jirani Ukraine ambaye madhara kwake ni madogo kuliko maadui zake NATO. USA alisoma mchezo mapema akijua Putin hiyo vita hatashinda, wangejua atashinda mapema USA wangeshinikiza Ukraine aombe mazungumzo ya amani mapema ili vita isitokee. Kabla ya wiki moja USA alisema Ukraine atasha,buliwa na Rusia, USA alikuwa anatafuta namna ya kumuua Rusia kiuchumi kwa kuharibu bomba za mafuta kupelekea ulaya.
 
Tangu majuzi kati anatuma makombora ya masafa marefu ( Ballistic) zaidi ya 100 kila siku na drones zaidi ya 500.

Cha kushangaza hamalizi vita bali aonekane anapigana.

Soon atalegea...huwezi kupigana vita miaka 5 afu uchumi wako ukabakia salama.
Watu tayari washaondoka na kipande chake cha ardhi.
Umenena vema zimepigwa hapersonic missiles nyingi sana pale Ukraine lakini vita haiishi, jeshi la Ukraine hakuna kusalimu amri, kuingia kwa NATO kwa njia ya siri wakijifanya trainners kumbe ni wapiganaji. Rusia amepata hasara kubwa na Ukraine. Vita ya Ukraine jirani na jamii moja na Rusia haina faida yoyote kwa Rusia. Ukraine amepata hasara kubwa lakini pesa za Russia ambazo USA na NATO wameshikilia ndo zitajenga Ukraine
 
Aliekwambia wamemaliza kuchukua eneo la Urusi na vita imeisha nani? Unaona basi, unaniita kilaza wakati wewe una kiherehere kutoka na kujibu kama round ya kwanza halafu unajikuta umeingia kinyume cha maumbile na huwezi kurudi!
Sasa hivi vikosi vya Ukraine vimesha dhibitiwa kusonga mbele ina maana sasa hivi hawana uwezo wa kuteka maeneo zaidi ndani ya Urusi.
Na muda sio mrefu waaanza kusukumwa nje ya mipaka ya Urusi.

Hii operation ya Kursk imekosorewa mpaka na wabunge wa Ukraine yenyewe.
 
Mtoa post na wenzako humu mnaoshangilia NINAWAONEA HURUMA SANA KWASABABU HAMNA UWEZO WA KUCHAKATA TAARIFA. Halafu hoja ya Putin kuhusu mazungumzo hata HAIHITAJI AKILI KUBWA BALI NI AKILI YA KAWAIDA TU/COMMON SENSE.
Sasa nyie hata COMMON sense inashindika
 
Back
Top Bottom