- Thread starter
- #41
Kupitia post hii shakujua .. endelea na upumbavu wako!Sinaga starehe.
Labda starehe yangu ni Kumtumikia Mungu.
Hao wamepatwa na Ajali kwa kuendekeza upumbavu utoke mbeya hadi Dar kisa Mpira hapana kwakweli.
Starehe nyingine ni ujinga.
Zaidi ya km 822 na mwendo wa saa 15 kisa Mpira wa akina Fredy..