Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
amjibu "poa mwamba kila laheri"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole Sana jamani,uje tu PM tufarijiane mama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]atafute kamba ya Manila ngumu aende mbali kusiwe na watu aitumie hiyo kama huku duniani no kugumu kweli kama hiyo ikishindikana anunue dawa ant biotics vidoge kama 50 anywe na Lili li k vant kubwa au konyagi maisha yatakua mepesi sana
Sasa anataka ushauri gani tena wakati bibie ana mtu mwingine na hamtaki huyo jamaa yako? Hivi una miaka mingapi kwanza, tuanzie hapo!Huyu ni rafiki yangu Nimeosoma nae chuo, hivi majuzi kaniambia ya kuwa Mchumba wake aliyepo masomoni Chuo fulani Alimwambia Anataka akajitambulishe Ili awe mke wake mtarajiwa Rasmi. Lakini Bidada ghafla na wakati huo huo akamtumia Rariki yangu Ujumbe huu ufuatao.....
"Am sorry Dear I know una nia njema kabisa na mimi lkn siku zote ukweli umuweka mtu huru nimekua mjinga nashindwa kukwambia ukwel kwamba nipo kwenye mahusiano lkn naona nnachokifany ndio naharibu zaid nakua mtumwa me nipo kwenye mahusiano aisee
Am sorry najua nimekupotezea muda lkn kiukwel hali halis ndio ipo ivo"🤦♀️
Jamaa yangu anaomba Ushauri yakinifu. Mimi kama mdau wa JF nikasema nilete humu ndani na Ushauri wenu nitamuonyesha piaa...
nakwambia hivi
katow sadaka nusu ya mali zako ushukuru Mungu umeambiwa peupe.
wenzio tumewekwa rumande ndio tunashuhudia michepuko hadi watoto juu shukuru sana coz huhaingia rumande bado.
NB:usirudie kutafta msaada kwa njia ya kusema rafiki yangu utakosa mwongozo.
maana kuna watu km Smart911 , hawakawii kukwambia mambo yao waachie wao.
Karibu PM mamaPole sana!
Karibu kwetu
Karibu PM mamaMwambie aje kwangu.
Mimi mwenyewesasa nifarijianee na wewe ama rafiki ako[emoji23][emoji23]
28 KiongoziSasa anataka ushauri gani tena wakati bibie ana mtu mwingine na hamtaki huyo jamaa yako? Hivi una miaka mingapi kwanza, tuanzie hapo!
Hayaa naja umpe namba nikamshauri.Karibu PM mama
subsequent love unakuwa na experienceFirst love inatesa sana
aliyetendwa ni yeye,ila anazuga msimchekesasa nifarijianee na wewe ama rafiki ako[emoji23][emoji23]
Kamwe usijaribu kumng’ang’ania mwanamke anayeonekana hakuhitaji tena, utaumia
Naandika wosia huu kwa vijana wenzangu baada ya kupona maumivu ya kuachana na mwanamke niliempenda sana miezi kadhaa iliyopitaa ila kitu nilichojifunza mwanamke akionekana ameonesha dalili hakuhitaji tena. Mwanamke akifikia hatua amekubadilikia na akaonesha dalili za kutaka kuachana na wewe ni...www.jamiiforums.com
kupunguza maelezo, Mpe hiyo link
Karibu sanaaaHayaa naja umpe namba nikamshauri.