Rafiki yangu ameachwa na Mwanamke aliyepanga kujitambulisha kwao na kumuoa

Rafiki yangu ameachwa na Mwanamke aliyepanga kujitambulisha kwao na kumuoa

Wachuchu wapo wengi, usihangaike na asiyekupenda
 
atafute kamba ya Manila ngumu aende mbali kusiwe na watu aitumie hiyo kama huku duniani no kugumu kweli kama hiyo ikishindikana anunue dawa ant biotics vidoge kama 50 anywe na Lili li k vant kubwa au konyagi maisha yatakua mepesi sana
 
Kuna alliyebipu wakati fulani nikampigia... Baada ya miaka nane sasa analia lia
 
atafute kamba ya Manila ngumu aende mbali kusiwe na watu aitumie hiyo kama huku duniani no kugumu kweli kama hiyo ikishindikana anunue dawa ant biotics vidoge kama 50 anywe na Lili li k vant kubwa au konyagi maisha yatakua mepesi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu ni rafiki yangu Nimeosoma nae chuo, hivi majuzi kaniambia ya kuwa Mchumba wake aliyepo masomoni Chuo fulani Alimwambia Anataka akajitambulishe Ili awe mke wake mtarajiwa Rasmi. Lakini Bidada ghafla na wakati huo huo akamtumia Rariki yangu Ujumbe huu ufuatao.....

"Am sorry Dear I know una nia njema kabisa na mimi lkn siku zote ukweli umuweka mtu huru nimekua mjinga nashindwa kukwambia ukwel kwamba nipo kwenye mahusiano lkn naona nnachokifany ndio naharibu zaid nakua mtumwa me nipo kwenye mahusiano aisee
Am sorry najua nimekupotezea muda lkn kiukwel hali halis ndio ipo ivo"🤦‍♀️

Jamaa yangu anaomba Ushauri yakinifu. Mimi kama mdau wa JF nikasema nilete humu ndani na Ushauri wenu nitamuonyesha piaa...
Sasa anataka ushauri gani tena wakati bibie ana mtu mwingine na hamtaki huyo jamaa yako? Hivi una miaka mingapi kwanza, tuanzie hapo!
 
nakwambia hivi


katow sadaka nusu ya mali zako ushukuru Mungu umeambiwa peupe.

wenzio tumewekwa rumande ndio tunashuhudia michepuko hadi watoto juu shukuru sana coz huhaingia rumande bado.


NB:usirudie kutafta msaada kwa njia ya kusema rafiki yangu utakosa mwongozo.
maana kuna watu km Smart911 , hawakawii kukwambia mambo yao waachie wao.

[emoji1787]
 

kupunguza maelezo, Mpe hiyo link

Ngoja nichungulie uku[emoji3]
 
Back
Top Bottom