Sio Kufariki tu hata akiwa Nje ya Nchi Makamu anakaimu nafasi yake, ila nadhani akifariki kwa Nchi kama yetu Makamu anakaimu Nafasi yake Mpaka uchaguzi utakapofanyika!
Inasubiriwa mpaka muhula ufike au inapangwa tarehe kutokana na udharura?MAKAMU ANACHUKUA NCHI MPAKA UCHAGUZI UFANYIKE
Asante kwa masahihishoKatiba inasema Makamu wa Rais anaapishwa kuwa rais kwa kipindi kilichobaki.
Mkuu kulala mapema tabu sana,unakuta unaota vitu vya ajabu ajabu sana!Mzee mbona umewaza mbali sana? 😀😀😀😀😀😀😀 Umeona nini?
Watu mna vituko si kidogoKatiba inasema atamwachia mkuu Wa mkoa Wa dar bwana makonda
Nimekupa angalizo tu! Uamuzi ni juu yako. Kupanga ni kuchagua....ila muda mwingine unaweza kupanga lakini wengine ndio wakakuchagulia hatma yako.Nimeuliza swali,na nadhani katiba inatambua mazingira kama haya!
Jikite kwenye swali lake hiyo mikwara kamchimbe mkeoJitafakari. Usitafute kiki za kina Sosopi mitandaoni. Mwisho wa siku utasumbua watu kutafuta wadhamini wa kukuwekea dhamana Mahakamani.
Hahahahahaaaaa Iron are tighting very very.Mkuu kulala mapema tabu sana,unakuta unaota vitu vya ajabu ajabu sana!
Ok sawa ila sidhani kuuliza swali kama hilo ni kosa kisheria!Nimekupa angalizo tu! Uamuzi ni juu yako. Kupanga ni kuchagua....ila muda mwingine unaweza kupanga lakini wengine ndio wakakuchagulia hatma yako.
Sana mkuu, kucheki hivi kumbe ndoto!!!!!Hahahahahaaaaa Iron are tighting very very.
Jikite kwenye swali lake hiyo mikwara kamchimbe mkeo
Mkuu, kwa kuuliza tu hili swali kwa sheria za hapa kwetu unaweza ukashataki wallah....tehteehhKatiba inasemaje kuhusu hili,wajuzi naomba kujua iwapo Rais atafariki kabla ya kumaliza muda,nini kinafuata!!!
Yule jamaa kule Mbeya aliyeuliza swali na kumkejeli Naibu Spika wa JMT hatma yake ilikuwaje!?Ok sawa,ila sidhani kuuliza swali kama hilo ni kosa kisheria!
Mkuu sasa hii mikwara vipi?Jitafakari. Usitafute kiki za kina Sosopi mitandaoni. Mwisho wa siku utasumbua watu kutafuta wadhamini wa kukuwekea dhamana Mahakamani.
Sidhani kama nchi hii imefika hatua watu kujua katiba ni tatizoYule jamaa kule Mbeya aliyeuliza swali na kumkejeli Naibu Spika wa JMT hatma yake ilikuwaje!?