Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akifariki chama chake kitaendelea kuongoza hadi ifike miaka kumi au yule mgombea mwenza ataongoza nchi je wakifariki waote kwa pamoja ,pengine wanasafiri kwenye ndege moja,unajua mabadiliko tabia nchi siku hizi hayatabiriki ,na ni vyema wananchi wakaelewa katiba yao inasemaje
Makamu anachukua nchi!Katiba inasemaje kuhusu hili,wajuzi naomba kujua iwapo Rais atafariki kabla ya kumaliza muda,nini kinafuata!!!
Mkuu umefikiria nini mpaka kujiuliza swali kama hilo...Katiba inasemaje kuhusu hili,wajuzi naomba kujua iwapo Rais atafariki kabla ya kumaliza muda,nini kinafuata!!!
Sijui anataka kufanya mini😂😂😂😂Mkuu umefikiria nini mpaka kujiuliza swali kama hilo...
Anaenda kuzikwaKatiba inasemaje kuhusu hili,wajuzi naomba kujua iwapo Rais atafariki kabla ya kumaliza muda,nini kinafuata!!!
Vipi mkuu umeota ndoto kama Lema sema usiogope.Katiba inasemaje kuhusu hili,wajuzi naomba kujua iwapo Rais atafariki kabla ya kumaliza muda,nini kinafuata!!!
Kwa kipindi gani?Makamu anachukua nchi!
Hizi ndoto za mapema hii bhana!!!!Mkuu umefikiria nini mpaka kujiuliza swali kama hilo...
Ndugu, naomba tu majibu!Vipi mkuu umeota ndoto kama Lema sema usiogope.
AiseeUngekua usa fbi wangekutembelea kwa leo
USA hawana mambo hayo, watu wanamtukana Donald Trump matusi ya nguoni na hawafanywi kitu, anaishia nae kuwachamba twitter tu.Ungekua usa fbi wangekutembelea kwa leo
Kwanini tena mkuu?Ungekua usa fbi wangekutembelea kwa leo
Nimeuliza swali na nadhani katiba inatambua mazingira kama haya!Jitafakari. Usitafute kiki za kina Sosopi mitandaoni. Mwisho wa siku utasumbua watu kutafuta wadhamini wa kukuwekea dhamana Mahakamani.