Nchi gani mku zitaje tuzijueBahati nzuri upo hapa nchini. Zipo nchi ulimwenguni kule kufikiria tu kwamba kiongozi wa nchi amefariki ni kosa la uhaini na unaweza ukapotezwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi gani mku zitaje tuzijueBahati nzuri upo hapa nchini. Zipo nchi ulimwenguni kule kufikiria tu kwamba kiongozi wa nchi amefariki ni kosa la uhaini na unaweza ukapotezwa.
Ok.Endapo kwa sababu "yoyote" ile Rais atashindwa kuendelea na madaraka yake basi atakayechukua nafasi hiyo ni Makamu wa Rais.
Hatokufa kwa jina la YesuNingependa kujua ikiwa ikatokea bahati mbaya amefariki katika ajali au namna yoyote iwayo, nani ateyeshika nafasi ya uongozi wa taifa letu?
Hapo kuna mama vice anaomba kimyoyo myoyo rais apitilize!!! Maana katiba hiyo inampa chance,ila mungu yupo mzee wetu atapona soon!.Ningependa kujua ikiwa ikatokea bahati mbaya amefariki katika ajali au namna yoyote iwayo, nani ateyeshika nafasi ya uongozi wa taifa letu?
Hata kama una miaka mia...kwa nini uhuishwe sasa?
sina comment na uhuru wa kujieleza ulivyopitiliza.Mhhh....Mkuu Kichuguu,..kwamba Rais hawezi kufikiriwa kama anaweza kufa au?
Ningependa kujua ikiwa ikatokea bahati mbaya amefariki katika ajali au namna yoyote iwayo, nani ateyeshika nafasi ya uongozi wa taifa letu?
Wacha ushamba wewe hilo ni swali la kikatiba sema hujui jibu lake.no comment. sijapenda kuchangia hii, namwombea asife.
Hahahaha jamani nimechoka kuchekaUna mpango wa kumuua Rais mkuu?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji23][emoji41][emoji7]Raia mmeshaanza kuandaa mikeka eeh[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji134][emoji134][emoji134]
Tayari. Wanafanya utaratibu wa kutangaza. Zamani alipofariki Mwl Nyerere sisi wa mpakani tukipata taarifa kupitia radio Malawi MBC ikitangaza kwa lugha ya kitumbuka kuwa "the former president of Tanzania Mwl Nyerere alowa" ku St Thomas hospital EnglandNaomba itokee
Anamkumbuka daima milele....Bado umechoka?
Tayari kitu gani na utaratibu unaofanywa wa kutangaza nini ?Tayari. Wanafanya utaratibu wa kutangaza. Zamani alipofariki Mwl Nyerere sisi wa mpakani tukipata taarifa kupitia radio Malawi MBC ikitangaza kwa lugha ya kitumbuka kuwa "the former president of Tanzania Mwl Nyerere alowa" ku St Thomas hospital England
PolepoleNingependa kujua ikiwa ikatokea bahati mbaya amefariki katika ajali au namna yoyote iwayo, nani ateyeshika nafasi ya uongozi wa taifa letu?