Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Ukiyakubali hayo, baadaye utasema kuwa nchi hiyo pia imetoa Rais kwenda kuwa Rais wa Taifa jingine.Mbona unazungumzia masuala ya nchi isiyokuhusu? Zanzibar ni nchi yenye katiba yake na sheria zake.