Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Jakaya profesa wa siasa keshaongea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmempatiaUmeongea ukweli mtup kikwete asitutoe kwenye reli
1 - Suala la bandari si suala la siasa ni uchumi na ustawi wa watu. ndiyo sababu watu wanaishutumu serikali kuingia mkataba mbovu. hawashutumu chama cha mapinduzi. Na uchumi na ustawi wa watu huwezi ukamzuia mtu yeyote.Alikuwa aliongea Leo huko Mara alikoalikwa kama mgeni Rasmi kwenye sherehe ya ufunguzi wa jengo la ibada la Kanisa.
My Take
Naunga mkono hoja,TEC na wachochezi wengine wakemewe na waonywe.
=====
"Tukianza kuchanganya dini na siasa, tukageuza...madhabahu ndio mahali pa kuhubiri siasa za vyama vya siasa, kwishiria mbali nchi yetu...lakini Baba wa Taifa ametuasa juu ya hatari ya kuchanganya dini na siasa, nawasihi Watanzania wenzangu kuitunza tunu hii kama mboni za jicho letu tukatae kuwasikiliza viongozi wa dini na waumini wao wanaofanya vitendo vya aina hii iwe kwa siri au kwa dhahiri, vitendo hivi vinaweza kutupeleka kubaya" Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Jakaya Kikwete wakati akizindua kanisa la SDA Rorya mkoani Mara, leo Agosti 20, 2023.
View attachment 2722951
We Makalio, yaani askofu kupewa na Ruge ndio yeye ameiba?Askofu Nzigilwa: Rugemalira alitoa fedha za matoleo
Lord denning hii Sasa ndiyo nini? Rugemalila hakupewa hela haramu za Tegeta Escrow. Tulia dawa iingie vizuri Allen. Huu ndo uzuri wa JF. Uliwahi kusikia tamko la TEC kwenye hili jambo?www.jamiiforums.com
Alipewa fedha gani? Kwa nini hazikuwekwa kwenye akaunti ya Kanisa?We Makalio, yaani askofu kupewa na Ruge ndio yeye ameiba?
Slaa yeye anajali rupia zaidi ndio maana aliutosa UKAWA.Sasa slaa na tec lao si ni moja tu
Na alipaswa kuwakemea mkewe na kijana wake waache tamaa ya uongozi wa kisiasa maana hawana sifa hata moja zaidi ya kuhonga ili wawe viongozi kama alivyohonga yeye awe rais.Huyo mzee Mkwere anazingua.
Kwako amani inakwepo akiongoza nani?Kwangu nina amani kubwa sana nchi kuongozwa na mtu kama Samia.Huko tulikotoka msemaji alikuwa moja tu nchi nzima,mauaji kila kona!Sasa hivi mambo safi.Watu wanajadili mkataba wa DP WORLD kwa starehe zoteTufanye uchaguzi haraka kwa amani ya nchi.
Baelezee MwambaRais Mwinyi ni rais tofauti na watangulizi wake, rais Mwinyi yeye amejikita sana kuendeleza uisilamu kwani hivi sasa amekuja na ajenda ya " mwaka wa kiisilamu" kuuingiza kwenye kalenda, huko nyuma aliwahi kuja na serikali kuanzisha mfuko wa mahujaji.
Je, ushauri wa mhe. Kikwete kuhusu kuchanganya siasa na dini unawezekana wakati viongozi wa CCM ndio wachanganyaji wakubwa?
Kwa kuongezea Viongozi wengi wakichaguliwa wanaapa Kwa kumtumia katiba na vitabu vya diniHawajui kuwa serikali ni utumishi WA Mungu. Mungu ni utu, haki, kweli, n.k. JE KUNA SERIKALI INAYOINGIA MADARAKANI KWA AJILI YA KUFANYA UOVU? NA IKAWAAHIDI WANANCHI KUWA WATAFANYA UOVU ILI WACHAGULIWE? NA WANANCHI WAKAKUBALI KUWACHAGUA KWA UOVU ULIOAHIDIWA? KAMA SIVYO BASI KUTENGANISHA MAKANISA/DINI NA SIASA NI KUFICHA UDHALIMU NA WACHACHE WAENDELEE KUNEEMEKA KWA MTAJI WA DINI ISIHUSIKE NA SIASA. SIASA NI UTARATIBU WA MAISHA YA NCHI. KWA NINI WATU WAJITENGE NAO? SIASA IWE YA WATU WOTE. ILA SERIKALI NDIYO HAINA DINI/ MAKANISA. ILA WATU NDIWO WENYE DINI/ MAKANISA.
Okay, imekaaje hii. Kwani kwa Sasa Mwaka wa Kiislaamu haupo kwenye kalenda?Rais Mwinyi ni rais tofauti na watangulizi wake, rais Mwinyi yeye amejikita sana kuendeleza uisilamu kwani hivi sasa amekuja na ajenda ya " mwaka wa kiisilamu" kuuingiza kwenye kalenda, huko nyuma aliwahi kuja na serikali kuanzisha mfuko wa mahujaji.
Je, ushauri wa mhe. Kikwete kuhusu kuchanganya siasa na dini unawezekana wakati viongozi wa CCM ndio wachanganyaji wakubwa?
Hiyo kauli ya kikwete itakuwa imelenga upande wa tanganyikaRais Mwinyi ni rais tofauti na watangulizi wake, rais Mwinyi yeye amejikita sana kuendeleza uisilamu kwani hivi sasa amekuja na ajenda ya " mwaka wa kiisilamu" kuuingiza kwenye kalenda, huko nyuma aliwahi kuja na serikali kuanzisha mfuko wa mahujaji.
Je, ushauri wa Kikwete kuhusu kuchanganya siasa na dini unawezekana wakati viongozi wa CCM ndio wachanganyaji wakubwa?