alumn
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 2,370
- 3,163
Dini na siasa ni Chanda na Pete. Tena zamani viongozi Wa kisiasa ndio walikua viongozi wa Dini. Mabadiliko yalikua kutokea hasa Ukisoma Agano la kale pale wana wa Israeli walipotaka Mfalme wao pekee asijiungamanishe na mambo yote mawili ndipo hapo utawala unaanza rasmi kwa Sauli.
Lakini kabla huko nyuma Musa alikua kiongozi wao wa Dini na kisiasa, Yoshua, etc. na hii ikawa hivyo hivyo kwa Dola za Rumi, Babeli, e.t.c
Na hata leo hii tawala zote za Dunia siko chini ya tawala za kiimani. Kama sio nguvu za Giza basi ni Mamlaka ya Mungu. Huwezi tenganisha Haya mambo Neverr…
Mimi nasema hivi, Imani ina nafasi kubwa sana kwenye tawala hizi tulizonazo
Lakini kabla huko nyuma Musa alikua kiongozi wao wa Dini na kisiasa, Yoshua, etc. na hii ikawa hivyo hivyo kwa Dola za Rumi, Babeli, e.t.c
Na hata leo hii tawala zote za Dunia siko chini ya tawala za kiimani. Kama sio nguvu za Giza basi ni Mamlaka ya Mungu. Huwezi tenganisha Haya mambo Neverr…
Mimi nasema hivi, Imani ina nafasi kubwa sana kwenye tawala hizi tulizonazo