Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
Bila kujali kaongea lini kikubwa ujumbe ameufikisha kunako.Kaongea lini???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kujali kaongea lini kikubwa ujumbe ameufikisha kunako.Kaongea lini???
Muongezee na hili kwa nini waislamu wengi wanajitoa muhanga kwa kusema wanafia dini?Bandiko lako limejaa hasira, kisasi, chuki, husuda, roho mbaya, uzandiki n.k. Hivi vitu humfanya awe na ukuta katika kuliendea jambo na pia kufanya maamuzi sahihi.
Naomba nikuulize maswali yafuatayo:
1) Unahisi ni kwa nini mtume hakumuandaa mrithi wake?
2) Mazishi ya mtume yalichelewa, unahisi sababu ni nini?
3) Makhalifa wakuu wengi waliuawa kwa upanga, umeshawahi kujiuliza ni kwa sababu gani?
4) Kuna msemo unasema kuwa "Uislamu ulienea kwa ncha ya upanga", unaelewa maana yake nini?
5) Unafahamu ni sababu zipi zilizopelekea mgawanyiko wa kmadhahebu?
Aise huwa mnajidanganya sana kwamba TEC wana nguvu hiyo wakati ni kijitaasisi uchwara tu.Ninavyojua mimi huyu ndie Remote Controler wa hizi issue zote.
Yule tunaemlaumu naye yupo kama mateka fulani hivi.
Halafu watu hamuijui nguvu ya TEC!
Hao hao viongozi huwa hawakauki huko kwa maaskofu.
Ushauri wakati wanapokuwa kwenye njiapanda huwa wanakimbilia huko.View attachment 2723152
Wao waendelee na mkataba wao ila sisi tumeshakabidhi kwa Mungu,Aise huwa mnajidanganya sana kwamba TEC wana nguvu hiyo wakati ni kijitaasisi uchwara tu.
Mkataba utapitishwa na hakuna mtu ataleta za kuleta mtabaki tu kupiga makelele mitandaoni.
harafu yuko strategic alijua leo waraka unasomwa kaenda kuongea yale ili magazeti na vyombo vya habari kesho wakave stori yake!Reasoning capacity ya Kikwete ni very low. Yaani haoni kasoro kenye mkataba wa bandari mpaka aanze kusema udini kwa vile anayekosolewa ni muislamu mwenzake!
Ukiona hadi Rais uvumilivu ulimshinda akaamua kusema wazi kwamba!
"Baadhi ya wazee wastaafu waache viherehere vinaligharimu taifa!"
sasa ndiyo namuelewa!
Hakuna udini unaochanganywa! Viongozi wa dini wanatambua ugumu wa kuliombea taifa ambalo linaingia mikataba mibovu!
Tuwapunguzie mizigo ya kufanya maombi kwa taifa na viongozi wanaoliingiza taifa kwenye matatizo ya kiuchumi kutokana na mikataba mibovu.
Maonyo ya viongozi ni kama Aalama za barabarani zikipuuzwa ndiyo huwekwa matuta! Waraka ni matuta kwenye maamuzi ya viongozi!
lengo la matuta ili sote tubaki salama, lakini mpuuzi anaenufaika na speed anaweza kutoka hadharani kudai tusichanganye kilimo cha matuta na barabara!
wataoumia ni wananchi!
wastaafu wengine wanawashwa kweli kama Rais magufuli alivyosema
Eti reasoning ya mstaafu iko low [emoji1787][emoji1787][emoji1787].Okay sitaki kutumia nafasi yake kuonesha how uwezo wake wa reasoning ni mkubwa.Reasoning capacity ya Kikwete ni very low. Yaani haoni kasoro kenye mkataba wa bandari mpaka aanze kusema udini kwa vile anayekosolewa ni muislamu mwenzake!
Kikwete ana akili ndogo kumbe! Issue ni content za mkataba, kwa mtu mwenye akili ambaye hana lililojificha nyuma yake, when one is discussing the content of the contract, religious inclination does not arise! Ni purely legal issues being discussedharafu yuko strategic alijua leo waraka unasomwa kaenda kuongea yale ili magazeti na vyombo vya habari kesho wakave stori yake!
utawasikia kina kitenge kesho
gazeti mtanzania linasemaaa!!!!
Naaaaaaam Twaribu" kikwete asema tusichanye dini na siasa! huku kakaza macho.
Sawa kwa hiyo hili swala la Bandari rais wetu mpendwa si maamuzi yake?Ninavyojua mimi huyu ndie Remote Controler wa hizi issue zote.
Yule tunaemlaumu naye yupo kama mateka fulani hivi.
Halafu watu hamuijui nguvu ya TEC!
Hao hao viongozi huwa hawakauki huko kwa maaskofu.
Ushauri wakati wanapokuwa kwenye njiapanda huwa wanakimbilia huko.View attachment 2723152
Huyo nahisi ya Zamani.Kaongea lini???
Wewe ni zombi kwelikweli. Kuna mahali popote TEC imezungumzia chama chochote cha siasa?Alikuwa aliongea Leo huko Mara alikoalikwa kama mgeni Rasmi kwenye sherehe ya ufunguzi wa jengo la ibada la Kanisa.
My Take
Naunga mkono hoja,TEC na wachochezi wengine wakemewe na waonywe.
=====
"Tukianza kuchanganya dini na siasa, tukageuza...madhabahu ndio mahali pa kuhubiri siasa za vyama vya siasa, kwishiria mbali nchi yetu...lakini Baba wa Taifa ametuasa juu ya hatari ya kuchanganya dini na siasa, nawasihi Watanzania wenzangu kuitunza tunu hii kama mboni za jicho letu tukatae kuwasikiliza viongozi wa dini na waumini wao wanaofanya vitendo vya aina hii iwe kwa siri au kwa dhahiri, vitendo hivi vinaweza kutupeleka kubaya" Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Jakaya Kikwete wakati akizindua kanisa la SDA Rorya mkoani Mara, leo Agosti 20, 2023.
View attachment 2722951
Pole kwa kulishwa matanho pori ukashiba.Waende wakafanye kazi za kuchunga kondoo za bwana wasituletee firimbi hapa.. kwani sadaka na misa zimeisha ? au kondoo wao wamekosa nyasi? wadini wakubwa
Unadhani Kuna mtu anataka kujibiwa na TEC!?..wao wakae kwenye vitubio wawasamehe waamini wao dhambi,au laa wakajisajili Kama chama Cha siasa,zama za kudekezwa zimepita kitamboUsitegemee TEC watakuja hapa kukujibu ama watatereka na waraka wao.. Hizo ni kelele za chura haziwezi kumzuia tembo kunywa maji
Tatizo una akili ndogo huwezi kumuelewa JKCha kushangaza na kusikitisha zaidi, yeye siyo padri wala mchungaji bali ni mwanasiasa lakini kahudhuria kwenye tukio la watu wa dini na kaongelea mambo ya kisiasa.
Watu wa siasa wana dini zao na siasa ni maisha ya watu...
Sasa wewe umeshaambiwa serikali haina dini unataka dini ijihusishe na siasa unajua madhara yake?Haya sasa , msichanganye dini na siasa[emoji1787]
Wewe kwenu hamna wazee? Anaona mwenendo siyo mzuri lazima aeleze kabla hayajatokea madhara. Mnakenua kama ngiri yakitokea machafuko humu nchini mtajificha mapangoni kenge nyie.Asanteni sana TEC kwa tamko lenu.
Hakika Mungu ni mwema Sana.
Sasa tunaanza kuona nyoka wanatoka mapangoni[emoji16]
jakaya katokea wapi wakati alikuwa kimya muda wote tangu sakata la hili limkataba lianza?
WAMELIKOROGA wenyewe wacha WALINYWE😁Wewe kwenu hamna wazee? Anaona mwenendo siyo mzuri lazima aeleze kabla hayajatokea madhara. Mnakenua kama ngiri yakitokea machafuko humu nchini mtajificha mapangoni kenge nyie.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app