Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri pekee wa kutolewa kwa sasa ni kuiheshimu na kuifuata katiba iliyopo ambayo inaruhusu shughuli za kisiasa za vyama vya kisiasa.TLS ikiwa chini ya marais Dr. Rugemeleza Nshala na Fatma Karume tuliijua ingetoa ushauri bila kupepesa macho, ila hii TLS ya Dr. Edward Hosea sijui itatoa ishauri gani
Waziri wa Katiba na Sheria kwa kushirikiana na Tanganyika Law Society (TLS) pamoja na Zanzibar Law Society (ZLS) ameagizwa kuandaa kanuni zitakazoelekeza namna ya kufanya mikutano ya hadhara ya Vyama vya Siasa
Rais Samia ameelekeza hayo baada va kupokea maazimio ya awali ya Kikosi kazi kilichoteuliwa kufuatilia hoja zilizojitokeza katika mkutano wa wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa uliofanyika Desemba 2021
Maazimio yamegawanyika katika makundi matatu ya muda wa utekelezaji; Azimio la muda mfupi ni uandaaji wa Kanuni zitakazoelekeza jinsi ya kufanya Mikutano ya Hadhara. Miongoni mwa maazimio ya muda wa kati ni Rushwa na Maadili katika Uchaguzi. Katiba mpya ni mpango wa muda mrefu
View attachment 2147892
#HABARI Rais @SuluhuSamia amemwagiza Waziri wa Katiba na Sheria George Simbachawene, kuandaa kanuni zitakazoelekeza jinsi ya kufanya mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa.
Ukishawapa Wanasiasa wanachotaka, kelele zote zinaisha.
Unaweza kufikiri nchi hii matatizo yote YAMEISHA😀😀😀
Ukishawapa Wanasiasa wanachotaka, kelele zote zinaisha.
Unaweza kufikiri nchi hii matatizo yote YAMEISHA😀😀😀
TLS ikiwa chini ya marais Dr. Rugemeleza Nshala na Fatma Karume tuliijua ingetoa ushauri bila kupepesa macho, ila hii TLS ya Dr. Edward Hosea sijui itatoa ishauri gani
Wanasiasa wanyo platform kubwa ya kuongea tofauti na makundi mengine, wakishapewa hayo mahitaji yao hutosikia tena kuwatetea wananchi wanyonge wa nchi hiiUkishawapa Wanasiasa wanachotaka, kelele zote zinaisha.
Unaweza kufikiri nchi hii matatizo yote YAMEISHA😀😀😀
Bado anatokea mmakonde mmoja na kusema wanawake ni viumbe dhaifu, wakati kila mianaume ya upinzani inaitwa ikulu na huko kwa mabeberu kisha inainamishwa vichwa kwa sauti laini inakuwa miimba mapambio.
Hata Samson na miguvu yake aliwezwa na mwanamke mmoja tu legevu legevu kimuonekano, the same kwa Zitto, Mbowe na Lissu.
Maendeleo hayana chama
Nchi hii tukiwaambia Rais ana madaraka ya kulevya wapo wenye umaskini wa akili hawaelewi.Waziri wa Katiba na Sheria kwa kushirikiana na Tanganyika Law Society (TLS) pamoja na Zanzibar Law Society (ZLS) ameagizwa kuandaa kanuni zitakazoelekeza namna ya kufanya mikutano ya hadhara ya Vyama vya Siasa
Rais Samia ameelekeza hayo baada va kupokea maazimio ya awali ya Kikosi kazi kilichoteuliwa kufuatilia hoja zilizojitokeza katika mkutano wa wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa uliofanyika Desemba 2021
Maazimio yamegawanyika katika makundi matatu ya muda wa utekelezaji; Azimio la muda mfupi ni uandaaji wa Kanuni zitakazoelekeza jinsi ya kufanya Mikutano ya Hadhara. Miongoni mwa maazimio ya muda wa kati ni Rushwa na Maadili katika Uchaguzi. Katiba mpya ni mpango wa muda mrefu
View attachment 2147892
Kwa uzoefu wangu wa Siasa…sasa hivi watu wanajiandaa kula Nchi sasa maana wapiga kelele wote wanatafutiwa kivuli cha kupoza njaa
Wanasiasa wanyo platform kubwa ya kuongea tofauti na makundi mengine, wakishapewa hayo mahitaji yao hutosikia tena kuwatetea wananchi wanyonge wa nchi hii
KheeeWaziri wa Katiba na Sheria kwa kushirikiana na Tanganyika Law Society (TLS) pamoja na Zanzibar Law Society (ZLS) ameagizwa kuandaa kanuni zitakazoelekeza namna ya kufanya mikutano ya hadhara ya Vyama vya Siasa
Rais Samia ameelekeza hayo baada va kupokea maazimio ya awali ya Kikosi kazi kilichoteuliwa kufuatilia hoja zilizojitokeza katika mkutano wa wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa uliofanyika Desemba 2021
Maazimio yamegawanyika katika makundi matatu ya muda wa utekelezaji; Azimio la muda mfupi ni uandaaji wa Kanuni zitakazoelekeza jinsi ya kufanya Mikutano ya Hadhara. Miongoni mwa maazimio ya muda wa kati ni Rushwa na Maadili katika Uchaguzi. Katiba mpya ni mpango wa muda mrefu
View attachment 2147892
Waziri wa Katiba na Sheria kwa kushirikiana na Tanganyika Law Society (TLS) pamoja na Zanzibar Law Society (ZLS) ameagizwa kuandaa kanuni zitakazoelekeza namna ya kufanya mikutano ya hadhara ya Vyama vya Siasa
Rais Samia ameelekeza hayo baada va kupokea maazimio ya awali ya Kikosi kazi kilichoteuliwa kufuatilia hoja zilizojitokeza katika mkutano wa wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa uliofanyika Desemba 2021
Maazimio yamegawanyika katika makundi matatu ya muda wa utekelezaji; Azimio la muda mfupi ni uandaaji wa Kanuni zitakazoelekeza jinsi ya kufanya Mikutano ya Hadhara. Miongoni mwa maazimio ya muda wa kati ni Rushwa na Maadili katika Uchaguzi. Katiba mpya ni mpango wa muda mrefu
View attachment 2147892