Rais Samia aagiza kuandaliwe Kanuni za Mikutano ya Vyama vya Siasa Nchini

Rais Samia aagiza kuandaliwe Kanuni za Mikutano ya Vyama vya Siasa Nchini

Haifatwi kwakuwa nh
Mbona utaratibu wa kufanya hayo upo!

Why are these people reinventing the wheel???

Katiba, hata kama ni pungufu na iliyopitwa na wakati, ipo lakini haifuatwi.

Hiyo mpya ndo itakuwaje sasa?

Huu niujuha.
haifatwi kwakuwa ina udhaifu wa uwajibishaji. Pia ina double standard nyingi
 
Wewe dimwit ulikuwa unatetea uvunjaji Katiba wa jiwe halafu unaleta kiuzi chako cha kubomoa cha kujibaraguza. Huna akili au ni mshamba usiyejua tofauti ya uvunjaji Katiba na upuuzi mwingine.
Huna hoja ndo maana unaleta viroja. Ingine hii hapa. Nayo aliiandika nani? Bwana’ako eeh? 🤣

 
Ushauri pekee wa kutolewa kwa sasa ni kuiheshimu na kuifuata katiba iliyopo ambayo inaruhusu shughuli za kisiasa za vyama vya kisiasa.

Hakuna tena haja ya kuandaa kanuni!

Kanuni za nini?

Tunaongozwa na viongozi ama wasioijua katiba au ambao hawaiheshimu kabisa!
Tusubiri tuone kitakachokuja. Tuna haki ya kukiunga mkono au kukipinga kama tulivyopinga vilivyopita. Ni JF iliyo huru iliyotufikisha hapa ambapo Wenye mamlaka wamelegeza misimamo. Ni mbinyo wa humu na nje unaoleta haya Sasa. Tujipe Muda.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Tatizo siyo kanuni bali utekelezaji wa kanuni hizo. Ninajua kuwa kanuni zipo tangu vyama vingi vilipoanza, lakini utekelezaji wake ndio umekuwa na matatizo kwa pande zote mbili husika. Kwa upande wake serikali imekuwa inzuia kutoa vibali vya mikutano kinyume na kanuni zinavyotaka kwa kisingizio cha usalama, na vyama vya siasa pia kwa upande wake (siyo vyote) vimekuwa vinatumia mikutono hiyo kinyume na matarajio yake ikiwamo na kuhamasisha uvunjaji wa sheria kwa kutumia kigezo cha demokrasia. Kanuni ziliziopo zinatakiwa zifuatwe sawasawa na wahusika wote.
 
Ushauri pekee wa kutolewa kwa sasa ni kuiheshimu na kuifuata katiba iliyopo ambayo inaruhusu shughuli za kisiasa za vyama vya kisiasa.

Hakuna tena haja ya kuandaa kanuni!

Kanuni za nini?

Tunaongozwa na viongozi ama wasioijua katiba au ambao hawaiheshimu kabisa!
Hakuna hata siku moja kanuni za sasa zimelalamikiwa! hakuna
Kilicholalamikiwa ni matumizi mabaya ya mamlaka kama Polisi na Serikali kukiuka kanuni zilizopo

Kuandika kanuni mpya kuna lengo moja, kuandika mambo yatakayowabana Wapinzani
 
Mbona mikutano ilikuwepo wakati wa JK na kelele hazikuisha, sembuse leo mikutano na mikanuni juu? Kelele haziwezi kuisha mpaka kila mtu apate haki yake.
Huu ndo uhalisia. Yaani umpe platform mpinzani ya kuongea halafu aje aunge mkono Kila kitu? Kwa Watanzania wapi hao? Si watakususa kama Mrema na Cheyo? Kuna wanasiasa walikuwa na upepo wa kupendwa kama hao? Lakini walipojifungamanisha na CCM Kwa Kila kitu wakapotea kwenye ramani.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Hakuna hata siku moja kanuni za sasa zimelalamikiwa! hakuna
Kilicholalamikiwa ni matumizi mabaya ya mamlaka kama Polisi na Serikali kukiuka kanuni zilizopo

Kuandika kanuni mpya kuna lengo moja, kuandika mambo yatakayowabana Wapinzani
Kabisa!
 
Tatizo siyo kanuni bali utekelezaji wa kanuni hizo. Ninajua kuwa kanuni zipo tangu vyama vingi vilipoanza, lakini utekelezaji wake ndio umekuwa na matatizo kwa pande zote mbili husika. Kwa upande wake serikali imekuazuia kutoa vibali vya mikutano kama kinyume na kanuni zinavyotaka kwa kisingizio cha usalama,
Hapo ndipo tatizo lilipo. Kwa uhakika sheria inataka kutoa taarifa tu na wala si kibali

na vyama vya siasa pia kwa upande wake (siyo vyote) vimekuwa vinatumia mikutono hiyo kinyume na matarajio yake ikiwamo na kuhamasisha uvunjaji wa sheria kwa kutumia kigezo cha demokrasia. Kanuni zilziopo zinatakiwa zifuatwe sawasawa na wahusika wote.
Ikiwa kuna uvunjaji wa sheria si mahakama ipo?
 
Nadhani hiyo haki kuna watu waliitumia vibaya, sasa ni muda muafaka wa kuangalia hiyo mikutano inafanyika vipi, haiwezekani baada tu ya uchaguzi nchi nzima ianze kampeni kwa uchaguzi ujao
Hapana, kuna upotoshaji mkubwa sana katika hili

Kazi ya mwanasiasa ni kufanya siasa. Sheria za nchi hazijaweka ukomo wa kazi za siasa bali taratibu za kufuata. Kama ipo sheria inayosema baada ya uchaguzi kazi za siasa hakuna nionyeshe

Msichukue mawenge wenge ya mwendazake mkayafanya sheria.
 
Wewe mataga pori uliposema hivyo 2016 nini kilikufanya ufanye U turn 2019? Ulichoka kubeba box?
Huna hoja ndo maana unaleta viroja. Ingine hii hapa. Nayo aliiandika nani? Bwana’ako eeh? [emoji1787]

 
Sijaele

Eti katiba na uchaguzi ni mpango wa muda mrefu? Kwanini ziwe mpango wa muda mrefu?. Kwa hivyo Tume huru na Katiba Mpya sio priority kwa Sasa?.
Si kweli, katiba ya mwaka 1977 iliandikwa kwa muda gani?
Rasimu ya Warioba ina maoni ya wananchi tayari.

Katika suala la Tume huru ya uchaguzi kundi lililoumiza umma ni ACT-Wazalendo
Hawa walikuwa mstari wa mbele kudai Tume huru ambayo leo haikutajwa kabisa

ACT-Wazalendo ni chama kikuu cha upinzani Zanzibar! laiti wasingejiunga na CCM na wabeba mikoba akina Hamad yasingetokea ya leo. Siju ACT wanahoja ipi tena !

ACT nao wametaka kanuni mpya kana kwamba ni tatizo lililokuwepo!
 
Wewe mataga pori uliposema hivyo 2016 nini kilikufanya ufanye U turn 2019? Ulichoka kubeba box?
Ni kwa sababu niko principled!

Ukiwa unaongozwa na principles, hutojali personalities.

Nobody will be above your criticism nor below your praise.

Ndo maana nilipoona Magufuli yupo sawa, nilimuunga mkono. Nilipoona anakosea, nilimkosoa vikali.

Ni jambo jepesi sana lakini wewe huna uwezo wa kiakili wa kulielewa.

Ndo maana upo hapa unahaha kutafuta mada ambazo nilimuunga mkono Magufuli na zingine ambazo nilimpinga na kumkosoa, unazikacha.

Kwa vile wewe ni juha kama gunia la viazi mviringo, hata hiki nilichokiandika hapa sitegemei ukielewe!

🤣✌️
 
Ni kwa sababu niko principled!

Ukiwa unaongozwa na principles, hutojali personalities.

Nobody will be above your criticism nor below your praise.

Ndo maana nilipoona Magufuli yupo sawa, nilimuunga mkono. Nilipoona anakosea, nilimkosoa vikali.

Ni jambo jepesi sana lakini wewe huna uwezo wa kiakili wa kulielewa.

Ndo maana upo hapa unahaha kutafuta mada ambazo nilimuunga mkono Magufuli na zingine ambazo nilimpinga na kumkosoa, unazikacha.

Kwa vile wewe ni juha kama gunia la viazi mviringo, hata hiki nilichokiandika hapa sitegemei ukielewe!

[emoji1787][emoji3577]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti gunia la viazi mviringo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Pep huku siasani kumenoga baba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ikiwa kuna uvunjaji wa sheria si mahakama ipo

Kibali kinatolewa na polisi kwa maana ya kuwa mkuu wa polisi anakuwa ameandaa ulinzi wa kutosha wa mkutano ule. Kazi mojawapo ya polisi ni kuzuia uharifu, siyo kuacha uharifu ufanyike akitegemea kwenda mahakamani.

Sababu kubwa ambayo hutumiwa na polisi kuzuia vibali hivyo ni hiyo ya kusema kuwa kuna dalili za vurugu kwenye mkutano ule na wao hawana polisi wa kutosha kuulinda na kuweza kudhibiti fujo zinazoelekea kutokea. Wakati mwingine madai yao ni kweli na wakati mwingine ni exagerated extrapolation ili tu kuzuia mkutano.

Kuna kipindi fulani polisi waliingilia kutaka mkutano ufungwe kwa vile muda wa kibali ulikuwa umekwesha, matokea yake mwendesha mkutano akatoa maneno yaliyosababisha wafuasi wake wawashambulie polisi na kusababisha vurugu badala ya kiongozi huyo wa siasa kutii kanuni.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge kwa kushirikiana na Tanganyika Law Society (TLS) pamoja na Zanzibar Law Society (ZLS) ameagizwa kuandaa kanuni zitakazoelekeza namna ya kufanya mikutano ya hadhara ya Vyama vya Siasa...
Kwani Kanuni zilizopo zina Tatizo gani?

Binafsi Kanuni hazina Tatizo bali ni CCM kwa Kushirikiana na Msajili wa Vyama na Jeshi la Polisi Wanazitumia Vibaya Kanuni zilizopo kwa manufaa ya CCM
 
Mshamba wa Koromije huna na huongozwi na principles zozote, wewe ni pimbi mkabila tu.
Ni kwa sababu niko principled!

Ukiwa unaongozwa na principles, hutojali personalities...
 
Mshamba wa Koromije huna na huongozwi na principles zozote, wewe ni pimbi mkabila tu.
Duh!mkuu mbona kama una chuki zako binafsi
Siyo kwamba wewe ndiye mshamba! [emoji848]
 
Back
Top Bottom