.Hii ishu sio ndogo kama watu wengi wanavyoichukulia. Nia aibu sana kwa Taifa.
Waziri Mkuu wangu sikusemi kwa ubaya ila unatakiwa uwe ngangari sana. Ni aibu sana kwa karne hii ndege inaanguka mita 100 kutoka airport unashindwa kuokoa watu. Tena inaangukia kwenye maji!
Na mnasimama kabisa majukwaani mnawasifu wavuvi kuokoa watu, kwa mtiririko wa matukio haionekani hata sehemu moja ambayo msaada ulitoka serekalini au airport wakati wa uokozi! Hii ni mbaya sana!
Rais Samia Suluhu ameitisha kikao cha dharula na baraza la mawaziri kujadili ajali ya ndege ya precison iliyobeba uhai wa watu 19. Wakati ajali inatokea Rais Samia alikuwa nchini Misri.
Mara ya mwisho baraza la mawaziri kuitishwa kwa udharula huu ni miaka ya 90.
=====
President Samia Suluhu Hassan has convened an emergency meeting on November 14 in the capital Dodoma.
The meeting will involve cabinet ministers to discuss the Precision Air plane crash that claimed the lives of 19 people.
Samia was in Egypt immediately after the tragedy, meaning she didn't participate in the national funeral service.
The emergency meeting comes hot on the heels of calls from the public for government to be answerable for the lack of proper rescue strategy.
The last time such an emergency cabinet meeting was called by a president was in the 1990s, and it led to major changes.
An investigation into the plane crash is underway.
Citizen
Well Noted Mkuu....Kuna watu wanawajibika hapo
Tatizo letu wahusika ni wazembe sana wa kufuatilia mambo mpaka sisi wananchi wa kawaida tunaanza kutunga yetu
Inatakiwa sisi tupewe Habari kadiri zinavyotokea na sio kusubiri siku kadhaa ndio serikali inatoa majibu
Rais ana haki ya kukutanana nao maana wamekuwa waongo kwa taarifa kibao
Mwanzo walikurupuka wakasema ni hali ya hewa
Halafu tena Habari zinazunguka kuwa matairi yaligoma kutoka
Piga chini safu nzima Mheshimiwa Rais
Isambazwe katika mitandao yote. Ni muhimu kuiangalia hii klip kabla hujapanda ndege, na kurudia mara kwa mara kuiangalia.Mazoezi ya utayari, Uwepo wa Zana na Vifaa vya Uokozi, Weledi wa Wanaovitumia pia bajeti ya fedha
Mazoezi ya utayari ya jeshi la Zimamoto na Uokozi, Kamati za Ulinzi na Usalama Mkoa, Magari ya Wagonjwa / Majeruhi (ambulance), Ma Engineer, Vikosi vya Ulinzi na Usalama n.k kukabiliana na majanga yaonekane yakitumiwa pindi kukitokea ajali ya aina yoyote
Mafunzo wanayopitia cabin crew ili kujua cha kufanya kunapotokea ajali, mfano ndege kutua ktk maji n.k
SIMULATION YA NDEGE KUISHIWA MAFUTA NA KUAMUA KUTUA KARIBU NA FUKWE YA BAHARI, HUKU CABIN CREW, FIRST OFFICER, CAPTAIN WAKISIMAMIA ZOEZI
Mafunzo ya wafanyakazi wa SAA la Afrika ya Kusini, mafunzo haya mashirika yote duniani hulazimika kuyafanya kila wakati yaani mazoezi ya utayari.
Mamlaka mbalimbali FAA, ICAO, TCAA Tanzania, mashirika ya ndege yote yanabanwa kuhakikisha mafunzo haya ya utayari hufanyika mara kwa mara ili wafanyakazi wote ndani ya ndege wawe na utayari wakati wa dharura ikitokea.
CABIN CREW TRAINING: DITCHING - LONG (FULL) PREPARATION
SAA Cabin Crew CRM and procedures training: Cabin preparation when there is more than 10 minutes available to prepare the cabin.
Uwanja hauna taaRubani hakuweza kuuona vizuri uwanja wa kutua ndege wa Bukoba kwa sababu ya giza lililosababishwa na hali ya hewa. Kwa nini taa za uwanja hazikuwashwa au umeme wa tanesco ulikuwa umekatika kama kawaida yake? Kama uwanja haukuwa na taa, ni wizara gani ilizembea?
Watatoka na Maazimio ya kuandaa Sherehe ya kumpongeza Majaliwa....Sidhani kama watakuja na la maana
Kwasababu hakuna takwimu za vifo/magonjwa vinavyosababishwa na ukosefu wa maji. Ni tatizo lililo nyuma ya pazia.Swala la ajali ya ndege yenye abiria 48 linapataje umuhimu kuliko swala la maji linalowatesa Watanzania ndani na nje ya Dar? Kwangu la maana ni kutoka na jibu la kutengeneza vyanzo vingine vya maji si kila siku Ruvu chini na Ruvu juu
Ndege 3 katika ya 4 ilizonazo aina ya airbus a220-300 za shirika la ndege la Air Tanzania haziruki na kubaki zimepaki kutokana na tatizo la engine linalofahamika duniani kote hivyo ATCL nayo imesitisha kurusha ndege aina ya a220-300 hadi hapo ufumbuzi utapopatikana
Air Tanzania Suspends Services As Most Of Its Airbus A220s Are Grounded
BYJAKOV FABINGER
PUBLISHED 1 DAY AGO
Three out of Air Tanzania's four Airbus A220s are not flying at the moment.
Air Tanzania has announced a temporary suspension of some of its services because of the ongoing technical problems with the Pratt & Whitney engines on some of its Airbus A220s. The East African airline does not have a target date by which it hopes to resolve this issue, so half of its A220 fleet remains grounded for the foreseeable future ........
Source : Air Tanzania Suspends Services As Most Of Its Airbus A220s
Wanatuyumbisha tu akili.Swala la ajali ya ndege yenye abiria 48 linapataje umuhimu kuliko swala la maji linalowatesa Watanzania ndani na nje ya Dar? Kwangu la maana ni kutoka na jibu la kutengeneza vyanzo vingine vya maji si kila siku Ruvu chini na Ruvu juu
Sidhani kama watakuja na la maana
"Yaliyopita si ndwele tuganage yajayo "Huu ni mwanzo mzuri wajadili pia na namna ya kukabiliana na majanga kwa haraka endapo yatatokea kama haya huko mbele.
Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.
Mazingira ya wahuni kumuondoa waziri mkuu ili wamuweke mtu wao waendelee kula nchi yanaandaliwa. Bei ya bidhaa kupanda/Mgao maji/Umeme pia si dharura??
Hatukujifunza kwenye ajali ya Mv Bukoba ikatokea tena ziwa Victoria ajali ya kivuko MV Nyerere.Huu ni mwanzo mzuri wajadili pia na namna ya kukabiliana na majanga kwa haraka endapo yatatokea kama haya huko mbele.
Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.
Kwani Kuna kiongozi hapa duniani huteu Watendaji usio wajua?Tena katika nchi ambayo viongozi huteuana kwa misingi kujuana! Badala ya sifa za mtu za kielimu, uadilifu wake, na pia uzoefu wake katika utendaji wa kazi!!
Kwa kweli hata mimi sitegemei kusikia tamko lenye uwajibikaji ndani yake.
Ni pale Mwinyi alifuta baraza la Mawaziri akateua upya na kuwarudisha baadhi kina MkapaMmmhhh basi kuna kitu nyuma ya pazia.