Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais Samia ameitisha kikao ikulu udiku huu kujadili kupanda kwa bei ya mafuta , huku kikao hiko kikihudhuriwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Nishati January Makamba, Kamishna Mkuu wa TRA Alphayo Kidata na wajumbe wengineo
Tutarajie tamko la namna gani baada ya kikao hiko ndugu mdau wa jamii forums?
=======
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo tarehe 08 Mei Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.
Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati January Makamba, Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.
Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.
Kipindi cha jiwe ilikuwa ni maji tu ili presha ikipanda unashushia majiHuwa inashangaza sana , kipindi cha jiwe walikuwa wanapenda kula sambusa kwenye matukio.
Aliyeficha uso, lakini kipara kipo nje siyo yeye?Janu ndio kapiga picha au maana simuoni hapo.
Najiuliza hapo na usiku wote huo lazima kunna watu walisinzia tu😂😂😂🤣🤣Waafrika tunapenda sana kula imagine kikao serious kama hicho kimejaa machupa na majuisi sijui makorosho kwani wangekula baada ya kumaliza ingekuwaje? Hatuko serious kabisa kila sehemu tunawaza kula kula hovyo tu.
Katika viongozi walifeli kitaifa kuongoza Basi ni Hawa waislàmu ..Yani humo ndio mabalaa yote hutokeaga, maufisadi, maajali, manjanga ..Yani ni shida tupu..Tena huyu mama anaupiga mwingi Ila uislamu wake na ukike wake wahujumu uchumi wanakula naye Shani moja.Hilo unalisema wewe. Hamna pakuhujumu zaidi ya maneno ya kijinga tu. Tunawafahamu, mlikuwa hivihivi wakati wa Mwinyi, mkayarudia tena wakati wa Kikwete na mtaendelea nayo kila ataposhika Muislam. Mwiso wa siku tukilinganisha tunaona kuwa hakuna viongozi bora wa nchi hii zaidi ya Waislaam.
Naona mama keshaunga mkono juhudi kwa kuachana na kongwa la BARAKOA!! Hongera sana mama, furahia oxygen!!
Hahahah nchi ina raha hii, hivi hapa majuzi ni nani aliamuru kua ile mia iliyotolewa kupunguza ukali wa bei ya mafuta irudishwe hata kama yanapanda. Leo imekuaje tena anastuka anataka solution 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Maisha yatapanda na yatazidi kupanda MILELE, na wala hayajawahi kuwa RAHISI, tatizo ni kwamba VIONGOZI wa NCHI hawana MIPANGO endelevu ya kuinua PATO la MTU mmoja mmoja. SERIKALI badala ya kupigana kuinua KIPATO cha yule MTANZANIA wa MWISHO kule ambaye anabeba MZIGO wote wa hizi BEI mnahangaika na BEI yenyewe.. Hiyo BEI siyo tatizo, bali NGUVU YA MANUNUZI ya WATANZANIA ndo TATIZO…
Jibu la haya yote ni SEKTA ya KILIMO ambayo mmeamua KUISIGINA kwa MAKUSUDI. Ni kweli kuna UWEKEZAJI wa SEKTA zingine kama UTALII, VIWANDA na MADINI unafanyika ila ni SERIKALI ndo inafaidika ZAIDI kwa KODI moja kwa moja lakini WANANCHI WENGI hawafaidiki moja kwa moja pamoja na ajira chache wanazopata ambazo haziwezi kuinua asilimia kubwa ya wananchi walio na hali duni kimaisha… Kwanini kwa dhati kabisa KILIMO kisifanyiwe MKAKATI kwenye UWEKEZAJI uliotukuka na siyo GERESHA kama zile za KILIMO KWANZA ambayo mpaka leo hatujawahi pewa mrejesho wowote?
KILIMO ndo SEKTA pekee duniani inayotoa ajira kwa WATU WENGI wa HALI zote za kimaisha bila kutegemea MAHALI husika,,,
Nchi yetu ina KANDA nyingi za KILIMO ambazo zinaweza kugawanywa kutokana na ZAO husika, halafu SERIKALI au WAWEKEZAJI wakatengeneza MIUNDOMBINU ya KUMWAGILIA tukaachana na KUTEGEMEA MVUA. MIPANGO mingi mizuri inaozea kwenye makabati na hii inasababishwa na 10% zinazopatikana kwenye UWEKEZAJI wa CHAP CHAP na RAHISI kufanyika kwenye SEKTA nyingine kwakuwa VIONGOZI hawataki kuhangaika na KILIMO ambacho kinaonekana KIGUMU kwenye UWEKEZAJI lakini kina MATUNDA mazuri kwa TAIFA hili..
Leo tunaagiza MAFUTA ya KULA wakati nchi hii ina ardhi ya CHIKICHI, SOYA na ALIZETI.. Tunaagiza SUKARI wakati tuna ardhi ya MIWA,, tunaagiza NGANO wakati tuna ardhi ya kuilima hiyo NGANO.. Hivi vyote vingekuwa vinalimwa kwa UKAMILIFU wake hakika vilio vyote hivi visingelikuwa kwa UKUBWA uliopo.. Kwasababu tusingukuwa tunaagiza bidhaa nyingi nje kwahiyo hela yetu ingekuwa na NGUVU sokoni…
Hivi VIKAO vya Saa 10 usiku mtakaa sana huko tuendako maana VIONGOZI ni wale wale wenye FIKRA zile zile za kuongeza KODI na TOZO kwenye MAFUTA yale yale na VITU vyenye URAHISI wa MALIPO badala ya kutafuta NJIA MBADALA.
Dhaifu tu na lenyewe!Mpaka apigiwe kelele?
sasa icho kikao cha usiku na kila mtu amepigilia Misuti si wangevaa Ma pajama tuRais Samia ameitisha kikao ikulu udiku huu kujadili kupanda kwa bei ya mafuta , huku kikao hiko kikihudhuriwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Nishati January Makamba, Kamishna Mkuu wa TRA Alphayo Kidata na wajumbe wengineo
Tutarajie tamko la namna gani baada ya kikao hiko ndugu mdau wa jamii forums?
=======
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo tarehe 08 Mei Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.
Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati January Makamba, Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.
Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.
Bata limerudi rasmi. Enzi za awamu ya tano hapo mezani pangekuwa na maji tu kwa kila mtu. Maana yake tuishi kwa kutegemea mishahara yetu.Rais Samia ameitisha kikao ikulu udiku huu kujadili kupanda kwa bei ya mafuta , huku kikao hiko kikihudhuriwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Nishati January Makamba, Kamishna Mkuu wa TRA Alphayo Kidata na wajumbe wengineo
Tutarajie tamko la namna gani baada ya kikao hiko ndugu mdau wa jamii forums?
=======
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameitisha Kikao cha dharura usiku wa leo tarehe 08 Mei Ikulu ya Dar es Salaam kujadili tatizo la kupanda kwa bei ya mafuta nchini.
Miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Nishati January Makamba, Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) Alphayo Kidata na makatibu wakuu wao.
Katika kikao hicho, Rais Samia amewaagiza viongozi hao kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo hilo la Upandaji wa bei ya Mafuta nchini.
Aaah migodi aliyoirudisha Kikwete iliuzwa na nani na kwa nani? Unaelewa?? Mawaziri waliofungwa wakati wa Kikwete umewasahau, na kwanini? Nikukumbushe? Waziri Mkuu aliyeweka rekodi ya kufukuzwa? Wakati nani akiwa Rais?Katika viongozi walifeli kitaifa kuongoza Basi ni Hawa waislàmu ..Yani humo ndio mabalaa yote hutokeaga, maufisadi, maajali, manjanga ..Yani ni shida tupu..Tena huyu mama anaupiga mwingi Ila uislamu wake na ukike wake wahujumu uchumi wanakula naye Shani moja.
TRA ni wazembe mno,kuna mapato mengi Sana yanapotea 👇
Aaah migodi aliyoirudisha Kikwete iliuzwa na nani na kwa nani? Unaelewa?? Mawaziri waliofungwa wakati wa Kikwete umewasahau, na kwanini? Nikukumbushe? Waziri Mkuu aliyeweka rekodi ya kufukuzwa? Wakati nani akiwa Rais