Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku huu (Mei, 08 2022) Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta

Rais Samia aitisha kikao cha dharura usiku huu (Mei, 08 2022) Ikulu Dar Es Salaam kujadili mafuta

Alivyosema vitu lazma vitapanda ulielewa Nini?
Nilielewa vitu vitapanda bei, ni nini hapo ambacho hujaelewa, kwani Tanzania hii vitu vimeanza kupanda bei leo? Au wa jana wewe? Wewe ni mjinga kweli kweli tena.

Una mafuta unayozalisha hapa? kawapangie bei wanaouza mafuta, kama hujaziona foleni za kutafuta mafuta kama enzi za Nyerere.
 
Kikwete utabaki porojo tu, huna hata kimoja cha maana, cha kumshutumu. Ndio kwanza anadunda na anaheshimika dunia nzima. Tartiib, kama sio yeye

Una mapenzi nae hata ushuzi wake utasema ni uturi!! Huyu ametuibia mali zetu akishirikiana na HOME SHOPPING CENTRE kwa kuwaruhusu waingize maelfu ya makontena bila kulipa ushusuru kwa mpaka kumi ya utawala wake; halafu wanamgawia fungu ndio unasema naheshimika? Nyie chawa wake lazima mumuheshimu lakini waliowengi wanaojua ufisadi wake hawamuheshimu wala kumuona wa maana; wanamuona ni mwizi na mwenye tamaa asiyekuwa na hadhi kiasi cha kumuombea mkewe uBunge kwa Magufuli bila aibu!!!
 
Una mapenzi nae hata ushuzi wake utasema ni utuli!! Huyu ametuibia mali zetu akishirikiana na HOME SHOPPING CENTRE kwa kuwaruhusu waingize maelfu ya makontena bila kulipa ushusuru kwa mpaka kumi ya utawala wake; halafu wanamgawia fungu ndio unasema naheshimika? Nyie chawa wake lazima mumuheshimu lakini waliowengi wanaojua ufisadi wake hawamuheshimu wala kumuona wa maana; wanamuona ni mwizi na mwenye tamaa asiyekuwa na hadhi kiasi cha kumuombea mkewe uBunge kwa Magufuli bila aibu!!!
Hizo ni porojo za wasio na uelewa.
 
Waafrika tunapenda sana kula imagine kikao serious kama hicho kimejaa machupa na majuisi sijui makorosho kwani wangekula baada ya kumaliza ingekuwaje? Hatuko serious kabisa kila sehemu tunawaza kula kula hovyo tu.
Kauli ya "kula kwa urefu wa kamba" inadhihirisha hilo usemalo ndugu Lusungo .
 
Kumbuka hapo ni ofisini, sio nyumbani/ dining hall.
So, ilitakiwa mandhari iendane na agenda. Tafuta picha za vikao nyeti vya nchi tunaojilinganisha nao kiuchumi, uone kama kuna huo uchafuzi wa kwenye discussion table! Then urudi na majibu sahihi kama ni wivu au la
Hicho sio chakula, hizo ni bites tu na vinywaji laini, vikao vingi zinakuwepo hivyo , mbona ni kitu cha kawaida sana
 
Ikiwa ni viongozi hawahawa waliokuwa wakitetea kwa kutoa kauli zilizohalalisha bei za bidhaa kupanda,Sina hakika kama kikao hiki kitakuja na majibu yenye kurithisha kwa wahanga.
Hata hii walioiita dharura sijui imetokana na mayowe ya wananchi na sasa kutaka kutuonyesha kwamba wanatujali kwa kudai wamesikia kilio chetu!.
Wamechelewa sana,sidhani kama watafanikiwa kushusha bei za bidhaa ikiwemo hayo mafuta kwa kiwango kitakachomsaidia mwananchi kwani kwa sasa wananchi walio wengi wamekata tamaa,imani ya kupata msaada kwa selikali hawana tena.
 
Wewe ni chawa wao lazima uwatetee, watoto wako wanakwenda chooni kwa ufadhiri wao!!!
Wewe unatia kinyaa kwa kuharibu (kukiharia) Kiswahili.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Una mapenzi nae hata ushuzi wake utasema ni utuli!! Huyu ametuibia mali zetu akishirikiana na HOME SHOPPING CENTRE kwa kuwaruhusu waingize maelfu ya makontena bila kulipa ushusuru kwa mpaka kumi ya utawala wake; halafu wanamgawia fungu ndio unasema naheshimika? Nyie chawa wake lazima mumuheshimu lakini waliowengi wanaojua ufisadi wake hawamuheshimu wala kumuona wa maana; wanamuona ni mwizi na mwenye tamaa asiyekuwa na hadhi kiasi cha kumuombea mkewe uBunge kwa Magufuli bila aibu!!!
"utuli" ndiyo nini wewe usiyejuwa hata lugha yako ya taifa?
 
Wewe unatia kinyaa kwa kuharibu (kukiharia) Kiswahili.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ningekiharia Kiswahili ninavyokujua ungekwisha kunisahihisha! Maadam hujanisahihisha hakuna uharo wa Kiswahili hapo!
 
Wacha bwana!

Km dunia nzima inamkubali atusaidie kuongea na Putin atulize mashambulizi…
Anawawachia wenye kazi zao, kumbuka Kikwete ni mwanadiplomasi wa kidunia. Unafikiri hana anachokifanya kuhusu mgogoro huo? Kwa fikra zako finyu unafikiri wa kuongea nae ni Putin pekee?

Watanzania mna matatizo makubwa sana ya uelewa. Unafikiri watu wanakurupuka tu kama unavyokurupuka wewe, kuna vitu vinaitwa "protocol", nakushauri usome ni nini hivyo, labda, ndiyo utaweza kurudi hapa na kuandika au kuuliza chenye maana kuhusu diplomasia ya mgogoro wa Russia na Ukraine.
 
Sasa vitu vitapanda Bei g Sababu ya Vita ya urusi na Ukraine kwani Vita imeisha?
SI angeacha tu maisha yaendelee na yeye alishakubali kuwa vitu lazma vipande Bei.
Vikao vya Nini?
Nilielewa vitu vitapanda bei, ni nini hapo ambacho hujaelewa, kwani Tanzania hii vitu vimeanza kupanda bei leo? Au wa jana wewe? Wewe ni mjinga kweli kweli tena.

Una mafuta unayozalisha hapa? kawapangie bei wanaouza mafuta, kama hujaziona foleni za kutafuta mafuta kama enzi za Nyerere.
 
Back
Top Bottom