FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Nilielewa vitu vitapanda bei, ni nini hapo ambacho hujaelewa, kwani Tanzania hii vitu vimeanza kupanda bei leo? Au wa jana wewe? Wewe ni mjinga kweli kweli tena.Alivyosema vitu lazma vitapanda ulielewa Nini?
Una mafuta unayozalisha hapa? kawapangie bei wanaouza mafuta, kama hujaziona foleni za kutafuta mafuta kama enzi za Nyerere.